CHADEMA na lawama kwa Walimu

CHADEMA na lawama kwa Walimu

Mimi ni mwl nikwambie tuu Sisi walimu tunahusika kuiba na kuchachua kura, na nimeshiriki chaguzi zote za 2010, 2015 na 2020 uchaguzi tulioiba kura wazi wazi ni uchaguzi wa meko, watumishi wa tume wamepiga kura zaidi ya tano kwenye vituo wanampigia meko, wanafunzi wasioandikishwa waliwapigia kura watu wengine walioandikishwa. Kwa ufupi tunasitahili lawama.

Usiseme walimu, ni wewe na wizi wako, kwani ulienda kama mwalimu? Mbona hiyo 2010,2015 CHADEMA walishinda majimbo mengi tu, yalisimamiwa na madaktari?

Kama hujui ni kwamba, nilisimamia uchaguzi mwaka 2020 huo wa MEKO, mbali na kutumia mabavu, aliweza kuwa spoil watu tangu awali, kwa sabab mtaji wake ulikuwa ni wananchi ambao wengi wana ujinga wa siasa, ambao kimsingi ni wengi, mwisho wa siku wakurugenzi ndio walisoma matokeo, na sio walimu, kuwa na aibu.
 
Walimu mnalaumiwa sababu ni wengi mnaweza mkafanya jambo na mambo yakaenda vizuri, kula zinaletwa kwenye masanduku huku mnaona lakini kimya
Wakafanya jambo, yaani kuwasaidia CHADEMA washike madaraka au??

Wanasiasa ni genhe la wapumbavu yaani.
 
Usiseme walimu, ni wewe na wizi wako, kwani ulienda kama mwalimu? Mbona hiyo 2010,2015 CHADEMA walishinda majimbo mengi tu, yalisimamiwa na madaktari?

Kama hujui ni kwamba, nilisimamia uchaguzi mwaka 2020 huo wa MEKO, mbali na kutumia mabavu, aliweza kuwa spoil watu tangu awali, kwa sabab mtaji wake ulikuwa ni wananchi ambao wengi wana ujinga wa siasa, ambao kimsingi ni wengi, mwisho wa siku wakurugenzi ndio walisoma matokeo, na sio walimu, kuwa na aibu.
Hoja yako ni walimu, na Mimi ni mwl niliingia kwenye uchaguzi kama mwalimu, uchaguzi huo wizi ulikuwa wazi wazi kwenye macho ya nyama Acha ubishi wa kijinga. Maaanduku yamepinduliwa na kubadilishwa kwenye magari ya tume tunaona Kwa macho weee vipi babu?? Accept lawama tunastahili.
 
Hoja yako ni walimu, na Mimi ni mwl niliingia kwenye uchaguzi kama mwalimu, uchaguzi huo wizi ulikuwa wazi wazi kwenye macho ya nyama Acha ubishi wa kijinga. Maaanduku yamepinduliwa na kubadilishwa kwenye magari ya tume tunaona Kwa macho weee vipi babu?? Accept lawama tunastahili.

Eti ubishi wa kijinga, yani hujengi hoja kueleweka unataka nikubali tu bro; wewe kuwa Mwalimu sio guarantee ya kunifanya nikubali kwamba sisi ndio tunaiba kura na kuiweka CCM madarakani; hata angekuwepo mtu mwingine, umesema masanduku yamepinduliwa na kubadilishwa kwenye magari, wewe kama mwalimu ulitaka ufanyaje hapo? Mbona huna hata aibu, bro....... yani hadi Bashiru alisema “wanatumia dola kubaki madarakani” kwani hWakujua kama kuna walimu? Ukiniona mbishi endelea tu, ila sikubali ujinga mimi, vihasira vyenu pelekeni hukoo
 
Eti ubishi wa kijinga, yani hujengi hoja kueleweka unataka nikubali tu bro; wewe kuwa Mwalimu sio guarantee ya kunifanya nikubali kwamba sisi ndio tunaiba kura na kuiweka CCM madarakani; hata angekuwepo mtu mwingine, umesema masanduku yamepinduliwa na kubadilishwa kwenye magari, wewe kama mwalimu ulitaka ufanyaje hapo? Mbona huna hata aibu, bro....... yani hadi Bashiru alisema “wanatumia dola kubaki madarakani” kwani hWakujua kama kuna walimu? Ukiniona mbishi endelea tu, ila sikubali ujinga mimi, vihasira vyenu pelekeni hukoo
Wee jamaa hujielewi. Walimu tunastahili lawama zote za nchi ilipo sasa. Sisi ndio sababu, think wide Acha kuwaza kibata.
 
