Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,321
- 11,410
Huwezi amini.lakini ndo ukweli kuwa kuna wakati Chadema walikuwa wanamwona Nape Nnauye ni Shujaa wao. Ni jasiri wao. Huwa naumia sana ninapokumbuka kipindi hicho. Nilikuwa nawaza yaani Chadema kweli walikengeuka kiasi kikubwa namna hiyo?
Nikawa nawakumbusha kuwa Nape hajawahi kuwa shujaa. Nape ni mchumia tumbo na mnafiq aliyekubuhu. Wakanitukana sana na kusema Nape ni Shujaa na ana msimamo. Huyu huyu wa Bao la Mkono.
Sasa wanapata kigugumizi Nape anaposema kwa sasa bundle inauzwa kwa bei ya chini kuliko wakati mwingine wote. Hapo ngoja Ncheke kwanza. 🤣 HUWEZI AMINI.
Kuna wakati Chadema walikuwa wanampigia Debe Makamba kuwa anafaa kuwa Rais. Na alionekana Shujaa. Nikawa nawauliza huyu Makamba kaanza lini kuwa Shujaa na Smart? Mbona sikuwahi kuna smartness yake? Nlitukanwa sana na kuitwa Sukuma Gang.
Nikashukuru tu sababu hayo majina hayakuwahi kuniathiri. Yalinifunza zaidi kufahamu CDM imevamiwa na watu wa namna gani. Leo hii Makamba anazunguka kugawa mitungi ya gesi vijijini huku gesi ikiwa imepanda. Hatumii akili kufikiria kuwa watu wataacha kutumia kuni na mkaa ikiwa bei ya gesi itakuwa rafiki.
Hafikirii kuwa watu hawashindwi kununua gesi sababu wanakosa mitungi. Ila ni sababu gharama za kununua gesi ni kubwa sana. So leo atawapa mitungi na gesi itakapoisha watarudi kuendelea kutumia mkaa na kuni sababu hawatakuwa na pesa tena ya kununulia Gesi.
Chadema hawa hawa hawajielewi wanataka nini na hawataki nini. Kweli yao ya jana si ya leo. Na kweli ya leo si ya kesho. Nliwaambia CCM wanapogombana nyie chukieni Jembe mkalime. Wao wakajikuta CCM wanapogombana wanakaa kitako kuchagua upande. Wanasahau CCM wengi ni watu wa Maslahi wanagombania Maslahi na si Uzalendo.
Leo hii chama hakina nguvu. Kimebaki na watukanaji wengi kuliko wajengaji hoja. Kimesinzia hakijui kinataka nini. Wengi wamekuwa watukanaji Nguli kwenye mitandao. Wamekuwa wapambe. Hawa wa Anaupiga Mwingi.... Hawa wa Sukuma Gang. Hawa wa Mwendazake.
Wameachana na hoja za Msingi. Kwa sasa hata Katiba Mpya huisikii ...Mbowe nadhani yupo Likizo/Mapumzikoni. Hana hoja tena. Ni kusubiria matukio ndo wayasimamie. Ila wao kama wao hawana Mada tena.
Karibuni kuja kutoa povu. NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO.
Nikawa nawakumbusha kuwa Nape hajawahi kuwa shujaa. Nape ni mchumia tumbo na mnafiq aliyekubuhu. Wakanitukana sana na kusema Nape ni Shujaa na ana msimamo. Huyu huyu wa Bao la Mkono.
Sasa wanapata kigugumizi Nape anaposema kwa sasa bundle inauzwa kwa bei ya chini kuliko wakati mwingine wote. Hapo ngoja Ncheke kwanza. 🤣 HUWEZI AMINI.
Kuna wakati Chadema walikuwa wanampigia Debe Makamba kuwa anafaa kuwa Rais. Na alionekana Shujaa. Nikawa nawauliza huyu Makamba kaanza lini kuwa Shujaa na Smart? Mbona sikuwahi kuna smartness yake? Nlitukanwa sana na kuitwa Sukuma Gang.
Nikashukuru tu sababu hayo majina hayakuwahi kuniathiri. Yalinifunza zaidi kufahamu CDM imevamiwa na watu wa namna gani. Leo hii Makamba anazunguka kugawa mitungi ya gesi vijijini huku gesi ikiwa imepanda. Hatumii akili kufikiria kuwa watu wataacha kutumia kuni na mkaa ikiwa bei ya gesi itakuwa rafiki.
Hafikirii kuwa watu hawashindwi kununua gesi sababu wanakosa mitungi. Ila ni sababu gharama za kununua gesi ni kubwa sana. So leo atawapa mitungi na gesi itakapoisha watarudi kuendelea kutumia mkaa na kuni sababu hawatakuwa na pesa tena ya kununulia Gesi.
Chadema hawa hawa hawajielewi wanataka nini na hawataki nini. Kweli yao ya jana si ya leo. Na kweli ya leo si ya kesho. Nliwaambia CCM wanapogombana nyie chukieni Jembe mkalime. Wao wakajikuta CCM wanapogombana wanakaa kitako kuchagua upande. Wanasahau CCM wengi ni watu wa Maslahi wanagombania Maslahi na si Uzalendo.
Leo hii chama hakina nguvu. Kimebaki na watukanaji wengi kuliko wajengaji hoja. Kimesinzia hakijui kinataka nini. Wengi wamekuwa watukanaji Nguli kwenye mitandao. Wamekuwa wapambe. Hawa wa Anaupiga Mwingi.... Hawa wa Sukuma Gang. Hawa wa Mwendazake.
Wameachana na hoja za Msingi. Kwa sasa hata Katiba Mpya huisikii ...Mbowe nadhani yupo Likizo/Mapumzikoni. Hana hoja tena. Ni kusubiria matukio ndo wayasimamie. Ila wao kama wao hawana Mada tena.
Karibuni kuja kutoa povu. NITASEMA KWELI DAIMA FITINA KWANGU MWIKO.