Chadema nayo yahusika na mauaji !!!

killa

Member
Jan 7, 2011
52
2
Tendwa: Vurugu na mauaji ya Arusha Chadema hawawezi kukwepa lawama Send to a friend Tuesday, 11 January 2011 20:22

Na Joyce Mmasi
“KILA chama cha siasa kitakuwa na haki ya kufanya mikutano ya kisiasa na maandamano kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa, hii ni sehemu tu ya haki za vyama vya siasa iliyoelezwa katika sheria namba tano ya mwaka 1992 ya vyama vya siasa.
Sheria hii pia katika sehemu ya tatu kifungu 1 (e) imeeleza wajibu wa vyama vya siasa na kueleza moja ya wajibu huo ni kufanya mkutano wa kisiasa na maandamano bila kufanya vurugu kwa mujibu wa sheria.

Sehemu ya nne katika sheria hii ya vyama vya siasa pia inaeleza wajibu wa msajili wa vyama vya siasa ambapo katika kifungu 1 (c) kinaeleza wajibu wa msajili wa vyama vya siasa, ni kuzuia kitendo cha uvunjifu wa kanuni za maadili kisiendelee na kukitaka chama au kiongozi wa chama kujirekebisha.

Inakuwaje vyama vya siasa vinazuiwa kutimiza wajibu na haki zao kwa mujibu wa sheria hiyo. Imekuwa ni kawaida kwa jeshi la polisi kuzuia kufanyika kwa maandamano na mikutano ya hadhara vinavyoandaliwa na vyama vya siasa, je, hatua hii ya polisi ni halali?
Msajili wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa anasema serikali inapaswa kusikilizwa na kwamba endapo kutakuwa na zuio au ushauri katika utekelezaji wa haki au wajibu, chama kinachohusika kinapaswa kusikiliza na kutii.

Kauli ya Tendwa inafuatiwa na vurugu zilizosababishwa na maandamano ya wafuasi wa Chadema ambao walikuwa wakitekeleza vipengele hivyo vya sheria ya vyama vya siasa licha ya kuzuiwa na serikali kupitia jeshi la polisi.
Tendwa anasema endapo Chadema wangesikiliza amri ya jeshi la polisi na kuitii, kusingekuwa na vurugu wala matukio ya umwagaji wa damu yaliyofanyika mkoani Arusha.

Anasema jeshi la polisi kwa kutilia mashaka maandamano yao, walizuia maandamano hayo licha ya kuyaruhusu awali na kuruhusu mkutano pekee ambao walifanya hivyo kutokana na kujiandaa kulinda amani katika mkutano huo na maandamano.

Anasema kwa mujibu wa maelezo ya polisi, kulikuwa na kila dalili ya maandalizi ya vurugu yaliyoandaliwa na wafuasi wa chama hicho na hivyo kuruhusiwa kwa maandamano hayo kungepelekea vurugu, uvunjifu wa amani nap engine vifo vingi zaidi.

Nini chanzo cha vurugu hizo
Chanzo cha vurugu za Arusha ni kupinga uchaguzi wa Meya wa jiji hilo ambapo madiwani wa CCM pamoja na mmoja kutoka TLP walishiriki uchaguzi na kumchagua kiongozi wa jiji hilo, baada ya wale wa Chadema kugoma kutokana na kutokukubaliana na ushiriki wa mjumbe mmoja wa CCM aliyejulikana kama Mary Chatanda ambaye ni mbunge wa viti maalum kupitia mkoa wa Tanga.

Msajili anasemaje juu ya utata wa mbunge huyu wa viti maalum na malalamiko ya Chadema? “Nadhani Chadema hawako wazi katika hili, kwani uhalali wa Mary Chatanda lilishatolewa ufafanuzi na katibu wa Bunge. Sheria iko wazi na ilifafanuliwa na katibu wa bunge baada ya madiwani wa pande zote mbili kuonyesha utata walipokuwa katika kikao cha kwanza cha uchaguzi wa Meya, ambapo vyama vyote viwili vilikuwa vikilalamikia ushiriki wa mjumbe mmoja mmoja kutoka kila chama”.

