LURIGA
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 2,400
- 3,632
Ningependa kujua kama kuna watu wengine wana share belief yangu hii nchi bado inahitaji chama kingine au wagombea binafsi kuleta mageuzi ya kweli Tanzania.
Badala ya kuongelea deni la taifa ambalo mtalilipa nyinyi mpaka mnazeeka na vijukuu vyenu mnaongelea nosense issues! Ukiona mti unarushiwa mawe mengi ujue unamatunda mazuri mengi! Na inawezekana wewe ni mototo wa fisadi wa meno ya tembo au madawa yakulevya au rushwa hivyo unaona mtu mzima akikamata nchi mmekwsha! Kwa nini usimchukie?