CHADEMA na maandamano

emma 26

Senior Member
Oct 29, 2010
108
2
chadema punguzen maandamano badala yake muwe washauri wazuri wawananchi kwani mi naona maandamano ni kelo kwa wananchi tofauti na ushauri.maandamano ya chadema yamekuwa yakileta vurugu licha ya kwamba hizo vurugu husababishwa na jeshi la polisi, lakini hata chadema nikisabishi kikubwa kwani ukiona kitu unachokifanya kinaleta maasiliko licha ya kulaumu wanaokuzuia inapaswa na wewe utafute njia mbadala badala ya kung'ang'ania kile ambacho kinaleta maasiliko kwa jamii na kwa wananchi waliokuchagua.kiujumla hata ukiwa mshauri mzuri wa serikali na wananchi zaidi ya kubezi kwenye maandamano kama njia ya kutatua matatizo.tatizo la kupanda kwa garama za maisha ni tatizo la mvua kutonyesha kwa wingi kwani mwananchi mwenye chagula kidogo hawezi kuuza chakula chake mpaka apewe hela nyingi na ndo mwanzo wa vitu kupanda ,
 
chadema punguzen maandamano badala yake muwe washauri wazuri wawananchi kwani mi naona maandamano ni kelo kwa wananchi tofauti na ushauri.maandamano ya chadema yamekuwa yakileta vurugu licha ya kwamba hizo vurugu husababishwa na jeshi la polisi, lakini hata chadema nikisabishi kikubwa kwani ukiona kitu unachokifanya kinaleta maasiliko licha ya kulaumu wanaokuzuia inapaswa na wewe utafute njia mbadala badala ya kung'ang'ania kile ambacho kinaleta maasiliko kwa jamii na kwa wananchi waliokuchagua.kiujumla hata ukiwa mshauri mzuri wa serikali na wananchi zaidi ya kubezi kwenye maandamano kama njia ya kutatua matatizo.tatizo la kupanda kwa garama za maisha ni tatizo la mvua kutonyesha kwa wingi kwani mwananchi mwenye chagula kidogo hawezi kuuza chakula chake mpaka apewe hela nyingi na ndo mwanzo wa vitu kupanda ,
What's the point? Sijakuelewa. Kiswahili hujui, point hakuna.
 
Akili yako imeganda sana wewe. Tangu lini gharama za kupanda kwa bei zikasababishwa na kutokunyesha kwa mvua? Wenzako wamenunua magari ya kifahari ya shilingi milioni 280 na hii imeyumbisha uchumi wetu na shilingi imeshuka thamani. Hii ndiyo hasa sababu ya kupanda kwa vyakula na si vinginevyo.
 
Hivi emma unajua kuna watoto wanasoma jamii forum?
Hata mdudu ukimtafsiria hii hoja ataidharau.
Ukiwa huna cha kuandika tulia soma vya wenzako.
Huu ni ushauri wangu kwako kama huutaki endelea kuonesha udhaifu wa hoja zako hadharani.
 
What's the point? Sijakuelewa. Kiswahili hujui, point hakuna.


Ukisoma vizuri utaona huyu aweza kuwa mdogo wako kiumri pia kimasomo mpe chance ajieleze mind you sii lazima u respond kwa kila thread! kama hauko impressed ipotezee tu. JF is for all na si kwako tu uliye soma saana na mwenye point!
 
chadema punguzen maandamano badala yake muwe washauri wazuri wawananchi kwani mi naona maandamano ni kelo kwa wananchi tofauti na ushauri.maandamano ya chadema yamekuwa yakileta vurugu licha ya kwamba hizo vurugu husababishwa na jeshi la polisi, lakini hata chadema nikisabishi kikubwa kwani ukiona kitu unachokifanya kinaleta maasiliko licha ya kulaumu wanaokuzuia inapaswa na wewe utafute njia mbadala badala ya kung'ang'ania kile ambacho kinaleta maasiliko kwa jamii na kwa wananchi waliokuchagua.kiujumla hata ukiwa mshauri mzuri wa serikali na wananchi zaidi ya kubezi kwenye maandamano kama njia ya kutatua matatizo.tatizo la kupanda kwa garama za maisha ni tatizo la mvua kutonyesha kwa wingi kwani mwananchi mwenye chagula kidogo hawezi kuuza chakula chake mpaka apewe hela nyingi na ndo mwanzo wa vitu kupanda ,
Kazi ipo. Haya Profesa basi tuambie kama mfumuko unasbabishwa na tatizo la mvua, mgao wa umeme unasababishwa na nani? Dowans nani kaileta? Uchaguzi wa Meya Arusha uliharibika kutokana na tatizo la mvua? Migomo ya wanafunzi je? Kama huna hakika na mambo unayoyaleta hapa ni vizuri ukawa muungwana kwa kukaa kimya. Kwenye bold kunadhihirish pia uwezo wako
 