Anasema ufafanuzi walioupata juu ya uhalali wa wabunge hao wa viti maalum waliokuwa wakilalamikiwa na vyama vyote viwili ni kwamba, sheria inawatambua wabunge kama madiwani wa sehemu wanazotoka na inaendelea kufafanua chama kinachowakilishwa na mbunge wa viti maalum, kitakuwa na haki ya kumpangia kazi sehemu yoyote isipokuwa hataruhusiwa kufanya kazi katika eneo lingine.

Anasema baada ya ufafanuzi huo utata wa suala la uwakilishi wa mbunge huyo wa viti maalum ukawa umemalizika na kwamba haelewi sababu za Chadema kususa kuendelea na uchaguzi wa Meya na kushangazwa na chama hicho kukwepa kueleza wafuasi wake suala hilo huku ikiendelea kushikilia msimamo wa kutomtambua mbunge huyo wa viti maalum wa CCM.

Uhalali wa uchaguzi wa Meya
Msajili anasema, baada ya kususia uchaguzi uliofanywa bila Chadema kushiriki vyama hivyo viwili vinavyohusika katika suala hilo vilipaswa kuzungumza ili kupatikana kwa suluhu na kwamba yeye alikubali kuwa msuluhishi, lakini anasema hajui sababu ya chadema kuamua kuitisha maandamano kabla ya kumalizika kwa mazungumzo ambayo anasema anaamini yangeweza kuleta suluhu na kujenga amani miongoni mwao.

Anasema jambo moja ambalo haliko wazi na ambalo angependa Chadema wakaliweka bayana ni kueleza wazi agenda yao, na nini wanachokitaka au wanachokusudia badala ya kufanya mambo ambayo kwa namna moja ama nyingine yanaweza kuhatarisha amani na kupunguza imani ya wananchi dhidi ya chama hicho.

”Haijulikani hasa wanataka nini, maana kama ni kweli ilikuwa uhalali wa Mary Chatanda walishasomewa sheria na wakaelewa. Awali walizungumzia suala la kutaka katiba, kila mtu aliunga mimi nimeunga mkono nimetoa maoni yangu, Waziri mkuu naye kasema, na mwisho rais ameridhia, sasa waeleze wanataka nini ili madai yao yawe wazi na yaeleweke,” anasema.

Msajili anasema inavyoonekana, ndani ya chama hicho, wapo baadhi ya viongozi wanataka kudanganya wananchi na kuficha kuwaeleza ukweli na akasema ni vyema kwa vyama vya siasa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa sheria.

Ushauri wa Tendwa kwa Polisi, CCM na Chadema
Tendwa anasema pamoja na huzuni iliyotawala kufuatia vurugu zilivyosababisha mauaji, ni vyema kwa jeshi la polisi kuangalia uwezekano wa kuepuka vurugu na badala yake kutumia nguvu zinazoweza kuhatarisha maisha ya watu.

Wananchi nao wasikubali kutumika na vyama vya siasa au baadhi ya watu, waepuke vurugu na watii maagizo wanayopewa, kama polisi ambaye ni mlinzi wa amani amezuia maandamano, wananchi wanapaswa kutii amri halali ya polisi, na vyama vya siasa kupitia viongozi wao vifuate taratibu ili kuimarisha amani na kuepuka vurugu zinazoweza kuleta maafa.

Anasema vyama vya siasa hususani Chadema kinapaswa kuepuka kutoa shutuma za mara kwa mara dhidi ya chama tawala huku akitolea mfano katika mikutano yake mingi na vyama vya siasa, vimekuwa vikitumia muda mwingi kushutumu chama tawala badala ya kutoa hoja ya kujenga nchi.

Kwa upande wa CCM, msajili anasema kama chama kiongozi kinapaswa kuwa makini na kushirikiana na vyama vingine katika kutatua migogoro ili kuepuka matukio yanayoweza kuhatarisha amani ya nchi.


Source : Mwananchi
 
Tendwa anapanda basi gani kuja kwenye mazishi Arusha? Sisi wadau wake tumefiwa hapa na taifa zima kasoro sisiem tu tunaomboleza.
 
