Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,126
- 39,344
Niseme wazi binafsi sikusitushwa sana na usaliti uliofanywa na akina mdee kwani ni kawaida na ni historia ya kale tukianzia kwa Adam na Eva.
Tumeona nguvu ya Mwanamke ilivyoyumbisha nguvu ya Dr. Slaa kiasi cha kutupa kitaulo dakika za mwisho.
Jana tena Mzee Mdee na msimamo wake wote alishindwa kufurukuta mbele ya Mwanamke
Anyway, Mbowe hongera sana umeamsha matumaini ya wengi.
Tuwekeeni utaratibu wa kuchangia chama kama ruzuku.
Tumeona nguvu ya Mwanamke ilivyoyumbisha nguvu ya Dr. Slaa kiasi cha kutupa kitaulo dakika za mwisho.
Jana tena Mzee Mdee na msimamo wake wote alishindwa kufurukuta mbele ya Mwanamke
Anyway, Mbowe hongera sana umeamsha matumaini ya wengi.
Tuwekeeni utaratibu wa kuchangia chama kama ruzuku.