Wee jamaa hujielewi. Walimu tunastahili lawama zote za nchi ilipo sasa. Sisi ndio sababu, think wide Acha kuwaza kibata.

relax bro; umesha karirishwa huko, kada mtiifu.
 
Bila shaka kwa nguvu na Muumba tu wazima na harakati za kujenga maisha yetu pamoja na taifa kwa ujumla.

Leo nikiwa kama Mwalimu kitaaluma, naomba nizungumzie madai, lawama na kuhusishwa kwa kundi hili adhimu na siasa za nchi yetu.

Kwa kuanza naomba mtambue, Walimu sio watumishi kada mali ya wanasaisa, walimu hatuhusiki na umiliki wa chama chochote cha siasa nchini, so far. Kumekuwa na lawama, chuki na maneno ya kejeri kutoka kwa makada wa vyama vya siasa hasa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenda kwa Walimu haswa linapokuja suala la uchaguzi mkuu hapa kwetu.

Ipo hivi; imeonekana mara nyingi walimu wakipewa nafasi za kusimamia uchaguzi mkuu, naomba mtofautishe, mamlaka pekee nchini zenye kusimamia hili zoezi ni NEC, POLISI na Wizara ya mambo ya ndani kwa ujumla, sio CWT wala chama chochote cha Walimu. Walimu sio wasimamizi, ni waendesha zoezi la kupiga kura, mwisho wa siku wao hufanya vile wanavyoelekezwa.

Vijana wa CHADEMA wamekuwa na kawaida ya kulaumu Walimu kuwa wanahusika na wizi wa kura ama kuisaidia CCM kuingia madarakani, jambo ambalo linashangaza, na linasikitisha ukizingatia CDM ndio chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, na mnajua ilivyo hadhi kubwa kuwa chama kikuu cha upinzani, hii ni sawa na kusema “chama mbadala wa chama tawala” kina kuja na hoja hii kwa kweli.

Walimu tunapata nafasi nyingi za kusimamia zoezi kulingana na wingi wetu katika kada, vile vile uzoefu wa kuratibu shughuli zinazohusisha watu wengi, uandishi na uzoefu katika kutoa maelekezo, mambo ambayo zoezi la upigaji kura linataka. Suala la kutumika na CCM halihusishi waalimu kaa sababu hakuna semina ya walimu kama walimu peke yake ya namna gani kura ziibiwe kituoni, ama waraka rasmi kwa Walimu kuhusu wizi wa kura. Na endapo itatokea mwalimu kama msimamizi wa kituo akafanya hivyo asihusishwe kama mwalimu kwa sababu hakutumwa kama Mwalimu, ualimu unahusiana vipi na wizi wa kura? Ni mtaala? Miiko ya kazi? Ama ni kitu gani.

NIONAVYO MIMI

CHADEMA huitumia hii hoja kwa namna mbili
1.SABABU YA KUPATA MTAJI WATU KISIASA Kwa kuwa Walimu ni kundi kubwa, wataka wawa “provoke” kwamba wao ndio sababu ya matatizo yote nchini pamoja na matatizo yao wenyewe lengo likiwa ni kuwafanya wawe subjects wao ambapo kwa madai haya maana yake Walimu kuyakataa itabidi wafanye matakwa ya CDM, kwa neno la kimombo wanaita “Blackmailing” yaani jitihada za kuwa prove wrong watu, Walimu wawape favor CDM.

Ndugu zangu CDM, kama kweli mnataka kuwa chama tawala nchi hii, acheni siasa za namna hii, changamoto katika utawala zipo kila kona duniani, fanyeni siasa yenu kama wanasiasa mnao jielewa, kumbukeni kundi mnalojaribu ku mess up nalo ni kubwa mno, lawama zikiwa nyingi zinakuwa sehemu ya maisha yetu, tukiwazoea hamtakuwa na mtaji wa watu huenda kama mnavyojaribu kutafuta kupitia sisi, dare not comrades!