Tendwa: Vurugu na mauaji ya Arusha Chadema hawawezi kukwepa lawama Send to a friend Tuesday, 11 January 2011 20:22

Na Joyce Mmasi
"KILA chama cha siasa kitakuwa na haki ya kufanya mikutano ya kisiasa na maandamano kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa, hii ni sehemu tu ya haki za vyama vya siasa iliyoelezwa katika sheria namba tano ya mwaka 1992 ya vyama vya siasa.
Sheria hii pia katika sehemu ya tatu kifungu 1 (e) imeeleza wajibu wa vyama vya siasa na kueleza moja ya wajibu huo ni kufanya mkutano wa kisiasa na maandamano bila kufanya vurugu kwa mujibu wa sheria.

Sehemu ya nne katika sheria hii ya vyama vya siasa pia inaeleza wajibu wa msajili wa vyama vya siasa ambapo katika kifungu 1 (c) kinaeleza wajibu wa msajili wa vyama vya siasa, ni kuzuia kitendo cha uvunjifu wa kanuni za maadili kisiendelee na kukitaka chama au kiongozi wa chama kujirekebisha.

Inakuwaje vyama vya siasa vinazuiwa kutimiza wajibu na haki zao kwa mujibu wa sheria hiyo. Imekuwa ni kawaida kwa jeshi la polisi kuzuia kufanyika kwa maandamano na mikutano ya hadhara vinavyoandaliwa na vyama vya siasa, je, hatua hii ya polisi ni halali?
Msajili wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa anasema serikali inapaswa kusikilizwa na kwamba endapo kutakuwa na zuio au ushauri katika utekelezaji wa haki au wajibu, chama kinachohusika kinapaswa kusikiliza na kutii.

Kauli ya Tendwa inafuatiwa na vurugu zilizosababishwa na maandamano ya wafuasi wa Chadema ambao walikuwa wakitekeleza vipengele hivyo vya sheria ya vyama vya siasa licha ya kuzuiwa na serikali kupitia jeshi la polisi.
Tendwa anasema endapo Chadema wangesikiliza amri ya jeshi la polisi na kuitii, kusingekuwa na vurugu wala matukio ya umwagaji wa damu yaliyofanyika mkoani Arusha.

Anasema jeshi la polisi kwa kutilia mashaka maandamano yao, walizuia maandamano hayo licha ya kuyaruhusu awali na kuruhusu mkutano pekee ambao walifanya hivyo kutokana na kujiandaa kulinda amani katika mkutano huo na maandamano.

Anasema kwa mujibu wa maelezo ya polisi, kulikuwa na kila dalili ya maandalizi ya vurugu yaliyoandaliwa na wafuasi wa chama hicho na hivyo kuruhusiwa kwa maandamano hayo kungepelekea vurugu, uvunjifu wa amani nap engine vifo vingi zaidi.

Nini chanzo cha vurugu hizo
Chanzo cha vurugu za Arusha ni kupinga uchaguzi wa Meya wa jiji hilo ambapo madiwani wa CCM pamoja na mmoja kutoka TLP walishiriki uchaguzi na kumchagua kiongozi wa jiji hilo, baada ya wale wa Chadema kugoma kutokana na kutokukubaliana na ushiriki wa mjumbe mmoja wa CCM aliyejulikana kama Mary Chatanda ambaye ni mbunge wa viti maalum kupitia mkoa wa Tanga.

Msajili anasemaje juu ya utata wa mbunge huyu wa viti maalum na malalamiko ya Chadema? "Nadhani Chadema hawako wazi katika hili, kwani uhalali wa Mary Chatanda lilishatolewa ufafanuzi na katibu wa Bunge. Sheria iko wazi na ilifafanuliwa na katibu wa bunge baada ya madiwani wa pande zote mbili kuonyesha utata walipokuwa katika kikao cha kwanza cha uchaguzi wa Meya, ambapo vyama vyote viwili vilikuwa vikilalamikia ushiriki wa mjumbe mmoja mmoja kutoka kila chama".

