Chadema na Lissu wapo mitandaoni tu

Chadema na Lissu wapo mitandaoni tu

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
58,041
Reaction score
134,315
EkOYV7gWsAM-DOq.jpeg

Huu ni mtandao gani wajameni.
 
Tigo hiyo mkuu, legends watakuwa wameelewa
 
Bashiru na Pole Pole wanakihujumu sana Chama chetu.... Walahi hawa watu hawafai kubaki baada ya huu uchaguzi..... Kumbe jasiri aachi asili, Bashiru was CUF member. kirusi tuliletewa.
 
Sasa hapo kuna nini?? Mwambieni mpigapicha wenu siku nyingine awe anapiga picha kupitia drone ili tuone ukweli halisi. Angalia nyomi ya Tanganyika Packers TBC1 live. Lakini bado siku 13 tu tuwanyooshe!
wadau wanataka kujua idadi ya wasanii hapo packers
 
Back
Top Bottom