Chadema na siku ya CIVIL DIS-OBIDIENCE

Chadema na siku ya CIVIL DIS-OBIDIENCE

Huey freeman

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2013
Posts
593
Reaction score
248
..."mkichagua upinzani kutatokea vita" Hakuna mgeni wa kauli hii, imekua ikitumika sana vijijini na ni silaha kubwa sana ya CCM.

Watu wengi wamekua wanaipigia kura ccm si kwakua wamepata maisha bora bali kuugopa hio vita. Kweli hata mimi ningekua mwoga ningekua siamini ktk siasa kama njia moja wapo ya kumkomboa mwananchi nisingepigia kura upinzani sababu ya hofu. MAANDAMANO YAMEZIDI JAMANI haswa haswa kwa chadema na yamekua yaki tu cost sana wanachama na wafuasi wenu labda ndo maana mh.zitto kabwe alilioona hili ndo mana ameamua kuachana na majukwaa, tumetangaziwa tarehe 10 ni siku ya civil dis-obidience ukitafsiri kwa kawaida ni siku ya wananchi kutokutii sheria js imagine watu wasitii sheria jus 4 1 hour itakuaje?

Hio siku wahalifu watatumia huo mwanya na chadema ndo itaonekana ni chama cha vurugu. Viongozi wa Chadema u hv to fight with words & ideals wananchi tuwaelewe kitu watu walichosikia jangwani ni wazanzibar hawakusurikishwa wengine watawapuuza (watanganyika) wakisema its not our problem lakini kuna mambo mengine mengi sana mmeyaacha.

I can simply say viongozi wa chadema wana hoja nzuri ila wanaugonjwa mmoja wa jazba, kweli tunaonewa bt lets find more diplomatics way kwani kuna wananchi wakisikia maandamano wanajua ni vita, HAKUNA MAANDAMANO YANAYOSIKILIZWA NA YENYE NGUVU KAMA YA WANANCHI WANAOANDAMANA BILA YA KUA NA UCHAMA.

Chadema 4 my advice nyie tupeni hoja sisi ndo tutaandamana ndo maana hata egypt kumtoa mubarak na morsi ilikua simple na jeshi lilitoa support kutokana na yale maandamano kua ya wananchi huru bila ya kuongozwa na viongoz wa vyama lakini sasa muslim brotherhood maandamano yao hayatafanikiwa kutokana na kuwa nyuma ya chama cha muslim brotherhood.

Ushauri wangu wabunge na viongozi wa chadema tafuteni ushauri kwa wasomi in your every movement kwani mko karibu sana na ikulu ila mkijiamini mno it will only be a histry kama ya NCCR ya Mrema.
 
I agree with you on this argument/assumption.It's CHADEMA have very convincing arguments against the government and its programs implementation,The problem remains with the approach they use to address their ideas.I think the strategy of using political rallies to rally the Tanzanians around isn't too effective so far.Just try to take a look at the Constitution saga,After CHADEMA and other Opposition Parties failed to stop the Bill from being passed they turned to the political rallies to stop it.The problem is,The very people they are trying to rally around aren't too informed about the issue CHADEMA and Parties were fighting against the Ruling Party MPs during the Parliament sessions.In this case their argument will hardly win many Tanzanians over because of the lack of enough information on the issue.CHADEMA leaders need to change their strategy on how to fight against CCM on FACTS by empowering Party's branches in the regions in terms of resources so that they can meet & discuss those issues with people
 
Huey freeman una mawazo sawasawa na Wassira sasa sijui mmewasiliana kabla hujapost au ndio umeamua kutafuta namna ya kujipatia posho nono.

Hii santuri ya kwamba Chadema itakufa kama NCCR Mageuzi hivi hata huoni aibu unapoanza kuiandika? Mmetabiri hivyo tangu mwaka 2010 lakini tunachoshuhudia ni Chadema kuendelea kukua na kukubalika kwa watanzania wa aina mbalimbali mijini na vijijini!

