MAPUMA MIYOGA
JF-Expert Member
- Jan 30, 2013
- 3,792
- 2,362
Akaribishwe ila aishie kufanya mikutano majukwaani kuwaambia wananchi waikatae ccm. Huu ndio uwe mpaka wake hata kama itabidi iwe kwa miaka 30 hadi hapo itakapoamiwa kua anafaa. Asipate nafasi ya kuchangamana na viongozi wa chama na kupata siri na mikakati ya chama kwa muda wowote. Kazi yake iwe kuhubiri tu wananchi waikubali cdm.