2. KISINGIZIO BAADA YA KUSHINDWA UCHAGUZI
“Hata wakishinda wao, CCM itaunda serikali” nadhani mnamfahamu aliyesema hii kauli, kwa hiyo jueni kwamba mpo kwenye chi ambayo watu wana haki ya kupiga kura ila sio kuchagua viongozi, msilalamike lalamike hovyo kuwalaumu walimu as if sisi ndo tunaunda serikali, wapo walimu wengi tu makada wa vyama vya siasa ikiwemo chama chenu, amini usiamini kwa lawama hizi! (Sina neno)

”CCM itatumia dola kubaki madaraki” vile vile mnajua aliyesema hii kauli, hakusema CCM Itatumia Walimu kubaki madaraki, mkishindwa kuelewa na hapo basi hamjaamua tu na mnachuki na sisi za bure tu.

Mwisho kabisa naomba niwasihi muweke hadharani sera zenu kwa mtindo wa kuzidisha kutoa elimu zaidi hasa maeneo ya vijijini ambapo kuna ngoma kubwa sana ya chama tawala. Msiishie kutukana walimu, mbaya zaidi hamtulipi 😅 mnazidisha hasira tu.

Nawasilisha.
Maelezo yako tu yanakutambulisha kama mwanachama mtiifu wa CCM
 
Maelezo yako tu yanakutambulisha kama mwanachama mtiifu wa CCM

mmeshikwa akili ya kwamba; kutoa maoni ni mpaka uwe kada wa chama. Pole sana, sikupingi tena mtiifu sio kidogo.
 
Bila shaka kwa nguvu na Muumba tu wazima na harakati za kujenga maisha yetu pamoja na taifa kwa ujumla.

Leo nikiwa kama Mwalimu kitaaluma, naomba nizungumzie madai, lawama na kuhusishwa kwa kundi hili adhimu na siasa za nchi yetu.

Kwa kuanza naomba mtambue, Walimu sio watumishi kada mali ya wanasaisa, walimu hatuhusiki na umiliki wa chama chochote cha siasa nchini, so far. Kumekuwa na lawama, chuki na maneno ya kejeri kutoka kwa makada wa vyama vya siasa hasa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenda kwa Walimu haswa linapokuja suala la uchaguzi mkuu hapa kwetu.

Ipo hivi; imeonekana mara nyingi walimu wakipewa nafasi za kusimamia uchaguzi mkuu, naomba mtofautishe, mamlaka pekee nchini zenye kusimamia hili zoezi ni NEC, POLISI na Wizara ya mambo ya ndani kwa ujumla, sio CWT wala chama chochote cha Walimu. Walimu sio wasimamizi, ni waendesha zoezi la kupiga kura, mwisho wa siku wao hufanya vile wanavyoelekezwa.

Vijana wa CHADEMA wamekuwa na kawaida ya kulaumu Walimu kuwa wanahusika na wizi wa kura ama kuisaidia CCM kuingia madarakani, jambo ambalo linashangaza, na linasikitisha ukizingatia CDM ndio chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, na mnajua ilivyo hadhi kubwa kuwa chama kikuu cha upinzani, hii ni sawa na kusema “chama mbadala wa chama tawala” kina kuja na hoja hii kwa kweli.

Walimu tunapata nafasi nyingi za kusimamia zoezi kulingana na wingi wetu katika kada, vile vile uzoefu wa kuratibu shughuli zinazohusisha watu wengi, uandishi na uzoefu katika kutoa maelekezo, mambo ambayo zoezi la upigaji kura linataka. Suala la kutumika na CCM halihusishi waalimu kaa sababu hakuna semina ya walimu kama walimu peke yake ya namna gani kura ziibiwe kituoni, ama waraka rasmi kwa Walimu kuhusu wizi wa kura. Na endapo itatokea mwalimu kama msimamizi wa kituo akafanya hivyo asihusishwe kama mwalimu kwa sababu hakutumwa kama Mwalimu, ualimu unahusiana vipi na wizi wa kura? Ni mtaala? Miiko ya kazi? Ama ni kitu gani.

