CHADEMA na FALSAFA ZA WAARABU

Wasomi historia za nchi za kiarabu tangia enzi za manabii, ndio watakapo jiona Tanzania ni tofauti kabisa na nchi hizo, CHADEMA MMECHANGANYIKIWA VIBYA sana , Mungu awarehemu !

Angalau Mungu awarehemu Chadema kuliko wewe unayestahili Mungu akuhurumie kwani ni dhahiri sio tu hujui utendalo bali pia hujui kuwa hujui utendalo (you don't know that you don't know).

Kama hujui historia yako hiyo ya waarabu utajulia wapi?By the way,ni uhayawani wa daraja la kwanza kufikiria kinachotokea Tunisia,Misri,Libya,nk ni UARABU.Actually,mafisadi mnakesha mkiomba iwe hivyo-UARABU.Mnakesha mkiomba Waafrika kusini mwa jangwa la Sahara wadhani kuwa kinachojiri Libya,et al sio matokeo ya udhalimu wa tawala zizopo madarakani,sio matokeo ya kufinyangwa demokrasia,na sio matokeo ya wananchi kuamua liwalo na liwe baada ya kuchoshwa na mfumo dhalimu.

Endeleeni na hizo wishful thinking zenu.
 
Werevu hawawapati hata siku moja. CDM bado
PHP:
mnahitaji miaka mingi ya KUNYONYA kabla ya kupewa nchi. Hii nchi tuna uchungu nayo sana hatuwezi kuwapa kirahisi.

Kwa vile wewe bado UNANYONYA basi unatamani Chadema nayo ifuate mkumbo huo?Una uchungu wa nchi au una uchungu na matatizo yako binafsi?Sasa kama huwezi hata kufahamu kuhusu uchungu wako binafsi,jitihada zako kujadili harakati za wanqnchi kujikwqmua kutoka katika mfumo kandamizi ni way too far beyond your comprehension.Quantum theory kwa chekechea.
 
Kufanya maandamano katika vitongozi mbalimbali vya mji wa Mwanza na kisha leo kuhamia Musoma ili kupinga kuongezeka kwa gharama za maisha, malipo ya dowans nk ni kufuata philosophy isiyofahamika. Warabu ni watu makini sana, wao wamefanya maandamano kudai matango tu baada ya miaka mingi ya utawala na hali isiyombaya ya uchumi.
Chadema wanachofanya sasa ni kuiga falsafa ambayo haiwezi kufanya kazi bongo. Tanzania ni nchi iliyojiwekea utaratibu wa kukabidhiana madaraka kila miaka 5.
Nawashauri CDM wasubiri 2015 vinginevyo watapoteza MVUTO.

Mkuu, CHADEMA walipanga na walianza kuandamana hata kabla ya nchi ya kwanza ya kiarabu (TUNISIA) mwaka huu kufanya hivyo. Labda uulize kwa nini waarabu wameiiga falsafa ya CHADEMA?!
 
Kufanya maandamano katika vitongozi mbalimbali vya mji wa Mwanza na kisha leo kuhamia Musoma ili kupinga kuongezeka kwa gharama za maisha, malipo ya dowans nk ni kufuata philosophy isiyofahamika. Warabu ni watu makini sana, wao wamefanya maandamano kudai matango tu baada ya miaka mingi ya utawala na hali isiyombaya ya uchumi.
Chadema wanachofanya sasa ni kuiga falsafa ambayo haiwezi kufanya kazi bongo. Tanzania ni nchi iliyojiwekea utaratibu wa kukabidhiana madaraka kila miaka 5.
Nawashauri CDM wasubiri 2015 vinginevyo watapoteza MVUTO.

