Chadema msimpe nafasi ya kugomea Urais Gwajima

Chadema msimpe nafasi ya kugomea Urais Gwajima

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,553
Reaction score
57,842
Naongea kwa experience ya Lowassa,Sumaye na Nyarandu.

Haya mambo ya kuwachukua watu wakati wa uchaguzi hapana Kama wanakuja wakae benchi kwanza hata nafasi ya kugombea nafasi yeyote wasipewe.

Kwanini kwa sababu baada ya uchaguzi uwa wanaanza kashifa za kijinga na kukigawa chama!! Na mwisho kukimbilia CCM.

Mkiwapokea msiwape nafasi kamati kuu, kugombea ubunge, udiwani au urais!!

Wakae watagombea 2030 wengi wao ni mamluki tu na matapeli.!
 
Naongea kwa experience ya Lowassa,Sumaye na Nyarandu.

Haya mambo ya kuwachukua watu wakati wa uchaguzi hapana Kama wanakuja wakae benchi kwanza hata nafasi ya kugombea nafasi yeyote wasipewe.

Kwanini kwa sababu baada ya uchaguzi uwa wanaanza kashifa za kijinga na kukigawa chama!! Na mwisho kukimbilia CCM.

Mkiwapokea msiwape nafasi kamati kuu, kugombea ubunge, udiwani au urais!!

Wakae watagombea 2030 wengi wao ni mamluki tu na matapeli.!
Gwajima ametumwa kupoza uji ambao umemuunguza midomo boss wake tushamjua na atachezea blacklist
 
Naongea kwa experience ya Lowassa,Sumaye na Nyarandu.

Haya mambo ya kuwachukua watu wakati wa uchaguzi hapana Kama wanakuja wakae benchi kwanza hata nafasi ya kugombea nafasi yeyote wasipewe.

Kwanini kwa sababu baada ya uchaguzi uwa wanaanza kashifa za kijinga na kukigawa chama!! Na mwisho kukimbilia CCM.

Mkiwapokea msiwape nafasi kamati kuu, kugombea ubunge, udiwani au urais!!

Wakae watagombea 2030 wengi wao ni mamluki tu na matapeli.!
Gwajiboy ni puppet don't trust him anymore
 
Kama anakuja chadema tunamkaribisha kama wanachama wengine na siyo vyeo na madaraka.
 
Gia aliyoitumia kutafuta uwanja wakugombea ninamashaka ni gia yakumrudisha nyuma badala yakwenda mbele.Itakua kuna watu wanampump kua ana ushawishi na watu wengi watamuunga mkono especial watu wa kabila lake.Anashindwa kujua bado hatujafika zama zawananchi kua na nguvu kwenye maamuzi kwenye nafasi yaurais.Kama anawaza kutimiza ndoto kwa namna hiyo itakua bahati ndoto yake ikitimia.ngoja tuone.
 
Chadema ya kumpa mtu kugombea kizembe hivyo imehamia CHAUMA!. chadema yawenyekiti Lissu na Heche sio nyepesi kiasi hicho, Gwajima anapambania chakula yake anajua harudi Bungeni hivyo lazima awachachafe.
 
CHADEMA imejifunza mengi kupitia makosa yake ya kimkakati. Kama unaifuatilia kwa makini inazidi kuimarika, kujirekebisha na kusonga mbele. Siku hizi watu wanaijua na kuipenda CHADEMA kuliko wanavyozijua dini zao.
 
Sasa hv chadema wote wanamuunga mkono gwajima, kucheza na akili za watu wa chadema ni rahisi mno
 
Naongea kwa experience ya Lowassa,Sumaye na Nyarandu.

Haya mambo ya kuwachukua watu wakati wa uchaguzi hapana Kama wanakuja wakae benchi kwanza hata nafasi ya kugombea nafasi yeyote wasipewe.

Kwanini kwa sababu baada ya uchaguzi uwa wanaanza kashifa za kijinga na kukigawa chama!! Na mwisho kukimbilia CCM.

Mkiwapokea msiwape nafasi kamati kuu, kugombea ubunge, udiwani au urais!!

Wakae watagombea 2030 wengi wao ni mamluki tu na matapeli.!
Si kirahis kama unavyo dhani, haitokaa itokee hata gwajima hana interest hizo
 
Naongea kwa experience ya Lowassa,Sumaye na Nyarandu.

Haya mambo ya kuwachukua watu wakati wa uchaguzi hapana Kama wanakuja wakae benchi kwanza hata nafasi ya kugombea nafasi yeyote wasipewe.

Kwanini kwa sababu baada ya uchaguzi uwa wanaanza kashifa za kijinga na kukigawa chama!! Na mwisho kukimbilia CCM.

Mkiwapokea msiwape nafasi kamati kuu, kugombea ubunge, udiwani au urais!!

Wakae watagombea 2030 wengi wao ni mamluki tu na matapeli.!
No Reforms No Election
 
Naongea kwa experience ya Lowassa,Sumaye na Nyarandu.

Haya mambo ya kuwachukua watu wakati wa uchaguzi hapana Kama wanakuja wakae benchi kwanza hata nafasi ya kugombea nafasi yeyote wasipewe.

Kwanini kwa sababu baada ya uchaguzi uwa wanaanza kashifa za kijinga na kukigawa chama!! Na mwisho kukimbilia CCM.

Mkiwapokea msiwape nafasi kamati kuu, kugombea ubunge, udiwani au urais!!

Wakae watagombea 2030 wengi wao ni mamluki tu na matapeli.!
Ungesema CHAUMMA mkuu Chadema hawashiriki uchaguzi wenu
 
Naongea kwa experience ya Lowassa,Sumaye na Nyarandu.

Haya mambo ya kuwachukua watu wakati wa uchaguzi hapana Kama wanakuja wakae benchi kwanza hata nafasi ya kugombea nafasi yeyote wasipewe.

Kwanini kwa sababu baada ya uchaguzi uwa wanaanza kashifa za kijinga na kukigawa chama!! Na mwisho kukimbilia CCM.

Mkiwapokea msiwape nafasi kamati kuu, kugombea ubunge, udiwani au urais!!

Wakae watagombea 2030 wengi wao ni mamluki tu na matapeli.!
Urais gani wakati CHADEMA hawashiriki na hawajsaini maadili na Lissu yuko jela kwa kesi ya kunyongwa??

Hivi vichwa vyenu vimejaa mavi??
 
Back
Top Bottom