CHADEMA na ofisi za biashara

Fuatilia matukio makubwa mkuu daima mwanzo wake ni kitu kidogo kabisa. Arab spring kule Tunisia ilianza na muuza matunda. Muda utakujibu vizuri subiri.

Acha porojo wewe Tunisia ndio walikuwa wanauza matikiti maji?

Labda ungeshauri zile Fuso za CDM zitumike kubeba hayo matikiti wasambaze sehemu tofauti tofauti mpate pesa mkajenge ofisi za CDM makao Makuu
 
mpiganaji hawezi kuiba mke wa mtu wakati wanawake wapo wengi mtaani. Huyo ni fisadi wa mapenzi.
Prezidaa kaiba wangapi?Na kawazalisha wangapi?Jitu zima lina ndoa yake still lina vitoto vya miaka 2,3 nje ya ndoa.Mbwa nyie wote.
 
Prezidaa kaiba wangapi?Na kawazalisha wangapi?Jitu zima lina ndoa yake still lina vitoto vya miaka 2,3 nje ya ndoa.Mbwa nyie wote.

Pro-CDM-JF mnashindwa kujenga hoja bila kutukana?
 
Acha porojo wewe Tunisia ndio walikuwa wanauza matikiti maji?

Labda ungeshauri zile Fuso za CDM zitumike kubeba hayo matikiti wasambaze sehemu tofauti tofauti mpate pesa mkajenge ofisi za CDM makao Makuu

Ritz, kwa nini huwezi ku connect dots? Subiri siku ambayo mdogo kabisa atakapowezeshwa kuwa na nguvu kubwa kutokana na people's power.
 
Nimeshtuka sana kuona hii picha,..
sijui kama ndo kukusanya hela za kuendeshea chama au vipi.
Lakini ofisi ya chama kugeuzwa kuwa sehemu ya biashara?
sielewi ati

View attachment 39240
Lazima CDM ni chama cha wananchi wapenda Haki/Maendeleo ya wa-TZ haina kushangaa utakuta hiyo ni nyumba ya Mpenda haki mmoja ameitoa kwa ajiri ya Chama,Pia ofisi ya chama watu hawakai mda mwingi wapo kwa wananchi kuona nn wanataka.
 
Chadema kinapata milioni mia tatu kila mwezi ambayo ni ruzuku kutoka serikalini na ni kodi ya watanzania walalahoi lakini cha kusikitisha asilimia60 ya ruzuku mbowe anajilipa akidai alikikopesha chama pesa nyingi zisizo kua na idadi huku akimzima mdomo DK slaa kwa kumlipa milioni saba kila mwezi ili asihoji sasa kwa mwendo huu chadema watajenga ofisi kweli.Tatizo watanzania wanaifahamu chadema kwa nje tu ninaamini siku watanzania wakiijua chadema kiundani watakata tamaa na vyama vya upinzani ikiwemo chadema.
 


Well said, mwenye kuelewa kaelewa. Thanks, nice comments paulss!
 
Nimepitia hapo ofisini nimemuuliza huyo mama anauza bei gani matikiti maji ? Akanijibu we chagua tu bure! Mbona mmezoea kuchagua mavichwa ya ccm haya ni yale yale toka uhuru mara mmechagua
m=mkapa
a=ally hassan mwinyi
t=tulway sumaye
i=ikaingia
k=kikwete
i=ikaanza
t=timbwilitimbwili
i=ingine

m=makinda
a=andrew chenge
j=jairo
i=ipo siku yatakwisha
basi akasema haya ndo majina ya haya mavichwa unayoyaona hapa chagua moja unalo taka unaondoka nalo bei ni bure kabisa


 

propaganda hizi zilishagonga mwamba we bado unaendeleza, wasiliana na wenzako wanaandaa zingine hizi za kwako hata usalama wa taifa wameshindwa ku-spin tena. ur outdated
 
kama kwa sasa tunaofisi hadi huko kijijini, kweli ukombozi unakuja. hayo mambo mengine cc hatujui.
 
Prezidaa kaiba wangapi?Na kawazalisha wangapi?Jitu zima lina ndoa yake still lina vitoto vya miaka 2,3 nje ya ndoa.Mbwa nyie wote.

mbona hajapelekwa mahakamani!
 


Hakuna dhambi mbaya duniani kama kukata tamaa! Akina Mandela, Quatara, Sata wangekata tamaa, wasingefikia mafanikio waliyoyapata! Amka ndugu yangu. Leo unazungumzia ruzuku "kubwa" wanayoipata cdm huku ukitaka kuwatenga waliopigana hadi ikapatikana!? Tafakari mafanikio ya cdm halafu uwaweke mbele walioyafanikisha utajikuta umeachana na propaganda za kijinga zinazoenezwa na ccm! Sio kazi rahisi kwa chama kutoka wabunge 5 hadi 23 majimboni!
 
Acha porojo wewe Tunisia ndio walikuwa wanauza matikiti maji?

Labda ungeshauri zile Fuso za CDM zitumike kubeba hayo matikiti wasambaze sehemu tofauti tofauti mpate pesa mkajenge ofisi za CDM makao Makuu

kwani ofisi ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…