HIvi unajua nini kilitangulia, maandamano ya CDM Arusha au maandamano ya Waarabu, ukishajua hilo nafikiri utakuwa umepata jibu la nani kamuiga nani, pia z
ingatia ni lini Chadema walianza kuomba vibali vya maandamano ya Arusha otherwise utakuwa mtu usiye na memories
 
Ndugu yangu Washawasha, ningependa RA na serikali yake waanguke tangu miaka kadhaa iliyopita lakini sijawaza nini kitatokea baada ya hapo. Hii nchi kwa sasa inamilikiwa na RA na watu wanadhani kuvumilia huu ushoga wa wanasiasa ndo kulinda amani. Hofu yangu ni kwamba si rahisi kumwondoa madarakani mfanyabiashara kama RA kwa kuwa yeye hakai Ikulu wala katika majengo yoyote ya Serikali. Maandamano ya CDM yakionesha kuimarika zaidi, yeye anasafiri na kuwaagiza wafanyakazi wake (ambao sisi tulidhani ndo tumewachagua kutuongoza) wayamalize haraka vinginevyo hatawapa fedha ya kampeni katika uchaguzi ujao au atawafukuza Kamati Kuu au Halmashauri Kuu ya Chama Chake. Huwezi kuamini nguvu itakayotumika hapo.Kwa kujibu swali lako si CDM watakoingia moja kwa moja madarakani, isipokuwa (RA akiwaamuru kuweka silaha chini) itaundwa serikali ya Umoja wa kitaifa kwa muda ili kuelekea Uchaguzi huru na wa haki. Wakati wa kampeni, kwa kuwa wanasiasa wa nchi zetu wanapenda sana madaraka, baadhi yao watauza utu wao na wa wale waliowaunga mkono kwa RA au mfanyabiashara mwingine Fisadi ili waingie madarakani na mwisho wa siku tutarudi palepale japokuwa mtindo unaweza kuwa tofauti na huu kwa kiasi fulani.

hivi RA kakufanya nini rafiki? Amekuchukulia MKE au?
 
Kufanya maandamano katika vitongozi mbalimbali vya mji wa Mwanza na kisha leo kuhamia Musoma ili kupinga kuongezeka kwa gharama za maisha, malipo ya dowans nk ni kufuata philosophy isiyofahamika. Warabu ni watu makini sana, wao wamefanya maandamano kudai matango tu baada ya miaka mingi ya utawala na hali isiyombaya ya uchumi.
Chadema wanachofanya sasa ni kuiga falsafa ambayo haiwezi kufanya kazi bongo. Tanzania ni nchi iliyojiwekea utaratibu wa kukabidhiana madaraka kila miaka 5.
Nawashauri CDM wasubiri 2015 vinginevyo watapoteza MVUTO.

ubongo wako bado ni teketeke
 
Ni mapema mno kuchukua hatua kama hizo kwani waliwastadi waarabu kuwa walianza mipango lini kwani naona wamekurupuka kufanya hivyo badala yake polisi hawatawafyatulia risasi ila watabomoa majengo ya serikali na kuharibu mali za watu binafsi hilo linaonekana wazi!

CRAP unataka kusema kulikuwa na coordinationa among Arab countries, ambazo CDM walizi copy
 
charity boy sikiliza ndugu yangu huwezi sema cdm wasubiri 2015 ndo waanze mishemishe, watu hawatawaelewa nafkiri ni jukumu lao kufanya wanavyofanya ili watu wajue wana exist na wanaconcern na burning issue ktk jamii yao. Kuhusu suala la maandamano nafkiri lengo si wa kuwaiga waarabu wala kufata philosophy yao, kama mtu au watu hawaridhishwi na kitu fulani wanaweza wakachukua hatua fulani kuonyesha kutoridhika kwao kuna aina nyingi saana za protest kutegemea na circumstance kama kugoma kufanya kazi, kugoma kula, kutembea uchi, kugomea kutumia bidhaa flani and so forth, mass demonstration (maandamano) ni aina mojawapo ya protest na yamekuwa yakitumika sana kwa sababu ni aina ya kuonyesha kutoridhika ambako kunaweza kuinvolve idadi kubwa ya watu na ni rahisi kuspread na watu wengi wakawa aware wa certain bad situation. Matokeo ya maandamano si lazima yawe tu soon after maandamano yanaweza kuact kama chachu ya mabadiliko in future na pia yanaweza yakawa sudden. kwa wenzetu hili walianza siku nyingi refer demonstration ktk ulaya na america na zile za kudai usawa kama ya martin luther king na yale yaliyoresult sharpville masacre,so cha muhimu ni kuangalia what demonstration is against kama kitu ambacho kinapingwa ktk maandamano hakikuathiri usiparticipate utakuwa ni mnafiki lakini kama kinakugusa ni njia nzuri saaana ya kuonyesha feelin zako hata kama hutapata suluhisho kwa wkt huo utakua kama umetua mzigo kdgo its like ukiwa na shida ukashare na mtu utajifil vzuri hta kama hyo mtu hajaitatua.
NB. Maandamano pia hutumika kuonyesha unaunga kitu fulani mkono au unakubaliana nacho even kuonyesha furaha au kushow love unaweza tumia maaandamano
 
Mkuu, CHADEMA walipanga na walianza kuandamana hata kabla ya nchi ya kwanza ya kiarabu (TUNISIA) mwaka huu kufanya hivyo. Labda uulize kwa nini waarabu wameiiga falsafa ya CHADEMA?!