Hili la sheria ya katiba mpya ccm hamna namna ya kulizima kimya kimya au kwa ubabe kwakuwa wananchi wengi wako upande wa Chadema na wapinzani kwa ujumla na lazima mtarudi zizini tu kwakuwa katiba ni mali ya watanzania wote na si mali ya ccm!
 
Last edited by a moderator:
Neno "Civil Disobedience" maana yake ni "refusal to obey laws as a way of forcing the government to do or change something"

kwa Tafasiri ni kuwa, "kukaa kutii sheria kama njia ya kuilazimisha/kuishurutisha serikali kutekeleza au kubadili kitu fulani"

Mbinu hii imewahi kutumika katika mataifa mbali mbali duniani yakiwemo CUBA, CHINA, FRANCE, INDIA,nk.

CUBA: The movement Yo No Coopero Con La Dictadura ("I Do Not Cooperate with the Dictatorship"), commonly called Yo No ("Not I" or "I don't") for short, is a civil disobedience campaign against the government in Cuba.The campaign utilizes the slogan "I do want change," and is articulated in six fundamental points: "I do not repudiate, I do not assist, I do not snitch, I do not follow, I do not cooperate, and I do not repress." Furthermore, as a symbolic gesture of non cooperation with the Cuban regime, members of the organization cross their arms over their chests.
EGYPY: The 1919 revolution in Egypt continued for months as civil disobedience against the British occupation and strikes by students and lawyers, as well as postal, telegraph, tram and railway workers, and, eventually Egyptian government personnel. The event led to Britain's recognition of Egyptian independence in 1922, and the implementation of a new constitution in 1923.

FRANCE: In 1972, 103 peasant landowners took an oath to resist the proposed extension of the existing military training base on the Larzac plateau. Lanza del Vasto, a disciple of Gandhi, advised them on civil disobedience tactics, including hunger strikes, that were ultimately successful. The base extension was cancelled by President François Mitterrand immediately after his election in 1981.

Kwa ufupi hii Civil disobedience, ni njia au mbinu ambazo watu huzitumia kushinikiza serikali kutekeleza matakwa ya watu hao, mbinu mbali mbali hutumika, kwanza, watu hao hugoma kufuata Amri, au, sheria yoyote ile ya Nchi.

Hii ndo Chadema wanataka wanachama wao au wananchi wote wafanye, hii siyo nzuri kabisa, kwani inaweza kusababisha watu wengi Kuuawa na vyombo vya dola hasa ukirejea utendaji kazi wa jeshi letu la polisi Tanzania, Pia, Inaweza sababisha Uhalifu mkubwa wa mali za wananchi, kwa sababu, wakati mnaacha kutii sheria za Nchi wezi au vibaka au majambazi wanaweza tumia mwanya huo kutenda uhalifu, na wanaweza kushinda mahakamani kwa utetezi kuwa "wakati natenda uhalifu huo kulikuwa na Civil Disobedience".

Nadhani Mbowe alikuwa hamaanishi, alikuwa anatikisa kiberiti ili Rais aweze kuwasikiliza, hii haiwezi tokea Tanzania.

Chonde chonde watanzania kama Mbowe alikuwa serious msijaribu kumfuata tutaumia sisi wenyewe! Bado kuna njia ya diplomacy ambayo hata bado hawajai-apply!!!!!



 
Huey freeman una mawazo sawasawa na Wassira sasa sijui mmewasiliana kabla hujapost au ndio umeamua kutafuta namna ya kujipatia posho nono.

Hii santuri ya kwamba Chadema itakufa kama NCCR Mageuzi hivi hata huoni aibu unapoanza kuiandika? Mmetabiri hivyo tangu mwaka 2010 lakini tunachoshuhudia ni Chadema kuendelea kukua na kukubalika kwa watanzania wa aina mbalimbali mijini na vijijini!

