mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
ms ameshindikana kila leo anakuja na mpya mtafuta mpaka kesho, yeye ni killer hivyo ana maana aungane na police TZ kukil
ms ameshindikana kila leo anakuja na mpya mtafuta mpaka kesho, yeye ni killer hivyo ana maana aungane na police TZ kukil
Mshikaji mbona unauza data zangu, yeah killa is me, you got problem with that ShakaMbulu?
You wanna know my political affiliation? I'm independent,that means I'm no gonna sell my soul to nobody, no body is gonna buy me, I'm free to say and do whatever I want . I'm sorry for you poor souls that enslaved yourselves to be used and exploited by your artificial mobs called "parties". I'm not surprised one Casino boss once said " there is a sucker born every minute" (Kila dakika ***** uzaliwa), so your party leaders will never run out of "mabegwe" to use for their own interests and agendas. Ain't nobody fool and ain't sucker , I'm natural born independent killa.
Killa asante mkuu kwa taarifa hii kuiweka hapa, taarifa inayoonyesha upande wa pili wa shilingi kuhusu sakata hili la vurumai ya arusha.
Mengi yameongelewa kumlaumu chitanda kama chanzo cha sakata hili zima.
Mimi binafsi sina uhakika sana na uhalali wa chitanda hadi nilipo soma komenti ya msajili ikanipa mtazamo tofauti juu ya swala hili.
Nimejaribu kupita comments zote hapo juu hakuna hata moja iliyojaribu walau kukanusha kwa hoja juu ya uhalali wa chitanda kwa mujubu wa ufafanuzi uliotolewa kisheria,
wengi kama kawaida ya jf ukileta mada inayohoji cdm wameishia kuponda na kumuona mleta mada ni makamba badala ya kujibu hoja kwa ufasaha.
Naombeni hoja hii ijibiwe kwa hoja jamani, tusiwe watu wa kukimbilia cheap and soft topic na tukaacha kujadili issue hii ya msingi ilioleta songombingo zima, sidhani kama ni fear kuijibu hoja hii just kwa kusema huyo si kada wa ccm au umetumwa kuchafua hali ya hewa, basi.
Narudia tena tusipende kukimbilia cheap and soft topic kwa replies kibao na kukwepa topic zenye changamoto na zinazohitaji kuonyesha how great thinker you're.
Hapa nategemea magwiji kama rev masa na group lake kuja na ufafanuzi wa kushiba kuondoa dhana kuwa great thinkers waoga katika hoja nzito.
Nawasilisha