johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,975
NCCR Mageuzi imeungana na CHADEMA kugomea mwaliko wa Tume ya uchaguzi kuhudhuria hafla ya usomaji wa ripoti ya uchaguzi mkuu wa 2020.
ACT wazalendo bado wanatafakari.
CUF mhhh....
Mungu ni mwema wakati wote!
ACT wazalendo bado wanatafakari.
CUF mhhh....
Mungu ni mwema wakati wote!