CHADEMA msiwatenge wanaCCM waadilifu - Mbowe

CHADEMA msiwatenge wanaCCM waadilifu - Mbowe

Kuwa mwanachama ni tofauti kabisa na kuwa kiongozi, usitake kupotosha watu bana.
 
Niko tayari kujifunza practical ambazo sio academic mkuu!!!!!

Nachoelewa academic inawezekana kuwa practical given one is kean on context!!!!!

asante sana mkuu. naona mbowe alikuwa anajaribu kuhimiza practical ya utengamano wa jamii. au wewe umemuelewaje?
 
CCM wamebakiza pet politics za kujifurahisha mitandaoni.

Kuna B7 FC mmoja anadai eti Chadema ilitumia Miln.700,000,000, nikajiuliza huyu ana akili timamu kweli anajua hiyo figure ni trillion ngapi hata budget ya serikali haifiki.

ha ha ha ha. wewe umeamka vizuri sana leo mkuu Feedback.

Katika kuandika watu wengi sana huwa wanafanya sana hilo kosa na kuandika millioni halafu kuiweka na figure yenyewe. he probably made the same mistake.

ukiandika milioni 700,000,000 ni kusema 700,000,000,000,000, ambayo ni matrilioni hata serikali haitumii.... cheers!
 
swali hili ni kwa MH. MBOWE TU , KIONGOZI , HIVI KUNA MWANACCM MUADILIFU ? HEBU tutajie japo watano tu ili tuwajue ! Maana inasemekana kuitumikia ccm ni sawa na kumkiri SHETANI !

Samahani Mkuu Erythrocyte, hivi Mbowe anayo account ya JF kweli? Binafsi sijapata kumwona hata siku moja humu. Ila Dr. Slaa najua ana account humu. Au?
 
Back
Top Bottom