Anasema ufafanuzi walioupata juu ya uhalali wa wabunge hao wa viti maalum waliokuwa wakilalamikiwa na vyama vyote viwili ni kwamba, sheria inawatambua wabunge kama madiwani wa sehemu wanazotoka na inaendelea kufafanua chama kinachowakilishwa na mbunge wa viti maalum, kitakuwa na haki ya kumpangia kazi sehemu yoyote isipokuwa hataruhusiwa kufanya kazi katika eneo lingine.

Anasema baada ya ufafanuzi huo utata wa suala la uwakilishi wa mbunge huyo wa viti maalum ukawa umemalizika na kwamba haelewi sababu za Chadema kususa kuendelea na uchaguzi wa Meya na kushangazwa na chama hicho kukwepa kueleza wafuasi wake suala hilo huku ikiendelea kushikilia msimamo wa kutomtambua mbunge huyo wa viti maalum wa CCM.

Uhalali wa uchaguzi wa Meya
Msajili anasema, baada ya kususia uchaguzi uliofanywa bila Chadema kushiriki vyama hivyo viwili vinavyohusika katika suala hilo vilipaswa kuzungumza ili kupatikana kwa suluhu na kwamba yeye alikubali kuwa msuluhishi, lakini anasema hajui sababu ya chadema kuamua kuitisha maandamano kabla ya kumalizika kwa mazungumzo ambayo anasema anaamini yangeweza kuleta suluhu na kujenga amani miongoni mwao.

Anasema jambo moja ambalo haliko wazi na ambalo angependa Chadema wakaliweka bayana ni kueleza wazi agenda yao, na nini wanachokitaka au wanachokusudia badala ya kufanya mambo ambayo kwa namna moja ama nyingine yanaweza kuhatarisha amani na kupunguza imani ya wananchi dhidi ya chama hicho.

"Haijulikani hasa wanataka nini, maana kama ni kweli ilikuwa uhalali wa Mary Chatanda walishasomewa sheria na wakaelewa. Awali walizungumzia suala la kutaka katiba, kila mtu aliunga mimi nimeunga mkono nimetoa maoni yangu, Waziri mkuu naye kasema, na mwisho rais ameridhia, sasa waeleze wanataka nini ili madai yao yawe wazi na yaeleweke," anasema.

Msajili anasema inavyoonekana, ndani ya chama hicho, wapo baadhi ya viongozi wanataka kudanganya wananchi na kuficha kuwaeleza ukweli na akasema ni vyema kwa vyama vya siasa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa sheria.

Ushauri wa Tendwa kwa Polisi, CCM na Chadema
Tendwa anasema pamoja na huzuni iliyotawala kufuatia vurugu zilivyosababisha mauaji, ni vyema kwa jeshi la polisi kuangalia uwezekano wa kuepuka vurugu na badala yake kutumia nguvu zinazoweza kuhatarisha maisha ya watu.

Wananchi nao wasikubali kutumika na vyama vya siasa au baadhi ya watu, waepuke vurugu na watii maagizo wanayopewa, kama polisi ambaye ni mlinzi wa amani amezuia maandamano, wananchi wanapaswa kutii amri halali ya polisi, na vyama vya siasa kupitia viongozi wao vifuate taratibu ili kuimarisha amani na kuepuka vurugu zinazoweza kuleta maafa.

Anasema vyama vya siasa hususani Chadema kinapaswa kuepuka kutoa shutuma za mara kwa mara dhidi ya chama tawala huku akitolea mfano katika mikutano yake mingi na vyama vya siasa, vimekuwa vikitumia muda mwingi kushutumu chama tawala badala ya kutoa hoja ya kujenga nchi.

Kwa upande wa CCM, msajili anasema kama chama kiongozi kinapaswa kuwa makini na kushirikiana na vyama vingine katika kutatua migogoro ili kuepuka matukio yanayoweza kuhatarisha amani ya nchi.


Source : Mwananchi

"Killa" Hivi Wewe ni Wewe au Makamba? Wanajamii Makamba Nae Anachat na Sisi Online. Karibu Jitambulishe na Onyesha Kadi Yako...Kweli Sikuelewi.
 