NIONAVYO MIMI

CHADEMA huitumia hii hoja kwa namna mbili
1.SABABU YA KUPATA MTAJI WATU KISIASA Kwa kuwa Walimu ni kundi kubwa, wataka wawa “provoke” kwamba wao ndio sababu ya matatizo yote nchini pamoja na matatizo yao wenyewe lengo likiwa ni kuwafanya wawe subjects wao ambapo kwa madai haya maana yake Walimu kuyakataa itabidi wafanye matakwa ya CDM, kwa neno la kimombo wanaita “Blackmailing” yaani jitihada za kuwa prove wrong watu, Walimu wawape favor CDM.

Ndugu zangu CDM, kama kweli mnataka kuwa chama tawala nchi hii, acheni siasa za namna hii, changamoto katika utawala zipo kila kona duniani, fanyeni siasa yenu kama wanasiasa mnao jielewa, kumbukeni kundi mnalojaribu ku mess up nalo ni kubwa mno, lawama zikiwa nyingi zinakuwa sehemu ya maisha yetu, tukiwazoea hamtakuwa na mtaji wa watu huenda kama mnavyojaribu kutafuta kupitia sisi, dare not comrades!

2. KISINGIZIO BAADA YA KUSHINDWA UCHAGUZI
“Hata wakishinda wao, CCM itaunda serikali” nadhani mnamfahamu aliyesema hii kauli, kwa hiyo jueni kwamba mpo kwenye chi ambayo watu wana haki ya kupiga kura ila sio kuchagua viongozi, msilalamike lalamike hovyo kuwalaumu walimu as if sisi ndo tunaunda serikali, wapo walimu wengi tu makada wa vyama vya siasa ikiwemo chama chenu, amini usiamini kwa lawama hizi! (Sina neno)

”CCM itatumia dola kubaki madaraki” vile vile mnajua aliyesema hii kauli, hakusema CCM Itatumia Walimu kubaki madaraki, mkishindwa kuelewa na hapo basi hamjaamua tu na mnachuki na sisi za bure tu.

Mwisho kabisa naomba niwasihi muweke hadharani sera zenu kwa mtindo wa kuzidisha kutoa elimu zaidi hasa maeneo ya vijijini ambapo kuna ngoma kubwa sana ya chama tawala. Msiishie kutukana walimu, mbaya zaidi hamtulipi 😅 mnazidisha hasira tu.

Nawasilisha.
hakuna majuha kama hili kundi
 
Haha haha . Unachrkesha sana ndugu mwalimu. Walimu wote wanaojielewa ni wafuasi wa vyama vya upinzani kama hujui jua leo. Acha wale wa msingi
Waendeshaji wa zoezi ! Wewe mwalimu wa wapi usiyejua kwamba hata waendeshaji wa zoezi nao ni sehemu ya zoezi?
Chukua hi (2015) nilikuwa vijijini huko nimeajiriwa na serikali sasa sipo huko.
Nilienda kujiandikisha kijiji cha mbali kidogo na pale mjini ili nipate huduma kwa haraka.
Siku ya uchaguzi baada ya ccm kuona Lowasa atashinda wakaja na mbinu. Watu waliambiwa waseme hawajui kusoma na kuandika baada ya kupewa 10000/= hizi zilikuwa zinatolewa na ndugu ye kigogo.
Walimu walikuwepo kwenye chumba cha kupigia kura ndiyo waliokuwa wanawapigia kura za ndiyo waliojiita hawajui kusoma naa kuandika kumbe URONGO
mambo haya huwezi kuyajua kama anachukulia walimu kama kundi fulani la watakatifu.
99% ya walimu ni waoga kwa muajir hata kabla ya KIAPO. jiulize akiapishwa kusimamia uchaguzi hali itakuwaje????
Note: siwadharau walimu kwa lolote.
 
Bila shaka kwa nguvu na Muumba tu wazima na harakati za kujenga maisha yetu pamoja na taifa kwa ujumla.

Leo nikiwa kama Mwalimu kitaaluma, naomba nizungumzie madai, lawama na kuhusishwa kwa kundi hili adhimu na siasa za nchi yetu.

Kwa kuanza naomba mtambue, Walimu sio watumishi kada mali ya wanasaisa, walimu hatuhusiki na umiliki wa chama chochote cha siasa nchini, so far. Kumekuwa na lawama, chuki na maneno ya kejeri kutoka kwa makada wa vyama vya siasa hasa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwenda kwa Walimu haswa linapokuja suala la uchaguzi mkuu hapa kwetu.

