Chadema na uchaga

Status
Not open for further replies.

CCM bana!! hamli wala hamlali shauri ya CDM?

yani ishu imekua cdm kila siku hebu angalieni mambo yenye tija kwa jamii
 

Kuna usemi usemao: "Ukisikia mtu anamsema mwingine kuwa ana kiburi basi ujue ni viburi viwili vimekutana". Usemi huu ni sahihi kabisa hata katika suala la ukabila ... ukisikia mtu anamsema mwingine kuwa ni mkabila basi ujue ni wakabila wawili wamekutana. Sioni kwa nini hoja ya ukabila inakuzwa sana kwa Chadema na si kwenye vyama vingine. Kwani Bob Makani alipokuwa Mkiti naye alikuwa mchaga? Tafsiri ya ukabila kwangu ni ubaguzi - unaweza kuwa wa kidini, jinsi, sehemu, uzaliwa, nk. Hivi CCM wanaporithisha watoto wa madaraka sio ukabila? Mimi naomba tuangalie mchakato wa kuupata uongozi kuliko kuona nani anakalia kiti kwa wakati huo. Kila chama kina historia yake. Vingine huanza kama harakati za wanafamilia, na vingine huanza kama vyama vya ukanda fulani, nk. Ni kweli mwanzilishi wa CDM ni mchaga lakini kimekuwa na kupokea wengi wakiwemo kina Zito.
Namsihi Cocacola na waJF wengine wanopenda kuona kwa jicho la ukabila wakue, wapanuke na zaidi waache kuwa wakabila.
 
Hata ukienda USA kuna sehemu ambazo ni DEMO au REP siku zote na UK kuna sehemu za LAB au CON kuna tatizo gani kwa tz kuwa na uchagani kama strong hold ya CDM na Dodoma kama stronghold ya ccm
 
Cocacola inaonekana hutaka kutoaka out of box uliloundia perception yako wewe unahitaji deliverance. Hivi Mbowe atakapokabidhi uenyekiti kwa mtu kabila nyingine au Myika utakuwa na hoja gani? Chama kama UDP cha cheo hivi nacho kiitwe cha kikabila au. Ukweli ni kwamba hata TANU iliundwa na watu wa pwani zaidi kuliko wa bara je kama watanganyika wangekuwa na hoja ya kibaguzi kama yako uhuru ungepatikana kweli. Tukitaka kila kabila liwe mwenyekiti wa chama ndo demokrasia . Basi hata rais wa Tanzania angechaguliwa kwa misingi hiyo hiyo. Kinachoongoza CHADEMA siyo ukabila kwani ukichunguza wachaga walioko ni vigumu kuongea lugha moja mf. mbowe ni mmachame, Ndesamburo ni wa old Moshi, Mtei ni wa Marangu. Kwa kawaida wachagga wana treat segment zao kama kabila tofauti kwani MMachame hawezi ongea kilugha na mtu wa old moshi wala wa marangu kwa hiyo hata wakikaa ofisi moja wanaji treat tofauti.
 
 
Coca cola, you have the plastic mind.
Wachagga wanafaa kuigwa, wamefanya mengi.
 
Acha u***ge wewe.
 
Huyu ni mamluki wa chama twawala. Jadili hoja uachane na hii issue. Kakuambia nani kuwa Tz kuna ukabila! Kwanza we kaka kola ni kabila gani?
 
CHAGA DEVELOPMENT MANIFESTO(CHADEMA) source ya CHADEMA Akili kumkichwa
 
njoo ccbrt upewe ushauri nasaha at least 4 now! benki kuu? cuf MPs? etc
 

Pole kwa akili mgando. Mpaka leo bado uko huko ktk mawazo ya kijima? Kwa taarifa yako CHDEMA ni ya watz wote, kabila zote, dini zote na rika zote.
 
Hii inanikumbusha mambo ya ajabu niliyo wahi kusimuliwa kuhusu chuki zilizo jengeka miongoni mwetu kuhusu baadhi ya makabila.Kuna kampuni ya Kigeni ilikuwa inataka kuajili Engineer wa fani ya mawasiliano jukumu hilo kapewa Human resource Manager kumtafuta bila kutangaza kwenye magazet
I jamaa kaeleza marafiki zake wamsaidie kutafuta mtu kwa mashariti kwamba hasiwe mzaliwa wa Kagera au Kilimanjaro
!Mtu huwezi kuamini lakini wapo watu wa namna hiyo Chukulia mfano mwingine mtu ukiwa Mchaga au Mhaya hata kama wanajua jina lako hawalisemi utasikia "unamsema yule Mchaga/Mhaya"
.Mtoa mada anatumia mbinu hizo hizo kimaksudi katika kujenga hoja kwamba eti Chadema ni chama cha Wachaga. Tanzania ya leo si rahisi kurubuni watu na mambo ya "kufikilika"
 

kwani hao chadema wanachaguana kila mwezi au kila mwaka mbona munaonyesha kwamba kila mtu sasa anataka kuwa msemaji wa chaguzi za viongozi wa chadema au ndio ummarufu wa chama chenyewe
 

You have said it all..no less, no more.
It goes with your user name "VoiceOfReason".
 
Mbona NCCR , TLP zinaongozwa na wachagga kuna ukabila pale! Baseless arguments. Ieleweke kwamba wachagga mara zote wamekuwa mstari wa mbele kutaka mabadiliko kwa sababu za kihistoria na asili yao. Kwa kiasi kikubwa shule nyingi ziko Kilimanjaro wewe unadhani ni serikali ndiyo iliyojenga? Bottomline ajenda za ukabila nadhani hazina mantiki yoyote JF sote sisi ni watanzania tuachane na hizi propaganda ambazo zitatupeleka mahali ambako sio kuzuri.
 

no body is perfect in this hell
 

Taarifa za kuaminika, Pamoja na CDM kuwa na mkakati wa huhakikisha Tanzania inakuwa na katiba mpya kabla ya 2015, Pia wachaga waliopo CDM, Wameweka mikakati ya kuwa na mahusiano ya mapenzi na wadada wote wa makabila, ili baada ya miaka 15 wawe wamejijengea nguvu kubwa kiufuasi, " Ndugu coca, kama una dada utapata mashemegi na wajomba wa kichaga" mwisho utawapenda tu
 

Huko ni kujifariji kwa CCM. Ukweli CHADEMA tunaipenda sana na CCM tukiisikia inanuka mavi. Sisi sio wachaga au wanaCCM tulio korofishana ila watanzania tuliochoshwa na harufu mbaya kwenye CHOO kinachoitwa CCM. Hata hapa Geita wametumia zaidi ya MIl 100 CCM kuiba kura lakini chama chetu ni CHADEMA si thithiem.
 
chaga development manifesto(chadema) source ya chadema akili kumkichwa

mwenzangu njaa mbaya.woote ni tumbo tu ndilo linahangaisha
si chadema - chaga development manifesto, wala
si ccm - christian church movement woote ni njaa tupu
 
Arguments zako ziko very weak Coca Cola, ina maana CCM walivyokuwa wanapinga mtu asimchallenge Kikwete ina maana wote ni wakwere? au Lipumba anapogombea kila uchaguzi, CUF ni ya wanyamwezi? Haijalishi nani anaongoza, tunajali results, kwa mfano;kama Mchaga atatuletea Katiba mpya watakaofaidika ni watanzania wote, regardless of their ethinicity.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…