Tendwa achia ngazi. Jiuzulu. Sio kila amri ya serikali inakubalika popote pale duniani. Haki ya kuandamana ipo pale pale na serikali inawajibika kuwalinda waandamaji na sio kuwaua. Police walikuwa wamesha toa kibali cha kuandamana ila shemejie kikwete said mwema akaambiwa hayo maandamano yalikuwa ya kumchambua kikwete na sakata la ufisadi kwa hivyo ayazime. Je said mwema anaweza kutuonyesha kumbukubu ya barua aliyowaandikia chadema ya kuwataka wasitishe maandamano au? Aliongea na waandishi wa habari huku akijua chadema walikuwa na kibali. Tendwa wewe ni ccm damu hautufai. Achia ngazi
 
Jamani mnamsikiliza maoni ya Tendwa kada maarufu wa ccm? Ulitegemea awe positve kuhusu Chadema na kukubali ukweli kwamba polisi wanatumiwa na ccm kuvuruga upinzani?

huyu ni wa kumpuuza, nafasi yake aliyonayo yupo kwa maslahi ya ccm na si watanzania wote. Mnakumbuka wakati wa kampeni alivyokuwa msemaji na mtetezi mkubwa wa makosa ya kisheria ya ccm kama vile ni msemaji wa chama?

Tendwa hutufai ktk nafasi uliyonayo, tunahitaji mtu neutral, lakini wewe umeonyesha wazi ni kada wa ccm (labda usie na kadi) na sikuzote unakandamiza chini demokrasia na vyama vya upinzani vyenye nguvu.

in short maoni ya huyu mzee kada wa ccm yapo biased, hayana tofauti na maoni ya Makamba, Tambwe hiza na M.Chatanda, tuyapuuze kwani sote tunajua polisi ndio walisababisha vifo na uvunjifu wa amani kwa kutumia intelijensia yao .
 
porojo haziisaidii tanzania kwa sasa. Ni ukweli tu utarejesha heshima ya nchi.

tendwa ni mwanaccm hai na kibraka wa ccm. Asijivamie hapa tutamtoa nishai na unafiki wake. Chadema inatetea umma na inatetea haki mwaka huu ajipange safari yao imeiva vibaya.
 
tendwa: Vurugu na mauaji ya arusha chadema hawawezi kukwepa lawama send to a friend tuesday, 11 january 2011 20:22

na joyce mmasi
"kila chama cha siasa kitakuwa na haki ya kufanya mikutano ya kisiasa na maandamano kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa, hii ni sehemu tu ya haki za vyama vya siasa iliyoelezwa katika sheria namba tano ya mwaka 1992 ya vyama vya siasa.
Sheria hii pia katika sehemu ya tatu kifungu 1 (e) imeeleza wajibu wa vyama vya siasa na kueleza moja ya wajibu huo ni kufanya mkutano wa kisiasa na maandamano bila kufanya vurugu kwa mujibu wa sheria.

Sehemu ya nne katika sheria hii ya vyama vya siasa pia inaeleza wajibu wa msajili wa vyama vya siasa ambapo katika kifungu 1 (c) kinaeleza wajibu wa msajili wa vyama vya siasa, ni kuzuia kitendo cha uvunjifu wa kanuni za maadili kisiendelee na kukitaka chama au kiongozi wa chama kujirekebisha.

Inakuwaje vyama vya siasa vinazuiwa kutimiza wajibu na haki zao kwa mujibu wa sheria hiyo. Imekuwa ni kawaida kwa jeshi la polisi kuzuia kufanyika kwa maandamano na mikutano ya hadhara vinavyoandaliwa na vyama vya siasa, je, hatua hii ya polisi ni halali?
Msajili wa vyama vya siasa nchini, john tendwa anasema serikali inapaswa kusikilizwa na kwamba endapo kutakuwa na zuio au ushauri katika utekelezaji wa haki au wajibu, chama kinachohusika kinapaswa kusikiliza na kutii.

Kauli ya tendwa inafuatiwa na vurugu zilizosababishwa na maandamano ya wafuasi wa chadema ambao walikuwa wakitekeleza vipengele hivyo vya sheria ya vyama vya siasa licha ya kuzuiwa na serikali kupitia jeshi la polisi.
Tendwa anasema endapo chadema wangesikiliza amri ya jeshi la polisi na kuitii, kusingekuwa na vurugu wala matukio ya umwagaji wa damu yaliyofanyika mkoani arusha.

