Nilimsikiliza Na nikamshangaa mh Mbowe aliposema eti Kwanini mwenyekiti Wa CCM taifa anasema kuwa ndani ya vyama kuna majizi na akasema kwa nini anasema eti serikali ya magufuli na si serikali ya CCM?? Akaomba wabunge Wa CCM wamshauri mwenyekiti wao aache usemi huo Mara sijui wamshauri jinsi aavyoendesha nchi na chama!!
Ebu nikuulize mh Mbowe, unapata wapi ujasili Wa kumsema mwenyekiti wetu ilihali wewe ni mwenyekiti Wa kudumu Wa chadema!!ndivyo wabunge wako wanavyokushauri uendelee kuwa mwenyekiti Wa kudumu?
Ulipomkaribisha uliyemzushia kuwa ni fisadi,fisadi lowasa ndivyo wabunge wako walivyokushauri eeh MWenyekiti Wa kudumu?
Ulivyokataa Dreva Wa Tundu lissu asihojiwe ndivyo wabunge wako walivyokushauri ?
Jinsi upatikanaji Wa viongozi ndani ya chadema unavyopatikana kwa usiri mkubwa kwamba lazima uwe rafiki Wa MTU Fulani (according to jerry Muro) ndivyo wanavyokkushauri mh mwenyekiti Wa chadema??
CCM haipokei watuhumiwa Wa rushwa na mafisadi ,majizi toka vyama vingine,lakini chadema tumeona jinsi inavyopokea watu waliyoifilisi nchi ,je ndivyo wanavyokushauri wabunge wako na chama chako?
Ebu tuseme ukweli kati ya wewe mwenyekiti Wa chadema na Mwenyekiti Wa CCM ni nani kiongozi mbovu ambaye anakiharibu chama kwa kujaza mafisadi ,majizi na watuhumiwa mbali mbali?kati ya wewe mwenyekiti Wa kudumu na mwenyekiti Wa CCM ni nani dikteta?hivi kweli chadema INA uhalali Wa kumsema kuwa mwenyekiti Wa CCM ni dikteta ilhali chadema ina mwenyekiti dikteta ?ebu tuache masihara!!!
Mh Mbowe kusema ukweli kwanzia 2005,2010,2015 ulitakiwa uachie ngazi uwapishe wengine maana umeshindwa kuongoza chama chako vyema maana umesababisha mpaka mgombea urais ,katibu wako kuwa mkimbizi na kuajiriwa supermarket!!! Wanaokupinga unawaita wasaliti na kuwafukuza uanachama(Mh Zitto et al )
Toa boriti jichoni mwako kabla ya kuona kibanzi ndani ya jicho LA mwenzio!!!
Niwatakie weekend njema wanachadema!!
Ebu nikuulize mh Mbowe, unapata wapi ujasili Wa kumsema mwenyekiti wetu ilihali wewe ni mwenyekiti Wa kudumu Wa chadema!!ndivyo wabunge wako wanavyokushauri uendelee kuwa mwenyekiti Wa kudumu?
Ulipomkaribisha uliyemzushia kuwa ni fisadi,fisadi lowasa ndivyo wabunge wako walivyokushauri eeh MWenyekiti Wa kudumu?
Ulivyokataa Dreva Wa Tundu lissu asihojiwe ndivyo wabunge wako walivyokushauri ?
Jinsi upatikanaji Wa viongozi ndani ya chadema unavyopatikana kwa usiri mkubwa kwamba lazima uwe rafiki Wa MTU Fulani (according to jerry Muro) ndivyo wanavyokkushauri mh mwenyekiti Wa chadema??
CCM haipokei watuhumiwa Wa rushwa na mafisadi ,majizi toka vyama vingine,lakini chadema tumeona jinsi inavyopokea watu waliyoifilisi nchi ,je ndivyo wanavyokushauri wabunge wako na chama chako?
Ebu tuseme ukweli kati ya wewe mwenyekiti Wa chadema na Mwenyekiti Wa CCM ni nani kiongozi mbovu ambaye anakiharibu chama kwa kujaza mafisadi ,majizi na watuhumiwa mbali mbali?kati ya wewe mwenyekiti Wa kudumu na mwenyekiti Wa CCM ni nani dikteta?hivi kweli chadema INA uhalali Wa kumsema kuwa mwenyekiti Wa CCM ni dikteta ilhali chadema ina mwenyekiti dikteta ?ebu tuache masihara!!!
Mh Mbowe kusema ukweli kwanzia 2005,2010,2015 ulitakiwa uachie ngazi uwapishe wengine maana umeshindwa kuongoza chama chako vyema maana umesababisha mpaka mgombea urais ,katibu wako kuwa mkimbizi na kuajiriwa supermarket!!! Wanaokupinga unawaita wasaliti na kuwafukuza uanachama(Mh Zitto et al )
Toa boriti jichoni mwako kabla ya kuona kibanzi ndani ya jicho LA mwenzio!!!
Niwatakie weekend njema wanachadema!!