- Thread starter
- #21
Ubunifu, ujasiri na viwango tofauti vya kufanikisha malengo yao uliofanywa na hao vijana umenifurahisha. Cheek in tonguoe jamaa kaita uchokozi (ingawa nadhani mtoa mada yabidi arekebishe taarifa yake ni mahafali ya vyuo gani badala ya kutaja tu CDM).
vyuo vilikuwa ni Mzumbe, sua, Jordan-saut university na morogoro muslim