SIO SIRI babu JABU umeniiibia thread, ambayo nilii post kimakosa na kui rekebisha, angalia trend ie order
 
Kufanya maandamano katika vitongozi mbalimbali vya mji wa Mwanza na kisha leo kuhamia Musoma ili kupinga kuongezeka kwa gharama za maisha, malipo ya dowans nk ni kufuata philosophy isiyofahamika. Warabu ni watu makini sana, wao wamefanya maandamano kudai matango tu baada ya miaka mingi ya utawala na hali isiyombaya ya uchumi.
Chadema wanachofanya sasa ni kuiga falsafa ambayo haiwezi kufanya kazi bongo. Tanzania ni nchi iliyojiwekea utaratibu wa kukabidhiana madaraka kila miaka 5.
Nawashauri CDM wasubiri 2015 vinginevyo watapoteza MVUTO.

kwani Misri walikuwa hawana utaratibu wa kukabidhiana madaraka kila baada ya miaka mitano? Au Tunisia? au Yemen?
 
Kufanya maandamano katika vitongozi mbalimbali vya mji wa Mwanza na kisha leo kuhamia Musoma ili kupinga kuongezeka kwa gharama za maisha, malipo ya dowans nk ni kufuata philosophy isiyofahamika. Warabu ni watu makini sana, wao wamefanya maandamano kudai matango tu baada ya miaka mingi ya utawala na hali isiyombaya ya uchumi.
Chadema wanachofanya sasa ni kuiga falsafa ambayo haiwezi kufanya kazi bongo. Tanzania ni nchi iliyojiwekea utaratibu wa kukabidhiana madaraka kila miaka 5.
Nawashauri CDM wasubiri 2015 vinginevyo watapoteza MVUTO.

hahahahahaha ukistaajabu ya Malaria Sugu utayaona ya charityboy.

 
Kufanya maandamano katika vitongozi mbalimbali vya mji wa Mwanza na kisha leo kuhamia Musoma ili kupinga kuongezeka kwa gharama za maisha, malipo ya dowans nk ni kufuata philosophy isiyofahamika. Warabu ni watu makini sana, wao wamefanya maandamano kudai matango tu baada ya miaka mingi ya utawala na hali isiyombaya ya uchumi.
Chadema wanachofanya sasa ni kuiga falsafa ambayo haiwezi kufanya kazi bongo. Tanzania ni nchi iliyojiwekea utaratibu wa kukabidhiana madaraka kila miaka 5.
Nawashauri CDM wasubiri 2015 vinginevyo watapoteza MVUTO.

tafadhali soma hapa chini

Itikadi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo

Falsafa ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo
 
Kufanya maandamano katika vitongozi mbalimbali vya mji wa Mwanza na kisha leo kuhamia Musoma ili kupinga kuongezeka kwa gharama za maisha, malipo ya dowans nk ni kufuata philosophy isiyofahamika. Warabu ni watu makini sana, wao wamefanya maandamano kudai matango tu baada ya miaka mingi ya utawala na hali isiyombaya ya uchumi.
Chadema wanachofanya sasa ni kuiga falsafa ambayo haiwezi kufanya kazi bongo. Tanzania ni nchi iliyojiwekea utaratibu wa kukabidhiana madaraka kila miaka 5.
Nawashauri CDM wasubiri 2015 vinginevyo watapoteza MVUTO.
Vitongozi ndo nini?
 