Ipo hivi; imeonekana mara nyingi walimu wakipewa nafasi za kusimamia uchaguzi mkuu, naomba mtofautishe, mamlaka pekee nchini zenye kusimamia hili zoezi ni NEC, POLISI na Wizara ya mambo ya ndani kwa ujumla, sio CWT wala chama chochote cha Walimu. Walimu sio wasimamizi, ni waendesha zoezi la kupiga kura, mwisho wa siku wao hufanya vile wanavyoelekezwa.

Vijana wa CHADEMA wamekuwa na kawaida ya kulaumu Walimu kuwa wanahusika na wizi wa kura ama kuisaidia CCM kuingia madarakani, jambo ambalo linashangaza, na linasikitisha ukizingatia CDM ndio chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, na mnajua ilivyo hadhi kubwa kuwa chama kikuu cha upinzani, hii ni sawa na kusema “chama mbadala wa chama tawala” kina kuja na hoja hii kwa kweli.

Walimu tunapata nafasi nyingi za kusimamia zoezi kulingana na wingi wetu katika kada, vile vile uzoefu wa kuratibu shughuli zinazohusisha watu wengi, uandishi na uzoefu katika kutoa maelekezo, mambo ambayo zoezi la upigaji kura linataka. Suala la kutumika na CCM halihusishi waalimu kaa sababu hakuna semina ya walimu kama walimu peke yake ya namna gani kura ziibiwe kituoni, ama waraka rasmi kwa Walimu kuhusu wizi wa kura. Na endapo itatokea mwalimu kama msimamizi wa kituo akafanya hivyo asihusishwe kama mwalimu kwa sababu hakutumwa kama Mwalimu, ualimu unahusiana vipi na wizi wa kura? Ni mtaala? Miiko ya kazi? Ama ni kitu gani.

NIONAVYO MIMI

CHADEMA huitumia hii hoja kwa namna mbili

1.SABABU YA KUPATA MTAJI WATU KISIASA Kwa kuwa Walimu ni kundi kubwa, wataka wawa “provoke” kwamba wao ndio sababu ya matatizo yote nchini pamoja na matatizo yao wenyewe lengo likiwa ni kuwafanya wawe subjects wao ambapo kwa madai haya maana yake Walimu kuyakataa itabidi wafanye matakwa ya CDM, kwa neno la kimombo wanaita “Blackmailing” yaani jitihada za kuwa prove wrong watu, Walimu wawape favor CDM.

Ndugu zangu CDM, kama kweli mnataka kuwa chama tawala nchi hii, acheni siasa za namna hii, changamoto katika utawala zipo kila kona duniani, fanyeni siasa yenu kama wanasiasa mnao jielewa, kumbukeni kundi mnalojaribu ku mess up nalo ni kubwa mno, lawama zikiwa nyingi zinakuwa sehemu ya maisha yetu, tukiwazoea hamtakuwa na mtaji wa watu huenda kama mnavyojaribu kutafuta kupitia sisi, dare not comrades!

2. KISINGIZIO BAADA YA KUSHINDWA UCHAGUZI

“Hata wakishinda wao, CCM itaunda serikali” nadhani mnamfahamu aliyesema hii kauli, kwa hiyo jueni kwamba mpo kwenye chi ambayo watu wana haki ya kupiga kura ila sio kuchagua viongozi, msilalamike lalamike hovyo kuwalaumu walimu as if sisi ndo tunaunda serikali, wapo walimu wengi tu makada wa vyama vya siasa ikiwemo chama chenu, amini usiamini kwa lawama hizi! (Sina neno)

”CCM itatumia dola kubaki madaraki” vile vile mnajua aliyesema hii kauli, hakusema CCM Itatumia Walimu kubaki madaraki, mkishindwa kuelewa na hapo basi hamjaamua tu na mnachuki na sisi za bure tu.

Mwisho kabisa naomba niwasihi muweke hadharani sera zenu kwa mtindo wa kuzidisha kutoa elimu zaidi hasa maeneo ya vijijini ambapo kuna ngoma kubwa sana ya chama tawala. Msiishie kutukana walimu, mbaya zaidi hamtulipi mnazidisha hasira tu.

Nawasilisha.
Tumekusikia kada mwaminifu wa CCM.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom