kama kawaida
Senior Member
- Jul 20, 2015
- 139
- 87
Hivi nyie CHADEMA kwanini huwa mnasubiri mtu akishahama chama au akiwakimbia ndo mmatoka kumjibu na kumpa majina yote?
Na mmekuwa na tabia ya kujinasibu kwamba kila anayetoka tulijua atatoka na wapo wengine. Kama kweli mmawajua watu wote wanaotoka/wanaotaka kutoka kwann msiwataje kuliko kusubiri watu wameshawakimbia ndo ma nyie mnajitokeza kusema tulijua atatoka.
Lini mtaacha siasa za matukio?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mmekuwa na tabia ya kujinasibu kwamba kila anayetoka tulijua atatoka na wapo wengine. Kama kweli mmawajua watu wote wanaotoka/wanaotaka kutoka kwann msiwataje kuliko kusubiri watu wameshawakimbia ndo ma nyie mnajitokeza kusema tulijua atatoka.
Lini mtaacha siasa za matukio?
Sent using Jamii Forums mobile app