Highlander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 3,093
- 1,077
- Thread starter
- #61
Vetting haifanywi kwa watu wa ndani pekee hata watu wa nje huwa wanafanyiwa vetting pengine bila wao kujua, kwa hiyo hao kina Lowassa, Mwakyembe na wengine public figures ambao matendo yao yanajulikana si lazima kwanza waingie Chadema ndipo wafanyiwe vetting wanaweza kukubaliwa au kukataliwa wangali wakiwa nje ya Chadema.
Mkuu Feedback mimi ninapata mashaka pia kuwamba Ng'wamapalala kaingiza issue ya vetting kwa nia ya kuhamishia somo kwenye hofu. Mbowe anataka kuwaondoa watu hofu, yeye Ng'wamapalala anaingiza hofu. A clever detraction it seems to me.