CHADEMA na maandamano

chadema punguzen maandamano badala yake muwe washauri wazuri wawananchi kwani mi naona maandamano ni kelo kwa wananchi tofauti na ushauri.maandamano ya chadema yamekuwa yakileta vurugu licha ya kwamba hizo vurugu husababishwa na jeshi la polisi, lakini hata chadema nikisabishi kikubwa kwani ukiona kitu unachokifanya kinaleta maasiliko licha ya kulaumu wanaokuzuia inapaswa na wewe utafute njia mbadala badala ya kung'ang'ania kile ambacho kinaleta maasiliko kwa jamii na kwa wananchi waliokuchagua.kiujumla hata ukiwa mshauri mzuri wa serikali na wananchi zaidi ya kubezi kwenye maandamano kama njia ya kutatua matatizo.tatizo la kupanda kwa garama za maisha ni tatizo la mvua kutonyesha kwa wingi kwani mwananchi mwenye chagula kidogo hawezi kuuza chakula chake mpaka apewe hela nyingi na ndo mwanzo wa vitu kupanda ,

Kwahiyo mvua ikinyesha tu gharama ya maisha itapungua???
 
chadema punguzen maandamano badala yake muwe washauri wazuri wawananchi kwani mi naona maandamano ni kelo kwa wananchi tofauti na ushauri.maandamano ya chadema yamekuwa yakileta vurugu licha ya kwamba hizo vurugu husababishwa na jeshi la polisi, lakini hata chadema nikisabishi kikubwa kwani ukiona kitu unachokifanya kinaleta maasiliko licha ya kulaumu wanaokuzuia inapaswa na wewe utafute njia mbadala badala ya kung'ang'ania kile ambacho kinaleta maasiliko kwa jamii na kwa wananchi waliokuchagua.kiujumla hata ukiwa mshauri mzuri wa serikali na wananchi zaidi ya kubezi kwenye maandamano kama njia ya kutatua matatizo.tatizo la kupanda kwa garama za maisha ni tatizo la mvua kutonyesha kwa wingi kwani mwananchi mwenye chagula kidogo hawezi kuuza chakula chake mpaka apewe hela nyingi na ndo mwanzo wa vitu kupanda ,

Tatizo kubwa la watu wanao watuma mje humu JF kuwabeba hawawapimi uelewa wenu matokeo yake ndio haya.
Hivi unajua uchumi wewe, Hivi Maandamano yanaleta maathiriko kwa Jamii?
Hivi Watunisia na Wamisri wakisikia Duniani bado kuna watu kama wewe wataamini kweli Tanzania hipo sayari hii hii ya "earth"
Humu JF wengi wamekuzidi uwezo wa kupembua na kuchanganua Hoja, kamwambie aliyekutuma "KIATU ULICHONIVISHA NI KIKUBWA SANA KWANGU" Maana usipokuwa muangalifu kitakuangusha
 
Hilo tatizo la jinsi unavyoandika kiswahili chako labda limesababishwa na upungufu wa mvua!!!! Lakini maoni yako juu ya raia wa nchi hii kutumia haki yao ya kikatiba kuandamana sijui umeyatoa wapi!! Hivi nani hasa anayehitajì ushauri juu ya hili, vyama halali na taasisi zinazotumia haki ya kikatiba au serikali dhalimu inayowapora raia haki yao ya kikatiba kuandamana???
 
Duuuuuh una elimu ya kiwango gani ndugu yangu, hatupo katika jamii kupoteza muda tunapanuana ufahamu, na nikweli una IQ ndogo, jiulize haki inaombwa au inatafutwa? yu mikini upo jinsi ulivyo coz unaomba haki na kuwashauri wanaokukandamiza wakuachie, tuache wenzio wenye ufahamu +++ " tunatafuta haki na kuwapinga wanaotukandamiza"" Umenikeeeeeera! kama vipi sign out usitokee tana.
 
yaani ww ufahamu wako umeganda inahitajika ustuliwe kwa short ya umeme,, ww ume2mwa au umeagizwa? jua huku kuna watu wenye akili timamu tuondolee upuuzi wako waachie wenye akili timamu wafanya mambo!
 
Please nadhani unakaribia kuchanganyikiwa, kakojoe ulale labda ufahamu utarudi
 
chadema punguzen maandamano badala yake muwe washauri wazuri wawananchi kwani mi naona maandamano ni kelo kwa wananchi tofauti na ushauri.maandamano ya chadema yamekuwa yakileta vurugu licha ya kwamba hizo vurugu husababishwa na jeshi la polisi, lakini hata chadema nikisabishi kikubwa kwani ukiona kitu unachokifanya kinaleta maasiliko licha ya kulaumu wanaokuzuia inapaswa na wewe utafute njia mbadala badala ya kung'ang'ania kile ambacho kinaleta maasiliko kwa jamii na kwa wananchi waliokuchagua.kiujumla hata ukiwa mshauri mzuri wa serikali na wananchi zaidi ya kubezi kwenye maandamano kama njia ya kutatua matatizo.tatizo la kupanda kwa garama za maisha ni tatizo la mvua kutonyesha kwa wingi kwani mwananchi mwenye chagula kidogo hawezi kuuza chakula chake mpaka apewe hela nyingi na ndo mwanzo wa vitu kupanda ,
We umetumwa?Na aliekutuma yupo Ivory coast now kutatua migogoro yao ya kuchakachua?
"ni bora kukaa kimya unaweza kuficha udhaifu wako,kuliko kuongea na kujidharaulisha kama thread yako ya kichovu"
 
Hashakumu si matusi ila wewe ni mpumbafu wa kwanza kuonekana jf. sio siri bora ukakojoe ulale labda utapata mawazo mazuri ukiwa ndotoni
 
chadema punguzen maandamano badala yake muwe washauri wazuri wawananchi kwani mi naona maandamano ni kelo kwa wananchi tofauti na ushauri.maandamano ya chadema yamekuwa yakileta vurugu licha ya kwamba hizo vurugu husababishwa na jeshi la polisi, lakini hata chadema nikisabishi kikubwa kwani ukiona kitu unachokifanya kinaleta maasiliko licha ya kulaumu wanaokuzuia inapaswa na wewe utafute njia mbadala badala ya kung'ang'ania kile ambacho kinaleta maasiliko kwa jamii na kwa wananchi waliokuchagua.kiujumla hata ukiwa mshauri mzuri wa serikali na wananchi zaidi ya kubezi kwenye maandamano kama njia ya kutatua matatizo.tatizo la kupanda kwa garama za maisha ni tatizo la mvua kutonyesha kwa wingi kwani mwananchi mwenye chagula kidogo hawezi kuuza chakula chake mpaka apewe hela nyingi na ndo mwanzo wa vitu kupanda ,

Emma Emma Emma aliyekutuma nani kutushauri nauliza na ninakushangaa ati vile sisi ni wajinga au wapumbavu ni nani huyo??
 
chadema punguzen maandamano badala yake muwe washauri wazuri wawananchi kwani mi naona maandamano ni kelo kwa wananchi tofauti na ushauri.maandamano ya chadema yamekuwa yakileta vurugu licha ya kwamba hizo vurugu husababishwa na jeshi la polisi, lakini hata chadema nikisabishi kikubwa kwani ukiona kitu unachokifanya kinaleta maasiliko licha ya kulaumu wanaokuzuia inapaswa na wewe utafute njia mbadala badala ya kung'ang'ania kile ambacho kinaleta maasiliko kwa jamii na kwa wananchi waliokuchagua.kiujumla hata ukiwa mshauri mzuri wa serikali na wananchi zaidi ya kubezi kwenye maandamano kama njia ya kutatua matatizo.tatizo la kupanda kwa garama za maisha ni tatizo la mvua kutonyesha kwa wingi kwani mwananchi mwenye chagula kidogo hawezi kuuza chakula chake mpaka apewe hela nyingi na ndo mwanzo wa vitu kupanda ,
Unaishi kwa kutegemea mvua ndiyo ulime? huna njia zingine mbadala za kilimo wakati wa mvua hainyeshi?....Sokoine chuo kikuu cha kilimo wanaushauri gani?...
 
chadema punguzen maandamano badala yake muwe washauri wazuri wawananchi kwani mi naona maandamano ni kelo kwa wananchi tofauti na ushauri.maandamano ya chadema yamekuwa yakileta vurugu licha ya kwamba hizo vurugu husababishwa na jeshi la polisi, lakini hata chadema nikisabishi kikubwa kwani ukiona kitu unachokifanya kinaleta maasiliko licha ya kulaumu wanaokuzuia inapaswa na wewe utafute njia mbadala badala ya kung'ang'ania kile ambacho kinaleta maasiliko kwa jamii na kwa wananchi waliokuchagua.kiujumla hata ukiwa mshauri mzuri wa serikali na wananchi zaidi ya kubezi kwenye maandamano kama njia ya kutatua matatizo.tatizo la kupanda kwa garama za maisha ni tatizo la mvua kutonyesha kwa wingi kwani mwananchi mwenye chagula kidogo hawezi kuuza chakula chake mpaka apewe hela nyingi na ndo mwanzo wa vitu kupanda ,

Another crap
 
SO WHT????na mwaka huu mpaka kieleweke

Kieleweke nini9 hayo maandamano ya kila siku yanawasaidia nini? Zaidi ya fujo, kuumiza na mpaka watu wengine kutoa roho zao.

Chadema wameshakaa chini wakafikiri maafa ya maandamano?

Watu wengi hufata mkumbo wakidhani kuwa baada ya maandamano itashuka miujiza ya kuwabadilisha maisha yao yakawa bora kuliko yalivyo sasa. Na mengi ya haya maandamano hupangwa na kuanzishwa na watu wachache wenye uchu wa madaraka, na huwachochea watu ya ama kwa dini zao au itikadi zao zao za kisiasa.

Kwa nchi kama Tanzania na uongozi uliopo ambao unadhiri kila sababu za upinzani, ni nini kiwqafikishe Chadema hata kufanya maandamano?

