Chadema na Ushirikina wa Loliondo

John10

JF-Expert Member
Aug 13, 2009
357
11
Nimeshangaa kuona chama chenye fikra za kuwa na mwelekeo mpya, kuwa na mawazo ya kizamani. Chadema kuwapeleka watu kwa "Babu" kutibiwa!!, inasikitisha!

Taifa linahitaji fikra za kuwatoa WTZ ktk UJINGA, na siyo kuwapeleka ktk UJINGA. Chadema kushangilia na kudhamini kuwapeleka WTZ kutibiwa kwa njia ya "miujiza" kwa "babu" ni kuonesha kwamba Chadema hakitoweza kuliondoa Taifa ktk matatizo tuliyokuwa nayo.

Nawashauri WTZ wenye mapendo na TZ, kuacha kuamini Chadema ndiyo solution ya matatizo tuliyokuwa nayo. Moja ya matatizo makubwa tuliyokuwa TZ, na Afrika kwa ujumla ni fikra za Ushirikina. Karne ya 21 ni sayansi na technologia, kwa mantiki hii, Chadema hakina mwelekeo mzuri kwa WTZ.
 
Kabla hujawashutumu Chadema, anza na viongozi wa chama chenu waliotinga huko. Sikukusikia unahoji walipotinga akina Lowassa, akina Wassira na akina Mkono. Pili, Mzee wa Loliondo si mshirikina. Ni mcha Mungu, mtu anayefuata maadili ya kidini. Huwezi kumlinganisha hata kidogo na Sheikh Yahya, au wale washirikina wanaokwambia kwamba upeleke jogoo mweupe/mweusi watoe kafara kwa mashetani wao.
 
Nimeshangaa kuona chama chenye fikra za kuwa na mwelekeo mpya, kuwa na mawazo ya kizamani. Chadema kuwapeleka watu kwa "Babu" kutibiwa!!, inasikitisha!

Taifa linahitaji fikra za kuwatoa WTZ ktk UJINGA, na siyo kuwapeleka ktk UJINGA. Chadema kushangilia na kudhamini kuwapeleka WTZ kutibiwa kwa njia ya "miujiza" kwa "babu" ni kuonesha kwamba Chadema hakitoweza kuliondoa Taifa ktk matatizo tuliyokuwa nayo.

Nawashauri WTZ wenye mapendo na TZ, kuacha kuamini Chadema ndiyo solution ya matatizo tuliyokuwa nayo. Moja ya matatizo makubwa tuliyokuwa TZ, na Afrika kwa ujumla ni fikra za Ushirikina. Karne ya 21 ni sayansi na technologia, kwa mantiki hii, Chadema hakina mwelekeo mzuri kwa WTZ.

That was a mistake on the part of CDM for sure and puts a shadow over it.That said and done however,do we have a better alternative,certainly no.
 
Acha kuwa na fikra mgando!hv wawapi kwanza we vle!magamba yenu wamepeleka wangapi,mbona wao wenyewe vinara wa kwenda kwa babu,ulishamsikia wa cdm anaenda huko?kwanza na magamba yenu wote mnaumwa mpaka mawazo ni ya watu wanaoumwa!km nikuwapeleka nikuwasaidia wenye uhitaji!boreshen huduma ya jamii kwanza ndo ulete huu upupu usiokuwa na maana hapa
 
Kabla hujawashutumu Chadema, anza na viongozi wa chama chenu waliotinga huko. Sikukusikia unahoji walipotinga akina Lowassa, akina Wassira na akina Mkono. Pili, Mzee wa Loliondo si mshirikina. Ni mcha Mungu, mtu anayefuata maadili ya kidini. Huwezi kumlinganisha hata kidogo na Sheikh Yahya, au wale washirikina wanaokwambia kwamba upeleke jogoo mweupe/mweusi watoe kafara kwa mashetani wao.


Mie sipo CCM, bali ni MTZ mwenye kutaka maendeleo ya nchi, bila ya kuwa na itikadi ya chama chochote. Lowassa na wenzake kwenda kwa huyo "babu" ni mfano kwamba TZ hatuna viongozi bora, na kama tutaendelea kuwa na watu kama kina Lowassa, basi nchi yetu haitakuwa na maendeleo.

Karne ya 21, ni sayansi na technologia, wanaokwenda kwa sheikh yahya, kwa "Babu", wote ni washirikina, na wale wanaomini mambo hayo pia ni washirikina.

Ushirikina ni UJINGA.
 