Hili la sheria ya katiba mpya ccm hamna namna ya kulizima kimya kimya au kwa ubabe kwakuwa wananchi wengi wako upande wa Chadema na wapinzani kwa ujumla na lazima mtarudi zizini tu kwakuwa katiba ni mali ya watanzania wote na si mali ya ccm!

mimi ni chadema na nimeandika hv ili kukisaidia chama changu. .tukiendelea na maandamano ambayo hatujui tunaandamana nini chama chetu kitapoteza mvuto. .narudia maandamano mazuri yakudai haki ni yale yalioandaliwa na wananchi na c viongozi wa kisiasa.. .chadema wanatakiwa watu convice kwa hoja hadi cc wananchi bila kujali chama tuungane tuandamane
 
Last edited by a moderator:
CIVIL DIS-OBIDIENCE ndio kitu gani?

katika mkutano wa vyama vya upinzani jangwani mh. Freeman mbowe alitangaza tarehe 10 itakua ni siku ya civil dis obidience (mbowe alitumia neno hili) ya kua wananchi waandamane nchi nzima kumsihi rais asi sign mswada
 
chadema ni chama cha kisanii kinaendeshwa kwa kuwahadaa watanzania kwa manufaa ya akina mbowe.
 
Huey freeman una mawazo sawasawa na Wassira sasa sijui mmewasiliana kabla hujapost au ndio umeamua kutafuta namna ya kujipatia posho nono.

Hii santuri ya kwamba Chadema itakufa kama NCCR Mageuzi hivi hata huoni aibu unapoanza kuiandika? Mmetabiri hivyo tangu mwaka 2010 lakini tunachoshuhudia ni Chadema kuendelea kukua na kukubalika kwa watanzania wa aina mbalimbali mijini na vijijini!

Hili la sheria ya katiba mpya ccm hamna namna ya kulizima kimya kimya au kwa ubabe kwakuwa wananchi wengi wako upande wa Chadema na wapinzani kwa ujumla na lazima mtarudi zizini tu kwakuwa katiba ni mali ya watanzania wote na si mali ya ccm!

Unaruka hoja za msingi, ngoja nikukumbushe alichokiandika:

MAANDAMANO YAMEZIDI JAMANI haswa haswa kwa chadema na yamekua yaki tu cost sana wanachama na wafuasi wenu
tumetangaziwa tarehe 10 ni siku ya civil dis-obidience ukitafsiri kwa kawaida ni siku ya wananchi kutokutii sheria js imagine watu wasitii sheria jus 4 1 hour itakuaje?
Hio siku wahalifu watatumia huo mwanya na chadema ndo itaonekana ni chama cha vurugu
 
acha kulalamika,huu si wakati wa kulalamika.unataka watuuze hadi cc wenyewe ndo ushituke? utakuwa gamba wewe si bure,hizo buku7 zisikupofushe macho ukaukana utanzania na kuanza kujiona na wewe kuwa ni mkoloni mweusi hapa bongo
 
acha kulalamika,huu si wakati wa kulalamika.unataka watuuze hadi cc wenyewe ndo ushituke? utakuwa gamba wewe si bure,hizo buku7 zisikupofushe macho ukaukana utanzania na kuanza kujiona na wewe kuwa ni mkoloni mweusi hapa bongo

Mkuu mfcjb, Kama kila mtu ambaye atakuwa anaelezea hisia na mawazo yake hapa JF mnasema kuwa ni Gamba basi kuna kazi ya ziada ya kufanya kama Taifa, kumbuka kuwa "Hatuwezi kuwaza au kufikiri wote sawa sawa kwa wakati mmoja" ikiwa hali hiyo itatokea basi ujue mmoja wetu hawazi au hafikirii sawa sawa!!

Hizo buku saba ningezipata ningefurahi sana, sio kila mtu hapa ni wa buku saba wewe!
 
Tatizo kubwa la Mbowe ni elimu. Wakati wenzake walikuwa wanasoma yeye alikuwa anachezeshwa disko na DJ Seydou na Sudi pale Mbowe.
 