Hii kali CDM wameiga waarabu kuandamana! na Waarabu wamemuiga nani wenyewe! Kule Arusha walivyoandaman waliwaiga Waarabu! Tunaelewa you can fool some people some times but not all the people all the time, Time will come wengi wataalewa, Hii ni sawa na hadithi ya MALCOLM X ya HOUSE NEGRO and FIELD NEGRO, FIELD Negro anamwambia House Negro tufanye revolution tutoroke tujikomboe, house negro anajibu twende wapi huko ntapata shida what the master wear I wear what the master eat I eat!sitaki kupelekwa shambani kulima kama wewe! hata hapa Tanzania kuna wengi hawaoni matatizo coz ya kula Makombo ya Mafisadi!
 
Charity boy,
Nilikwambia wanakuja, hebu basi toa HOJA kulinda post yako maana sijaona ufafanuzi wako wowote wa kina toka kwako.
 
Werevu hawawapati hata siku moja. CDM bado mnahitaji miaka mingi ya KUNYONYA kabla ya kupewa nchi. Hii nchi tuna uchungu nayo sana hatuwezi kuwapa kirahisi.

Wala hatuhitaji mtupe, Tutaichukua wenyewe na wewe utawekwa kando uendelee kulalama na kufyonza unavyoviona ni vya maana kufyonzwa. Iangalie kalenda vizuri kwa makini uanze kuhesabu siku kwani siku zenu zinahesabika.
 
Kufanya maandamano katika vitongozi mbalimbali vya mji wa Mwanza na kisha leo kuhamia Musoma ili kupinga kuongezeka kwa gharama za maisha, malipo ya dowans nk ni kufuata philosophy isiyofahamika. Warabu ni watu makini sana, wao wamefanya maandamano kudai matango tu baada ya miaka mingi ya utawala na hali isiyombaya ya uchumi.
Chadema wanachofanya sasa ni kuiga falsafa ambayo haiwezi kufanya kazi bongo. Tanzania ni nchi iliyojiwekea utaratibu wa kukabidhiana madaraka kila miaka 5.
Nawashauri CDM wasubiri 2015 vinginevyo watapoteza MVUTO.

Kwanini wewe fisadi usiwashahuri ccm waondoke inchini mwetu waende Saudi au Oman. Unaona Waarabu si binadamu hawahitaji haki wala ajira. Binadamu kama nyie ndio mnaifanya dunia kufanana na magunzi ya mahindi. Kila kitu ni kupigia magoti Kikwete/Pinda na ccm. Sidhani kama utampata mtanzania wa kumfunga kitenge umu ila Janruary na Ridhiwani. Mmejaa vichwa vya wizi wala kitu "haki" hakuna tunakuja "mnazo siku tisa"
 
Kufanya maandamano katika vitongozi mbalimbali vya mji wa Mwanza na kisha leo kuhamia Musoma ili kupinga kuongezeka kwa gharama za maisha, malipo ya dowans nk ni kufuata philosophy isiyofahamika. Warabu ni watu makini sana, wao wamefanya maandamano kudai matango tu baada ya miaka mingi ya utawala na hali isiyombaya ya uchumi.
Chadema wanachofanya sasa ni kuiga falsafa ambayo haiwezi kufanya kazi bongo. Tanzania ni nchi iliyojiwekea utaratibu wa kukabidhiana madaraka kila miaka 5.
Nawashauri CDM wasubiri 2015 vinginevyo watapoteza MVUTO.

Tanzania imejiwekea utaratibu wa kukabidhiana madaraka miaka 5? miaka mingapi CCM wamekuwa madarakani?
 
Mkuu, CHADEMA walipanga na walianza kuandamana hata kabla ya nchi ya kwanza ya kiarabu (TUNISIA) mwaka huu kufanya hivyo. Labda uulize kwa nini waarabu wameiiga falsafa ya CHADEMA?!
hiki ni kichekesho,hao waarabu hata hawajui kama kuna limdudu linaitwa chadema au ccm,wao wanadili na azma yao na wanafanikiwa,hawafati mkumbo eti nani kafanya nini ktk nchi fulani.
 
Nawasubiri mkuu, hiki kichwa halafu ni charitable

Kwa huu upupu bado unajiita kichwa, unataka wakae kimya, hiki sio chama cha uchaguzi, ni chama cha kutetea maslahi ya watanzania ikiwa ni pamoja na wewe, wajinga tu ndio hawaelewi chadema wanafanya nini, utaelewesha hata kama ulipozaliwa hukulia ubongo ukaungua natumaini watajitahidi mwisho wa siku utaelewa tu.
 
Back
Top Bottom