Ukisoma vizuri utaona huyu aweza kuwa mdogo wako kiumri pia kimasomo mpe chance ajieleze mind you sii lazima u respond kwa kila thread! kama hauko impressed ipotezee tu. JF is for all na si kwako tu uliye soma saana na mwenye point!

Lakini ni home of Great Thinkers. Kama hana point atafute sehemu nyingine ambako watu hawachambui mambo. Atuletee point tumwelewe kisha tuchangie sio bla bla
 
Ukisoma vizuri utaona huyu aweza kuwa mdogo wako kiumri pia kimasomo mpe chance ajieleze mind you sii lazima u respond kwa kila thread! kama hauko impressed ipotezee tu. JF is for all na si kwako tu uliye soma saana na mwenye point!
Humu si sehemu ya kujifunzia kiswahili cha chekechea mwambie anatupotezea muda tufikirie mwarabu feki wa Dowans halafu sijui tena tuanze kufikiria alichoandika emma 26 kina maana gani hatuna muda huo lazima awe short and precise.
 
chadema punguzen maandamano badala yake muwe washauri wazuri wawananchi kwani mi naona maandamano ni kelo kwa wananchi tofauti na ushauri.maandamano ya chadema yamekuwa yakileta vurugu licha ya kwamba hizo vurugu husababishwa na jeshi la polisi, lakini hata chadema nikisabishi kikubwa kwani ukiona kitu unachokifanya kinaleta maasiliko licha ya kulaumu wanaokuzuia inapaswa na wewe utafute njia mbadala badala ya kung'ang'ania kile ambacho kinaleta maasiliko kwa jamii na kwa wananchi waliokuchagua.kiujumla hata ukiwa mshauri mzuri wa serikali na wananchi zaidi ya kubezi kwenye maandamano kama njia ya kutatua matatizo.tatizo la kupanda kwa garama za maisha ni tatizo la mvua kutonyesha kwa wingi kwani mwananchi mwenye chagula kidogo hawezi kuuza chakula chake mpaka apewe hela nyingi na ndo mwanzo wa vitu kupanda ,
kupanda kwa gharama za maisha ni tatizo la MVUA! duu pole sana na mbona hujasema serikali yako ifanyeje sasa!?
Umrii wako mdogo sana wewe au ndo IQ yako ndogo!
Tumewapa nchi mataahila lazima tuwapresharize ili wasitupeleke kubaya zaidi,
Madudu waliyofanya yanatosha TUNAHITAJI UKOMBOZI WA KWELI!
 
[/B][/I]
Lakini ni home of Great Thinkers. Kama hana point atafute sehemu nyingine ambako watu hawachambui mambo. Atuletee point tumwelewe kisha tuchangie sio bla bla
Sure aende kwa Michuzi akangalie picha za ma miss.
 
chadema punguzen maandamano badala yake muwe washauri wazuri wawananchi kwani mi naona maandamano ni kelo kwa wananchi tofauti na ushauri.maandamano ya chadema yamekuwa yakileta vurugu licha ya kwamba hizo vurugu husababishwa na jeshi la polisi, lakini hata chadema nikisabishi kikubwa kwani ukiona kitu unachokifanya kinaleta maasiliko licha ya kulaumu wanaokuzuia inapaswa na wewe utafute njia mbadala badala ya kung'ang'ania kile ambacho kinaleta maasiliko kwa jamii na kwa wananchi waliokuchagua.kiujumla hata ukiwa mshauri mzuri wa serikali na wananchi zaidi ya kubezi kwenye maandamano kama njia ya kutatua matatizo.tatizo la kupanda kwa garama za maisha ni tatizo la mvua kutonyesha kwa wingi kwani mwananchi mwenye chagula kidogo hawezi kuuza chakula chake mpaka apewe hela nyingi na ndo mwanzo wa vitu kupanda ,