I can simply say viongozi wa chadema wana hoja nzuri ila wanaugonjwa mmoja wa jazba, kweli tunaonewa bt lets find more diplomatics way kwani kuna wananchi wakisikia maandamano wanajua ni vita, HAKUNA MAANDAMANO YANAYOSIKILIZWA NA YENYE NGUVU KAMA YA WANANCHI WANAOANDAMANA BILA YA KUA NA UCHAMA.

Quote from Nelsom Mandela:
"At the beginning of June 1961, after a long and anxious assessment of the South African situation, I, and some colleagues, came to the conclusion that as violence in this country was inevitable, it would be unrealistic and wrong for African leaders to continue preaching peace and non-violence at a time when the government met our peaceful demands with force."

Huey freeman, I agree with your assertion in the "coloured highlights" phrases above however, it is obvious that CCM have decided to adopt the then SA Apartheid regime policies of using every government, parliament and judiciary muscles to suppress oposition (OR their ideas, however appropriate) in the country. Recently they added, another strategy of intimidating the press (both public and private). Civil disobedience is a historical strategy adopted by the opressed to demonstrate their disagreement to the ruling class (Martin Luther King, Nelson Mandela, etc) and does not necessarily mean breaking the law.

It is probably through this strategy that the people will be able to show the rulers that if they do not stop their evil strategies, the next stage may not be palatable at all. On my thinking, people need to maintain the pressure so that the process remain on course, otherwise, they will hijack the process and make "A constitution for the Rulers" not the people.
 
Tatizo kubwa la Mbowe ni elimu. Wakati wenzake walikuwa wanasoma yeye alikuwa anachezeshwa disko na DJ Seydou na Sudi pale Mbowe.
Ni sawa alichezeshwa Disco je alipo Mbowe ni sawa na ulipo wewe? kama una elimu ya juu kuliko Mbowe Imekusaidia nini wakati kila uchwao unashabikia UJINGA.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
mimi ni chadema na nimeandika hv ili kukisaidia chama changu. .tukiendelea na maandamano ambayo hatujui tunaandamana nini chama chetu kitapoteza mvuto. .narudia maandamano mazuri yakudai haki ni yale yalioandaliwa na wananchi na c viongozi wa kisiasa.. .chadema wanatakiwa watu convice kwa hoja hadi cc wananchi bila kujali chama tuungane tuandamane

Kuanzia sasa jifute toka CHADEMA. Kwa sababu haihitaji msaada wa m.p.u.u.z.i kama CCM, WASSIRA, CHIKAWE, NAPE NA MWIGULU ambao wanataka kufikiri badala yetu. Kama wewe umewaazima hao akili zako jitahidi usiiingize familia yako kwenye hili.
 
Ni sawa alichezeshwa Disco je alipo Mbowe ni sawa na ulipo wewe? kama una elimu ya juu kuliko Mbowe Imekusaidia nini wakati kila uchwao unashabikia UJINGA.

AlipoMbowe hata ukinipa na mshahara juu sipataki. Chama cha kifamilia na hapo si kawekwa na mkwewe, umesahau?
 
AlipoMbowe hata ukinipa na mshahara juu sipataki. Chama cha kifamilia na hapo si kawekwa na mkwewe, umesahau?

1. KIKWETE - Rais, mwenyekiti wa CCM Taifa
2. Mama Salma - First Lady pia Mjumbe wa NEC ya CCM
3. Ridhiwan - Mtoto wa rais Mjumbe wa NEC na mmiliki wa UVCCM
4. Miraj - Mtoto wa Rais na Mmiliki wa mambo ya pale Lumumba

Sasa unaposema CHADEMA ni chama cha kifamilia naomba ulete mchanganuo utakaoonyesha kama nilivyoonyesha mimi ukishindwa nafikiri mchanganuo wangu utakuonyesha unatoa maandishi bila kutumia akili.
 
Back
Top Bottom