CHADEMA na mbio za mwenge

CHADEMA na mbio za mwenge

Alikwenda kuakikisha nini kinaendelea jimboni kwake, ili kesho akiulizwa asije akatumia lugha ya ikulu "nimeambiwa, nimeambiwa, ni............"
 
Bidyabalevya, mmesha ambiwa kulikua nashughuli mbili. ya uzimaji mwenge na kumbukumbu ya baba ww taifa serikari ilia muakufanyazote kwa pamoja. Mbona Wewe na mwenzako maboso mnalazimisha Kuwa Msigwa alienda kwaajili ya Mwenge wakati si kweli. Mnaanza kuonyesha Mnachuki tu ninyi.

Hatulazimishi mkuu,ukweli ndo huo,kama alikuwa kwa ajili,ya kumbukumbu za baba wa taifa mbona aliwashawishi vijana wa mlandege na stand kuu wasihudhurie kwani hao baba yao wa taifa ni mwingine

Penye makosa akubali huyu Msigwa
 
Back
Top Bottom