CHADEMA msiwatenge wanaCCM waadilifu - Mbowe

CHADEMA msiwatenge wanaCCM waadilifu - Mbowe

Highlander

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
3,093
Reaction score
1,077
Mwenyekiti wa CHADEMA Mheshimiwa Freeman Mbowe amewasihi wanaChadema kuwapokea wanaCCM waadilifu wanaojiunga Chadema. Katika CCM kuna baadhi wa Watanzania waadilifu, alisema kwenye mkutano wa hadhara uliohusu Katiba siku chache zilizopita. Wakazi wa Tukuyu waliupokea ujumbe huu kwa vigelegele na shangwe.

Ifuatayo ni sehemu ya hotuba hiyo ambayo ilirekodiwa kwa simu. http://youtu.be/SxQvNrOi2VY

 
Last edited by a moderator:
Yaani wewe IDIOT unajiona umeielewa vizuri mada kuliko aliyeanzisha thread!!!

ZeMarcopolo, jana nilikusikia ukilalamika kuwa BAVICHA hasa ndo waliobobea matusi. Hiyo IDIOT mbona imekaa kimatusimatusi hivi. Au ndo Ushajiunga BAVICHA?
 
Yaani wewe IDIOT unajiona umeielewa vizuri mada kuliko aliyeanzisha thread!!!

Utakuwa na kisirani hasira na maandishi ya keyboard ukimuona mtu halisi itakuwaje? kama ndivyo wewe na mwenzio mwenye thread ndivyo mnavyoelewana sio wote ujue tuko hivyo!!.
 
Yaani wewe IDIOT unajiona umeielewa vizuri mada kuliko aliyeanzisha thread!!!
Utakuwa na kisirani hasira na maandishi ya keyboard ukimuona mtu halisi itakuwaje? kama ndivyo wewe na mwenzio mwenye thread ndivyo mnavyoelewana sio wote ujue tuko hivyo!!.

ndugu zanguni ZeMarcopolo na mtunzasiri samahani.

Kati yenu wawili niulizie jambo. Mbowe kakosea wapi katika kuwakubali wanaCCM waadilifu kujiunga CHADEMA? Hebu tujadili hilo. kuna kosa gani katika wito huo?
 
Kwani kuna bango limewekwa kwenye nyuso za kila mtu anayetaka kujiunga CHADEMA kutokea CCM.

Kuna mechanism gani in place ndani ya CHADEMA kupima na kumfahamu kila anayependa kujiunga na kuwa mwanachama wa CHADEMA.

Kama chama mpaka sasa hakifahamu kina wanachama hai na wafu wangapi, wataweza vetting ya wanaotaka kujiunga na chama kuanzia vijijini mpaka mijini huku kila siku wanagawa kadi kama njugu kwenye mikutano ya hadhara.

Siasa za bongo bana. Why can't you stick to what you do best.

Ninawapongeza wanasiasa wa Tanzania katika uwezo wa political dotting and dabbing around ili kesho ukiwauliza wanakwambia "Nilisha tamka mapema. Nilifahamu hili jambo litatokea" wakati action ni zero.
 
Wasitengwe maana yake wasizuiwe kujiunga, au wasikataliwe kujiunga. Yaani wakaribishwe kwa mikono miwili. Kutowapa madaraka ni jambo lingine kabisa tofauti na hilo. Unakaribishwa kusilimu kuwa muiskamu kwa mikono miwili lakini kufanywa Imam ni suala lingine kabisa! Huwezi kusilimu leo na kesho tu ukapewa uongozi wa msikiti!
 
Kwani kuna bango limewekwa kwenye nyuso za kila mtu anayetaka kujiunga CHADEMA kutokea CCM.

Kuna mechanism gani in place ndani ya CHADEMA kupima na kumfahamu kila anayependa kujiunga na kuwa mwanachama wa CHADEMA.

Kama chama mpaka sasa hakifahamu kina wanachama hai na wafu wangapi, wataweza vetting ya wanaotaka kujiunga na chama kuanzia vijijini mpaka mijini huku kila siku wanagawa kadi kama njugu kwenye mikutano ya hadhara.

Siasa za bongo bana. Why can't you stick to what you do best.

Ninawapongeza wanasiasa wa Tanzania katika uwezo wa political dotting and dabbing around ili kesho ukiwauliza wanakwambia "Nilisha tamka mapema. Nilifahamu hili jambo litatokea" wakati action ni zero.

