Maboso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 5,163
- 5,765
Wakuu,
Salamu zenu na habari ya mapumziko marefu.
Napenda tushirikiane kutafakari na kujadiliana hili jambo. Wengi wetu tumeshuhudia jinsi viongozi na wabunge wa CHADEMA walivyo mstari wa mbele katika kushinikiza wananchi kutochangia na kushiriki shughuli za mwenge wa uhuru.
Binafsi napata shida sana kutambua nini huwa ni lengo la hawa viongozi wa CHADEMA. Najiuliza kama ni kweli huwa wanamaanisha wanachokisema au huwa wanaamua kuropoka tu.
Hebu tujaribu kutazama hizi picha za tukio la kuzimwa mwenge Iringa halafu tujaribu kujadiliana hasa tukizingatia huyu mwenzetu Mchungaji Msigwa naye ni mmoja wa wanaopinga na kuhamasisha wananchi kususia shughuli za mwenge.
Salamu zenu na habari ya mapumziko marefu.
Napenda tushirikiane kutafakari na kujadiliana hili jambo. Wengi wetu tumeshuhudia jinsi viongozi na wabunge wa CHADEMA walivyo mstari wa mbele katika kushinikiza wananchi kutochangia na kushiriki shughuli za mwenge wa uhuru.
Binafsi napata shida sana kutambua nini huwa ni lengo la hawa viongozi wa CHADEMA. Najiuliza kama ni kweli huwa wanamaanisha wanachokisema au huwa wanaamua kuropoka tu.
Hebu tujaribu kutazama hizi picha za tukio la kuzimwa mwenge Iringa halafu tujaribu kujadiliana hasa tukizingatia huyu mwenzetu Mchungaji Msigwa naye ni mmoja wa wanaopinga na kuhamasisha wananchi kususia shughuli za mwenge.