Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Chama zee ambalo meno yameshakobokaNjoo ccm chama kongwe usiende chama cha msimu
Chama zee ambalo meno yameshakobokaNjoo ccm chama kongwe usiende chama cha msimu
miaka 5 mara 1500/= unapata 5500. hawa ndo chadema, hata hesabu rahisi zinasumbua.
bora ungeendelea na mapumziko yako maana hapa umeweka pumba tupu. Pumzika kisha jaribu kupitia ulichokiandika.Nimeamini cdm tu vilaza, mtu alikuwa chuoni wa Kibaha anakaa Mikocheni B kwa Mdee hajui apate wapi kadi. Lakini kikubwa ni hiyo bei ya ada ya kadi miaka mitanom buku kila mwaka ni 5500. Ahaaa nimechoka, nilkuwa napita kwenda kupumzika nikakutana na hili, mchoko unazidi. Twafaaaa
miaka 5 mara 1500/= unapata 5500. hawa ndo chadema, hata hesabu rahisi zinasumbua.
Mkuu umetoka chuo gani ambacho mpaka umehitimu hujui kadi za vyama vya siasa zinapatikana wapi !Sikuwa chama chochote kaka. Niligoma kujiunga UVCCM nilipokuwa Chuoni.Nataka kuwahi kuwakomboa watu wa Kibaha
Kadi zenu zinapatikana wapi? Bei gani pamoja na ada ya miaka mitano? Nyinyi ndio mliobaki nikiwaamini nchi hii
njoo ccm chama kongwe usiende chama cha msimu
miaka 5 mara 1500/= unapata 5500. hawa ndo chadema, hata hesabu rahisi zinasumbua.