MBURE JASHA
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 200
- 46
asubuhi hii nimepita hapa JF nikakuta Uzi umeandikwa "CHADEMA YAFUNIKA MWANGA"
Hoja yangu ni kuwa ni Kweli CDM ni Chama ambazo watz wameanza kuwa na matumiani nacho, lakini tufikie hatua tuwe wakweli tunapo kipa CDM Promo. Mimi nilikuwa Mwanga na kwetu ni Mwanga Pia. Cdm ni kweli wamefanya mkutano Mwanga lakini si kufunika kiivyo. Walitumia sehemu ambayo ni Parking ya Magari na Waendesha Boda boda. Walichokifanya viongozi wa CDM wilaya ni kutangaza kuwa anakuja godbless lema kumbe ni Basil Lema mtu ambaye wanamwanga wote wanamfahamu na ni fulu msanii kama alivyo katibu wa Cdm Bw Shabani.
All in All katika sehemu ya Ajabu kisiasa Duniani ni Hapa Mwanga. Wanamwanga majority si waumini wa Vyama vya siasa hata hiyo CCM yenyewe wanayoipigia kura wala hawaishadadii kihivyo. Wanamwanga wote wanakuwa wagomvi wa watu wanaowaongoza. kuna mfumo waliouzoea wa kujitafutia maendeleo yao waliozoeshwa na Mzee Msuya . Si maghembe wala nani anayeza kucop na huo mfumo.
Hivyo sio kweli kwamba CDM walifunika kama mtoa mada alivyosema. Mbona wakubwa wa CDM tena timu nzima ilikuja ilivyojaribu kumshambulia Babu . Watu walikuwa kwenye mistari ya kuchukua kadi za CDM. Lakini Mbowe alivyoanza habari za kumchafua Babu watu wakatawanyika na mkutano ukaisha hapo hapo.
Tuwe wakweli
Hoja yangu ni kuwa ni Kweli CDM ni Chama ambazo watz wameanza kuwa na matumiani nacho, lakini tufikie hatua tuwe wakweli tunapo kipa CDM Promo. Mimi nilikuwa Mwanga na kwetu ni Mwanga Pia. Cdm ni kweli wamefanya mkutano Mwanga lakini si kufunika kiivyo. Walitumia sehemu ambayo ni Parking ya Magari na Waendesha Boda boda. Walichokifanya viongozi wa CDM wilaya ni kutangaza kuwa anakuja godbless lema kumbe ni Basil Lema mtu ambaye wanamwanga wote wanamfahamu na ni fulu msanii kama alivyo katibu wa Cdm Bw Shabani.
All in All katika sehemu ya Ajabu kisiasa Duniani ni Hapa Mwanga. Wanamwanga majority si waumini wa Vyama vya siasa hata hiyo CCM yenyewe wanayoipigia kura wala hawaishadadii kihivyo. Wanamwanga wote wanakuwa wagomvi wa watu wanaowaongoza. kuna mfumo waliouzoea wa kujitafutia maendeleo yao waliozoeshwa na Mzee Msuya . Si maghembe wala nani anayeza kucop na huo mfumo.
Hivyo sio kweli kwamba CDM walifunika kama mtoa mada alivyosema. Mbona wakubwa wa CDM tena timu nzima ilikuja ilivyojaribu kumshambulia Babu . Watu walikuwa kwenye mistari ya kuchukua kadi za CDM. Lakini Mbowe alivyoanza habari za kumchafua Babu watu wakatawanyika na mkutano ukaisha hapo hapo.
Tuwe wakweli