Mkuu siamini kama uwezo wako wa kufikiri umegota hapa na ukaona kuwa hiyo ndo sababu kuu ya kupanda kwa gharama za maisha. Miaka 50 ya uhuru bado watu wetu wanafikiri hivi kwa matatizo yanayozunguka jamii zetu. Kweli si kila aliyesoma ameelimika.
 
Kwa taarifa mpya nilizonazo kesho mwanza watajitokeza waaandamanaji wengi sana,naendelea kudodosa Mitaa ya sahara.
Peoooooooooooooooooooooooplez poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer
 
Nadhani kuandamana ni kupeleka ujumbe kwa kile ambacho either unakiunga mkono au haikurithishi na unataka ifanyiwe kazi na wahusika. Nadhani maandamano yakiwa ya amani bila polisi kuingilia kati na kuanzisha vurugu zitapeleka ujumbe na hatimaye watu wenye macho na masikio watayaona na kuyasikia au kulazimishwa kusikia na wakoloni wetu ambao tunawaita marafiki wa kuchangia kapu la budget!!!!

Jana kuna tuhuma nyingi kuwa kulikuwa na maandamano Arusha kwenda manispaa kumbe ilikuwa uzushi mtupi kwani watu walitawanyika kabla hata ya kufika barabara ya Kijenga-Mjini wakitoke mahakamani. Hivyo yule mwana JF aliyesema walikuwa wanakaribia ofisi za manispaa ya Arusha, nathubutu kusema ni mzushi, mchonganishi na mwongo. Ukitaka kujua ukweli soma habari iliyoandikwa kwa muchuzi yenye taarifa nzima.
Tujifunze kuwa wakweli na tusipost vitu ambavyo havina uhakika au hauna uhakika na chanzo (source) yake.
 
Kaka Nanu nakuunga mkono for that meaning of kuandamana. But hear as home of great Thinkers je alichokiwakilisha mdau emma 26 kina tatizo gani?. Hapa la msingi nadhani mchangiaji bora ni wa kumweleza bwana emma kuwa chadema ina ona maandamano haya ni dili kwa sababu abc na siyo kuanza kumshambulia kwa mitusi.Great thinker hajadili mambo kwa mitusi bali kwa hoja.
 
chadema punguzen maandamano badala yake muwe washauri wazuri wawananchi kwani mi naona maandamano ni kelo kwa wananchi tofauti na ushauri.maandamano ya chadema yamekuwa yakileta vurugu licha ya kwamba hizo vurugu husababishwa na jeshi la polisi, lakini hata chadema nikisabishi kikubwa kwani ukiona kitu unachokifanya kinaleta maasiliko licha ya kulaumu wanaokuzuia inapaswa na wewe utafute njia mbadala badala ya kung'ang'ania kile ambacho kinaleta maasiliko kwa jamii na kwa wananchi waliokuchagua.kiujumla hata ukiwa mshauri mzuri wa serikali na wananchi zaidi ya kubezi kwenye maandamano kama njia ya kutatua matatizo.tatizo la kupanda kwa garama za maisha ni tatizo la mvua kutonyesha kwa wingi kwani mwananchi mwenye chagula kidogo hawezi kuuza chakula chake mpaka apewe hela nyingi na ndo mwanzo wa vitu kupanda ,

Ndugu yangu kama wewe unafaidi na mfumo huo wa utawala uliopo, bora uftate mdomo wako. Watu wamechoka kwa kuumia kila kukicha, ukali ambao wewe na vibaraka wengine wachache hamuuoni au kuusikia kwa sababu na vijizawadi mnazofaidi hata kuwafumba midomo. Ndio maana hata hujui kuandika wala unachoandika....watu watandamana tu whatever the cost; the cost that can bring our humanity back...whatever that can redeem our resources, our dignity, and our country....angalia the signs of time....bado unalala?
 
Back
Top Bottom