Nimeshangaa kuona chama chenye fikra za kuwa na mwelekeo mpya, kuwa na mawazo ya kizamani. Chadema kuwapeleka watu kwa "Babu" kutibiwa!!, inasikitisha!

Taifa linahitaji fikra za kuwatoa WTZ ktk UJINGA, na siyo kuwapeleka ktk UJINGA. Chadema kushangilia na kudhamini kuwapeleka WTZ kutibiwa kwa njia ya "miujiza" kwa "babu" ni kuonesha kwamba Chadema hakitoweza kuliondoa Taifa ktk matatizo tuliyokuwa nayo.

Nawashauri WTZ wenye mapendo na TZ, kuacha kuamini Chadema ndiyo solution ya matatizo tuliyokuwa nayo. Moja ya matatizo makubwa tuliyokuwa TZ, na Afrika kwa ujumla ni fikra za Ushirikina. Karne ya 21 ni sayansi na technologia, kwa mantiki hii, Chadema hakina mwelekeo mzuri kwa WTZ.

Please learn when to cast your stone!
 
Nimeshangaa kuona chama chenye fikra za kuwa na mwelekeo mpya, kuwa na mawazo ya kizamani. Chadema kuwapeleka watu kwa "Babu" kutibiwa!!, inasikitisha!

Taifa linahitaji fikra za kuwatoa WTZ ktk UJINGA, na siyo kuwapeleka ktk UJINGA. Chadema kushangilia na kudhamini kuwapeleka WTZ kutibiwa kwa njia ya "miujiza" kwa "babu" ni kuonesha kwamba Chadema hakitoweza kuliondoa Taifa ktk matatizo tuliyokuwa nayo.

Nawashauri WTZ wenye mapendo na TZ, kuacha kuamini Chadema ndiyo solution ya matatizo tuliyokuwa nayo. Moja ya matatizo makubwa tuliyokuwa TZ, na Afrika kwa ujumla ni fikra za Ushirikina. Karne ya 21 ni sayansi na technologia, kwa mantiki hii, Chadema hakina mwelekeo mzuri kwa WTZ.
MTAGUSA KILA PAHALA, LAKINI MTAGUNDUA(KWA KUCHELEWA) KUWA NAPO PANATELEZA!
Nyie watu kweli mmekosa hoja, mpaka sasa tunatafuta hoja za SAMUNGE kama utetezi baada ya makamanda wa cdm kupangua hoja zote za kipuuzi za VUVUZELA NAPE!
kWELI mko kwenye hard time!
Labda nikufunde kuwa ishu ya Samunge achana nayo!...Hii haina itikadi, ni ya kiimani zaidi!
Masuala yenye itikadi ni ya Barabara, Hospitali, Majisafi, ambayo MAGAMBA mmeshindwa kwa 90% kuyasolve kwaajili ya Watz.

Cdm INAWSIKILIZA WATU WA gRASSROOT wanachotaka...Kama wataamua kwa kauli moja kwamba wanaamini(imani) kuwa dawa ya babu itawaponya, then Jukumu la cdm ni kuwawezesha kama watakuwa na means!
Haiwezekani kuwakataza kwenda huko, maana ccm hAINA MAJIBU YA MASUALI YAO YA AFYA!

Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
Ahsantee.gif
 
Kwanini usiwalaumu baba zako ccm kwa kushindwa kuwatatulia matatizo ya magonjwa mahospitalini hata wakaamua kwenda kwa babu?

Watz unaowashauri wasiende LOLIONDO umewapa njia mbadala ya kufanya?

Unapowalaumu cdm kwa kushangilia mambo ya babu, mbona ucwalaumu baba/mama zako ccm ambao wametoa ulinzi na huduma nyingine za kijamii kwa babu?

Ucsahau kuwashauri baba/mama zako ccm vigogo ambao wamekuwa wakifurika KWABABU kupata kikombe pamoja na kuwa wengi wao wana international health insurances,

Nenda kwa hoja na si vioja na vionjo!
 
wanaokwenda kwa sheikh yahya, kwa "Babu", wote ni washirikina, na wale wanaomini mambo hayo pia ni washirikina.

Nakuonea huruma sana. Wewe ndio utakuwa kuni huko jehanamu kuwachoma wenye dhambi! Unamlinganishaje babu na sheikh yahya? Babu amekuwa akijieleza vzur kuwa ametumwa na Mungu na sheikh yahya nae ametueleza mara nyingi kuwa anatumia majini. Huoni kuwa unalinganisha mbingu na pepo! Au jina lako ni la bandia? Huna dini wewe? Au ni pesa mnazopewa na chama cha mafisadi ndio zinakufanya umkufuru Mungu? Kumbuka kuna maisha baada ya kifo!
 
Nimeshangaa kuona chama chenye fikra za kuwa na mwelekeo mpya, kuwa na mawazo ya kizamani. Chadema kuwapeleka watu kwa "Babu" kutibiwa!!, inasikitisha!

Taifa linahitaji fikra za kuwatoa WTZ ktk UJINGA, na siyo kuwapeleka ktk UJINGA. Chadema kushangilia na kudhamini kuwapeleka WTZ kutibiwa kwa njia ya "miujiza" kwa "babu" ni kuonesha kwamba Chadema hakitoweza kuliondoa Taifa ktk matatizo tuliyokuwa nayo.

Nawashauri WTZ wenye mapendo na TZ, kuacha kuamini Chadema ndiyo solution ya matatizo tuliyokuwa nayo. Moja ya matatizo makubwa tuliyokuwa TZ, na Afrika kwa ujumla ni fikra za Ushirikina. Karne ya 21 ni sayansi na technologia, kwa mantiki hii, Chadema hakina mwelekeo mzuri kwa WTZ.

una uhakika kama loliondo ushirikina ndo unatumika mkuu? unawezaje pingana na reports za wana sayansi na WHO wakati nafahamu huna hata kifaa cha kupimia maji yako ya kunywa?
 
Mie sipo CCM, bali ni MTZ mwenye kutaka maendeleo ya nchi, bila ya kuwa na itikadi ya chama chochote. Lowassa na wenzake kwenda kwa huyo "babu" ni mfano kwamba TZ hatuna viongozi bora, na kama tutaendelea kuwa na watu kama kina Lowassa, basi nchi yetu haitakuwa na maendeleo.

Karne ya 21, ni sayansi na technologia, wanaokwenda kwa sheikh yahya, kwa "Babu", wote ni washirikina, na wale wanaomini mambo hayo pia ni washirikina.

Ushirikina ni UJINGA.

slavely mentality, kwamba dawa ya babu ni ushirikina but asprin metranidazol ndo dawa halali. wazungu walitumaliza.
 
Duu jamaa kalalamika et ipo wapi thread ya "chadema na ushirikina?". Hii ndiyo Research yako mkuu?, 2pe contents za research yako na hypothesis testing ulizofanyia hyo research.
 
Nimeshangaa kuona chama chenye fikra za kuwa na mwelekeo mpya, kuwa na mawazo ya kizamani. Chadema kuwapeleka watu kwa "Babu" kutibiwa!!, inasikitisha!

Taifa linahitaji fikra za kuwatoa WTZ ktk UJINGA, na siyo kuwapeleka ktk UJINGA. Chadema kushangilia na kudhamini kuwapeleka WTZ kutibiwa kwa njia ya "miujiza" kwa "babu" ni kuonesha kwamba Chadema hakitoweza kuliondoa Taifa ktk matatizo tuliyokuwa nayo.

Nawashauri WTZ wenye mapendo na TZ, kuacha kuamini Chadema ndiyo solution ya matatizo tuliyokuwa nayo. Moja ya matatizo makubwa tuliyokuwa TZ, na Afrika kwa ujumla ni fikra za Ushirikina. Karne ya 21 ni sayansi na technologia, kwa mantiki hii, Chadema hakina mwelekeo mzuri kwa WTZ.

Ama kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza, na siku ya kufa nyoka mashimo yote huziba na vichaka vyote huteketea....! Kaseme umefika, maana heri wanaowasikiliza watu kwa wanachoamini kuliko wanaokesha wakijitahidi kuvua magamba bila mafanikio....!
 
Watu kama john10 lazima wawepo ili dunia iweze kukamilika kwa hiyo msimlahumu sana.
Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako.
 
Mkuu tupe mbadala wa chadema au kwako wewe ni bora tubaki tulipo?????????????!!!! Kwani kama magamba waking'olewa kipi kitakacho shindikana kuwaondoa wao chadema pia pindi watakapoonyesha udhaifu????????!!!1
 
Ama kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza, na siku ya kufa nyoka mashimo yote huziba na vichaka vyote huteketea....! Kaseme umefika, maana heri wanaowasikiliza watu kwa wanachoamini kuliko wanaokesha wakijitahidi kuvua magamba bila mafanikio....!

Ametumwa na chama cha kuvua maganda,sorry makamba, no magamba.
 
JF bwana,
kuna watu wengine wamekosa kabisa fikra hasa aliyeanzisha hii thread, sijui ni chuki,njaa, hisia au anataka threa yake ichangiwe sana???
 
Back
Top Bottom