MBURE JASHA
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 200
- 46
Unafiki ni dhambi mbaya sana.Mimi nina jamaa yangu alihudhuria mkutano huo na wala hana ufuasi wa vyama kaniambia mkutano ulikuwa na umati mkubwa haijapata kutokea.
Unaleta habari ya jamaa yako hapa JF, wakati mtu aliokuwepo kwenye mkutano kaanzisha hii thread akieleza ukweli wa Mwanga.
Mwambie jamaa yako JF sio sehemu ya wahuni na porojo