Nadhani bado unausingiz, ulichoandika ni Mashudu na hakieleweki.
 
Nadhani bado unausingiz, ulichoandika ni Mashudu na hakieleweki.
Mkuu, Huku kwetu Kijijini Bariadi bado ni mchana.

Binadamu tunatofautiana, vilevile haya mashudu uliyosoma yasikufanye ukafikiria na wengine wako kwenye kundi lako.

Waachie hao wengine ambao wataelewa kama ilivyo Jf motto.
 
Mbowe inabidi abadilike sasa aachane na Mikutano ya Hadhara kwani Watanzania wengi sasa wameshaelewa chanzo cha umaskini wao ni nini,Wanajua ufisadi unaoendelea hapa Nchini unaofanywa na MaCCM.Anachotakiwa kufanya sasa ni ku-channel financial resources zaidi katika Maofisi ya Mikoani na Wilayani,Kwenye Tarafa hata Kata na Vijiji,Wazitumie hizo ofisi kubuni miradi ya kimaendeleo wakishirikiana na Wananchi wa maeneo hayo,Wazitumie hizi ofisi katika kunadi Sera na Mawazo ya Chama na namna Chama kilivyojiandaa kuchukua Nchi.Nchi ina changamoto nyingi mno za kijamii,kiuchumi na za kiusalama na inaonekana kabisa CCM wameshindwa kukabiliana na hizi changamoto,Sasa ni juu ya CHADEMA kuanza kuwaambia Watanzania namna walivyojiandaa kukabiliana nazo.Ni vizuri Watanzania wakaanza kuijua CHADEMA kiundani zaidi kupitia hivi vitu watakapokipenda hawatarudi nyuma tena.Pia ni muhimu kwa CHADEMA kuziimarisha ofisi za Mikoani ili kiweze kujenga mtandao mpana wa Kichama utakaosaidia CHADEMA kushinda katika Chaguzi mbalimbali.
 
Ikumbukwe kuwa huyuhuyu Mbowe ndiye alisema wahamiaji wasipewe madaraka, leo anasema wasitengwe. Maamuzi ndani ya briefcase ya Mbowe...

Mkuu Mbowe hakusema hivyo alichosema mbowe ni kwamba watakaokwenda CDM dakika za mwisho baada ya kura za maoni za vyama ndo hawatapokelewa.
 
Akili ya mbowe bana chama anatembea nacho kwenye mikoba yake mwenyewe popote alipo anatoa maamuzi hata bila ya vikao kufanyika haya ndiyo madhara ya chama kuwa cha ukoo.
 
Mbowe inabidi abadilike sasa aachane na Mikutano ya Hadhara kwani Watanzania wengi sasa wameshaelewa chanzo cha umaskini wao ni nini,Wanajua ufisadi unaoendelea hapa Nchini unaofanywa na MaCCM.Anachotakiwa kufanya sasa ni ku-channel financial resources zaidi katika Maofisi ya Mikoani na Wilayani,Kwenye Tarafa hata Kata na Vijiji,Wazitumie hizo ofisi kubuni miradi ya kimaendeleo wakishirikiana na Wananchi wa maeneo hayo,Wazitumie hizi ofisi katika kunadi Sera na Mawazo ya Chama na namna Chama kilivyojiandaa kuchukua Nchi.Nchi ina changamoto nyingi mno za kijamii,kiuchumi na za kiusalama na inaonekana kabisa CCM wameshindwa kukabiliana na hizi changamoto,Sasa ni juu ya CHADEMA kuanza kuwaambia Watanzania namna walivyojiandaa kukabiliana nazo.Ni vizuri Watanzania wakaanza kuijua CHADEMA kiundani zaidi kupitia hivi vitu watakapokipenda hawatarudi nyuma tena.Pia ni muhimu kwa CHADEMA kuziimarisha ofisi za Mikoani ili kiweze kujenga mtandao mpana wa Kichama utakaosaidia CHADEMA kushinda katika Chaguzi mbalimbali.


Ukishakuwa na mawazo haya tu basi wewe huwezi kuwa mwanasiasa tena kwa nchi hizi za kimasikini.

Siasa ni aghalabu kuleta sustainable solutions kwa wananch!!!
Shida zikiisha mtaji wao utakuwa nini?????!!!!

Hiki cha kuleta maendeleo endelevu hawafanyi hata tuimbe mpaka jua lisichomoke!!!!!
 
Back
Top Bottom