Ni kipi walichodai Chadema kisiasa na kiuungwana wakanyimwa na Serikali iliyopo madarakani?

Ikumbukwe kuwa, tusifate mkumbo wa kuitisha maandamano pasipo na sababu za msingi. Sioni kama kutakuwa na ushindi wa ghafla kwa waanzisha maandamano.

Tanzania tumeishi kwa amani na utulivu tokea utawala wa wa Arabu mpaka ukaja utawala wa kijerumani (ukaanzisha fujo na vita vya hapa na pale) lakini toka nchi hii ilipowekwa kwenye uangalizi wa Umoja wa Mataifa! Baada ya kushindwa vita kuu ya pili ya Dunia waJerumani, na kupewa waIngereza waiongoze mpaka tutakapojiweza wenyewe hadi miaka hamsini baada ya kukabidhiwa nchi yetu na Umoja wa Mataifa, hatukuona fujo za watu kuuana wenyewe. Tuliona mauaji yaliyosaboshwa na siasa mbovu za Nyerere, watu walipokuwa wakifa hovyo kwa kuliwa na Simba, Chui na kadhalika walipohanishwa kwa nguvu kupelekwa maporini kuanzisha vijiji. Sasa kunani hawa Chadema kuanza na siasa za maandamano kutaka kutuharibia amani?

Ni nini mTanzania wa leo anachokosa ambacho kimesababishwa na uongozi uliopo sasa madarakani?
 
Duh!! hiyo lugha..yaani wewe ni mtanzania kweli, au ulisomea ughaibuni..ni aibu kwa kweli.
Hili limejitokeza pia kwenye baadhi ya magazeti nchini.
 
Emma umekosea, Huwezi kulala Nchi inateketea, wewe Umeridhka ee, au hao jamaa ni SWAHBA zako, angalia tusikuchukie!! Ohoo,
 
pole imma 26 kwa mawazo yako finyu. jitahidi kufikiri kwa kina kabla ya kupost thread yako. kama vipi hata umwulize mwanzio kama inaridhisha kuifikisha kwenye jamvi la "GREAT THINKERS"
 
Kieleweke nini9 hayo maandamano ya kila siku yanawasaidia nini? Zaidi ya fujo, kuumiza na mpaka watu wengine kutoa roho zao.

Chadema wameshakaa chini wakafikiri maafa ya maandamano?

Watu wengi hufata mkumbo wakidhani kuwa baada ya maandamano itashuka miujiza ya kuwabadilisha maisha yao yakawa bora kuliko yalivyo sasa. Na mengi ya haya maandamano hupangwa na kuanzishwa na watu wachache wenye uchu wa madaraka, na huwachochea watu ya ama kwa dini zao au itikadi zao zao za kisiasa.

Kwa nchi kama Tanzania na uongozi uliopo ambao unadhiri kila sababu za upinzani, ni nini kiwqafikishe Chadema hata kufanya maandamano?

Ni kipi walichodai Chadema kisiasa na kiuungwana wakanyimwa na Serikali iliyopo madarakani?

Ikumbukwe kuwa, tusifate mkumbo wa kuitisha maandamano pasipo na sababu za msingi. Sioni kama kutakuwa na ushindi wa ghafla kwa waanzisha maandamano.

Tanzania tumeishi kwa amani na utulivu tokea utawala wa wa Arabu mpaka ukaja utawala wa kijerumani (ukaanzisha fujo na vita vya hapa na pale) lakini toka nchi hii ilipowekwa kwenye uangalizi wa Umoja wa Mataifa! Baada ya kushindwa vita kuu ya pili ya Dunia waJerumani, na kupewa waIngereza waiongoze mpaka tutakapojiweza wenyewe hadi miaka hamsini baada ya kukabidhiwa nchi yetu na Umoja wa Mataifa, hatukuona fujo za watu kuuana wenyewe. Tuliona mauaji yaliyosaboshwa na siasa mbovu za Nyerere, watu walipokuwa wakifa hovyo kwa kuliwa na Simba, Chui na kadhalika walipohanishwa kwa nguvu kupelekwa maporini kuanzisha vijiji. Sasa kunani hawa Chadema kuanza na siasa za maandamano kutaka kutuharibia amani?

Ni nini mTanzania wa leo anachokosa ambacho kimesababishwa na uongozi uliopo sasa madarakani?

Another kupe..mnadhani mtatawala milele nyie majizi ....mwisho wenu unawadia
 
Ninamashaka sana na motive ya polisi wa Arusha na hayo mabomu na risasi zao. I smell something very fishy. Angalia walivyojitayarisha, wanasindikiza halafu wanaattack bila provocation yoyote. Chukua tahadhari hawa wanalao jambo
 
mtoa mada, ni mchanga sana kifikra na pia anahitaji kusaidiwa kwa kupewa taarifa za kutosha, natamani Nchi nzima ifanye maandamano ndani ya siku moja na yaendelee siku zote mpaka tumtoe mkwere ikulu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom