Chadema na wafuasi wake Wanamisimamo ya kitoto

Chadema na wafuasi wake Wanamisimamo ya kitoto

Kimbesa11

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2015
Posts
4,651
Reaction score
2,697
Chadema inaongozwa na misimamo ya watu vivuli, nashangaa kuona Heche anaungana na polepole hahahaaaaa Jamani kwahyo hamjiamini bila wao? Kwahyo misimamo yenu Mnataka ipushiwe na waasi wa CCM + watukanaji mitandaoni Sasa chadema ni chama au ni genge la wahuni?

Hivi inakuwaje chadema kinawakumbatia watukanaji wajaa laana mfano wa akina sativa, mange na maria Sarungi Yani kabisa wanaamini kitu atakachoongea sativa Wananchi watajifata, Yani Leo hii mangekimambi aseme kitu watu wafate! inamaana hamsomi nyakati,

Eti CHADEMA, huu upumbavu wenu wa kutumia watukanaji kwenye ku push agenda zenu nani aliyewafundisha? Tangu lini mtu akatuna na akaheshika katika jamii.
POVU RUKSA!
 
Screenshot_20250824-091252_X.jpg
 
Chadema inaongozwa na misimamo ya watu vivuli, nashangaa kuona Heche anaungana na polepole hahahaaaaa Jamani kwahyo hamjiamini bila wao? Kwahyo misimamo yenu Mnataka ipushiwe na waasi wa CCM + watukanaji mitandaoni Sasa chadema ni chama au ni genge la wahuni?

Hivi inakuwaje chadema kinawakumbatia watukanaji wajaa laana mfano wa akina sativa, mange na maria Sarungi Yani kabisa wanaamini kitu atakachoongea sativa Wananchi watajifata, Yani Leo hii mangekimambi aseme kitu watu wafate! inamaana hamsomi nyakati,

Eti CHADEMA, huu upumbavu wenu wa kutumia watukanaji kwenye ku push agenda zenu nani aliyewafundisha? Tangu lini mtu akatuna na akaheshika katika jamii.
POVU RUKSA!
Ingine ya hapo kwenu ikiwa akina kimbesa,Tlatlaah Mwashambwa &co siyo?
 
Chadema inaongozwa na misimamo ya watu vivuli, nashangaa kuona Heche anaungana na polepole hahahaaaaa Jamani kwahyo hamjiamini bila wao? Kwahyo misimamo yenu Mnataka ipushiwe na waasi wa CCM + watukanaji mitandaoni Sasa chadema ni chama au ni genge la wahuni?

Hivi inakuwaje chadema kinawakumbatia watukanaji wajaa laana mfano wa akina sativa, mange na maria Sarungi Yani kabisa wanaamini kitu atakachoongea sativa Wananchi watajifata, Yani Leo hii mangekimambi aseme kitu watu wafate! inamaana hamsomi nyakati,

Eti CHADEMA, huu upumbavu wenu wa kutumia watukanaji kwenye ku push agenda zenu nani aliyewafundisha? Tangu lini mtu akatuna na akaheshika katika jamii.
POVU RUKSA!
Wewe unachengwa na fisimaji.Kampikie uji mumeo.
 
Chadema inaongozwa na misimamo ya watu vivuli, nashangaa kuona Heche anaungana na polepole hahahaaaaa Jamani kwahyo hamjiamini bila wao? Kwahyo misimamo yenu Mnataka ipushiwe na waasi wa CCM + watukanaji mitandaoni Sasa chadema ni chama au ni genge la wahuni?

Hivi inakuwaje chadema kinawakumbatia watukanaji wajaa laana mfano wa akina sativa, mange na maria Sarungi Yani kabisa wanaamini kitu atakachoongea sativa Wananchi watajifata, Yani Leo hii mangekimambi aseme kitu watu wafate! inamaana hamsomi nyakati,

Eti CHADEMA, huu upumbavu wenu wa kutumia watukanaji kwenye ku push agenda zenu nani aliyewafundisha? Tangu lini mtu akatuna na akaheshika katika jamii.
POVU RUKSA!
For me that's not an issue. For me, tujiulize, je malalamiko yao ni ya msingi, au hakuna tatizo lolote, na tuwapuuze tu?
 
For me that's an issue. For me, tujiulize, je malalamiko yao ni ya msingi, au hakuna tatizo lolote, na tuwapuuze tu?
Kwahyo sativa ndo anaongoza kamati kuu ya chadema
 
Chadema inaongozwa na misimamo ya watu vivuli, nashangaa kuona Heche anaungana na polepole hahahaaaaa Jamani kwahyo hamjiamini bila wao? Kwahyo misimamo yenu Mnataka ipushiwe na waasi wa CCM + watukanaji mitandaoni Sasa chadema ni chama au ni genge la wahuni?

Hivi inakuwaje chadema kinawakumbatia watukanaji wajaa laana mfano wa akina sativa, mange na maria Sarungi Yani kabisa wanaamini kitu atakachoongea sativa Wananchi watajifata, Yani Leo hii mangekimambi aseme kitu watu wafate! inamaana hamsomi nyakati,

Eti CHADEMA, huu upumbavu wenu wa kutumia watukanaji kwenye ku push agenda zenu nani aliyewafundisha? Tangu lini mtu akatuna na akaheshika katika jamii.
POVU RUKSA!
Bandia kweli
 
Hii hoja ni ya kitoto, mleta hoja ni mchanga kisiasa na mnufaika wa chama chake, kaonesha upumbavu na ujinga wake
 
Chadema inaongozwa na misimamo ya watu vivuli, nashangaa kuona Heche anaungana na polepole hahahaaaaa Jamani kwahyo hamjiamini bila wao? Kwahyo misimamo yenu Mnataka ipushiwe na waasi wa CCM + watukanaji mitandaoni Sasa chadema ni chama au ni genge la wahuni?

Hivi inakuwaje chadema kinawakumbatia watukanaji wajaa laana mfano wa akina sativa, mange na maria Sarungi Yani kabisa wanaamini kitu atakachoongea sativa Wananchi watajifata, Yani Leo hii mangekimambi aseme kitu watu wafate! inamaana hamsomi nyakati,

Eti CHADEMA, huu upumbavu wenu wa kutumia watukanaji kwenye ku push agenda zenu nani aliyewafundisha? Tangu lini mtu akatuna na akaheshika katika jamii.
POVU RUKSA!
Jibu hoja za Polepole ndg
 
Back
Top Bottom