Vipi mkuu, mbona unaandika kwa kutumia lugha ya kwenu?
Kwa kuwa JF, inasomwa na waTZ wengi sana, na ndiyo inayoaminika kuwa ndiyo inayotoa taarifa za kuaminika kwa sasa, ni vyema ungetoa hayo maoni yako kwa kutumia lugha yetu ya Taifa, ya kiswahili!!