Anasema jeshi la polisi kwa kutilia mashaka maandamano yao, walizuia maandamano hayo licha ya kuyaruhusu awali na kuruhusu mkutano pekee ambao walifanya hivyo kutokana na kujiandaa kulinda amani katika mkutano huo na maandamano.

Anasema kwa mujibu wa maelezo ya polisi, kulikuwa na kila dalili ya maandalizi ya vurugu yaliyoandaliwa na wafuasi wa chama hicho na hivyo kuruhusiwa kwa maandamano hayo kungepelekea vurugu, uvunjifu wa amani nap engine vifo vingi zaidi.

Nini chanzo cha vurugu hizo
chanzo cha vurugu za arusha ni kupinga uchaguzi wa meya wa jiji hilo ambapo madiwani wa ccm pamoja na mmoja kutoka tlp walishiriki uchaguzi na kumchagua kiongozi wa jiji hilo, baada ya wale wa chadema kugoma kutokana na kutokukubaliana na ushiriki wa mjumbe mmoja wa ccm aliyejulikana kama mary chatanda ambaye ni mbunge wa viti maalum kupitia mkoa wa tanga.

Msajili anasemaje juu ya utata wa mbunge huyu wa viti maalum na malalamiko ya chadema? "nadhani chadema hawako wazi katika hili, kwani uhalali wa mary chatanda lilishatolewa ufafanuzi na katibu wa bunge. Sheria iko wazi na ilifafanuliwa na katibu wa bunge baada ya madiwani wa pande zote mbili kuonyesha utata walipokuwa katika kikao cha kwanza cha uchaguzi wa meya, ambapo vyama vyote viwili vilikuwa vikilalamikia ushiriki wa mjumbe mmoja mmoja kutoka kila chama".

Anasema ufafanuzi walioupata juu ya uhalali wa wabunge hao wa viti maalum waliokuwa wakilalamikiwa na vyama vyote viwili ni kwamba, sheria inawatambua wabunge kama madiwani wa sehemu wanazotoka na inaendelea kufafanua chama kinachowakilishwa na mbunge wa viti maalum, kitakuwa na haki ya kumpangia kazi sehemu yoyote isipokuwa hataruhusiwa kufanya kazi katika eneo lingine.

Anasema baada ya ufafanuzi huo utata wa suala la uwakilishi wa mbunge huyo wa viti maalum ukawa umemalizika na kwamba haelewi sababu za chadema kususa kuendelea na uchaguzi wa meya na kushangazwa na chama hicho kukwepa kueleza wafuasi wake suala hilo huku ikiendelea kushikilia msimamo wa kutomtambua mbunge huyo wa viti maalum wa ccm.

Uhalali wa uchaguzi wa meya
msajili anasema, baada ya kususia uchaguzi uliofanywa bila chadema kushiriki vyama hivyo viwili vinavyohusika katika suala hilo vilipaswa kuzungumza ili kupatikana kwa suluhu na kwamba yeye alikubali kuwa msuluhishi, lakini anasema hajui sababu ya chadema kuamua kuitisha maandamano kabla ya kumalizika kwa mazungumzo ambayo anasema anaamini yangeweza kuleta suluhu na kujenga amani miongoni mwao.

Anasema jambo moja ambalo haliko wazi na ambalo angependa chadema wakaliweka bayana ni kueleza wazi agenda yao, na nini wanachokitaka au wanachokusudia badala ya kufanya mambo ambayo kwa namna moja ama nyingine yanaweza kuhatarisha amani na kupunguza imani ya wananchi dhidi ya chama hicho.

"haijulikani hasa wanataka nini, maana kama ni kweli ilikuwa uhalali wa mary chatanda walishasomewa sheria na wakaelewa. Awali walizungumzia suala la kutaka katiba, kila mtu aliunga mimi nimeunga mkono nimetoa maoni yangu, waziri mkuu naye kasema, na mwisho rais ameridhia, sasa waeleze wanataka nini ili madai yao yawe wazi na yaeleweke," anasema.

Msajili anasema inavyoonekana, ndani ya chama hicho, wapo baadhi ya viongozi wanataka kudanganya wananchi na kuficha kuwaeleza ukweli na akasema ni vyema kwa vyama vya siasa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa sheria.

Ushauri wa tendwa kwa polisi, ccm na chadema
tendwa anasema pamoja na huzuni iliyotawala kufuatia vurugu zilivyosababisha mauaji, ni vyema kwa jeshi la polisi kuangalia uwezekano wa kuepuka vurugu na badala yake kutumia nguvu zinazoweza kuhatarisha maisha ya watu.

Wananchi nao wasikubali kutumika na vyama vya siasa au baadhi ya watu, waepuke vurugu na watii maagizo wanayopewa, kama polisi ambaye ni mlinzi wa amani amezuia maandamano, wananchi wanapaswa kutii amri halali ya polisi, na vyama vya siasa kupitia viongozi wao vifuate taratibu ili kuimarisha amani na kuepuka vurugu zinazoweza kuleta maafa.

Anasema vyama vya siasa hususani chadema kinapaswa kuepuka kutoa shutuma za mara kwa mara dhidi ya chama tawala huku akitolea mfano katika mikutano yake mingi na vyama vya siasa, vimekuwa vikitumia muda mwingi kushutumu chama tawala badala ya kutoa hoja ya kujenga nchi.

Kwa upande wa ccm, msajili anasema kama chama kiongozi kinapaswa kuwa makini na kushirikiana na vyama vingine katika kutatua migogoro ili kuepuka matukio yanayoweza kuhatarisha amani ya nchi.


Source : Mwananchi

go to hell you killa -umeua arusha unataka kuua jf pia -hatukubali gggggggggggggggggggggggggggggggggo to hell.
 
killa
Member

Join Date
Fri Jan 2011
Posts
11
Thanks
0
Thanked 0 Times in 0 PostsRep Power
0
 
killa
Member

Join Date
Fri Jan 2011
Posts
11
Thanks
0
Thanked 0 Times in 0 PostsRep Power
0

Mshikaji mbona unauza data zangu, yeah killa is me, you got problem with that ShakaMbulu?
You wanna know my political affiliation? I'm independent,that means I'm no gonna sell my soul to nobody, no body is gonna buy me, I'm free to say and do whatever I want . I'm sorry for you poor souls that enslaved yourselves to be used and exploited by your artificial mobs called "parties". I'm not surprised one Casino boss once said " there is a sucker born every minute" (Kila dakika ***** uzaliwa), so your party leaders will never run out of "mabegwe" to use for their own interests and agendas. Ain't nobody fool and ain't sucker , I'm natural born independent killa.
 
Mimi kinachonishangaza ni polisi na wakuu wao kukandamiza vyama vya upinzani na kukilinda chama tawala na wafuasi wao. Ni mara ngapi (kama sio zote) tunaona polisi hawazuwii maandamano ya chama tawala, badala yake wanakuwepo katika kila mikutano yao? NI AIBU!, NI AIBU!, NI AIBU!, NI AIBU!, NI AIBU!, NI AIBU!, NI AIBU!, NI AIBU!, NI AIBU
 
Mshikaji mbona unauza data zangu, yeah killa is me, you got problem with that ShakaMbulu?


Ni msisitizo tu kuwa umekuja hapa kwa kutumwa ili ulete joto na uhongo sakata la umeya Arusha.Huna jingine lilikuleta.
 
ur so cheap.. how much are they paying you for this crap??:smash:

So you can't handle the other side part of the story eh?! So said Jack Nicholson "You want the truth, you can't handle the truth" unless you just wanna be a sheeple.
 
Ni msisitizo tu kuwa umekuja hapa kwa kutumwa ili ulete joto na uhongo sakata la umeya Arusha.Huna jingine lilikuleta.

Sasa wewe ndiye mwenye Conspiracy theory, I'm here to stay this is jamii forum, Never claimed info I posted to be mine I acknowledge the source, so why don't you use your brain to see that fact !!!!
 
Back
Top Bottom