monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,487
- 13,018
Habari za muda huu ndugu wanabodi. Hii ni kwa Wanachadema wote, Watanzania wote,wapenda siasa na wasio wapenda siasa. Tundu Antipas Mughwai Lissu ndiye mtu sahihi kwa muda huu anayeweza kututoa Watanzania Misri na kutupeleka Kanaani.
Kama CHADEMA na Watanzania kwa ujumla tutampitisha mtu mwingine hasa Nyalandu tunaenda kukiua chama kwa sababu Watanzania wote tumewekeza matumaini yetu kwa Lissu kwa kuwa huyu ndiye mtu pekee aliyepitia au kuyaonja mateso na mahangaiko tuliyoyapitia kwa kipind cha miaka 5 ya Magufuli. Tusifanye makosa hata kidogo, Nyalandu ni pandikizi la CCM hatupaswi kumuamini hata kidogo.
2020, twende na Lissu tukikosea hapo tumekwisha (binafsi sitajihangaisha hata kupiga kura endapo Lissu hata gombea nafasi ya Urais kwa tiketi ya CHADEMA)
Pia,tunapofikiria kuwatafuta Wagombea ndani ya CHADEMA tuwakumbuke watu kama Aquelina, Kamanda Mawazo, Azory Gwanda,Beni Saanane pamoja na watumishi wa umma waliopitia kivuli cha mauti na manyanyaso kwa muda wa miaka 5 bila kuwasahau wakulima wa korosho pamoja na wakulima wa mazao mengine ikiwa ni pamoja na pamba mpunga na mahindi
Lissu anatosha kwa nafasi ya Urais tusifanye makosa huyo ndyo atakuwa sauti yetu!
Kama CHADEMA na Watanzania kwa ujumla tutampitisha mtu mwingine hasa Nyalandu tunaenda kukiua chama kwa sababu Watanzania wote tumewekeza matumaini yetu kwa Lissu kwa kuwa huyu ndiye mtu pekee aliyepitia au kuyaonja mateso na mahangaiko tuliyoyapitia kwa kipind cha miaka 5 ya Magufuli. Tusifanye makosa hata kidogo, Nyalandu ni pandikizi la CCM hatupaswi kumuamini hata kidogo.
2020, twende na Lissu tukikosea hapo tumekwisha (binafsi sitajihangaisha hata kupiga kura endapo Lissu hata gombea nafasi ya Urais kwa tiketi ya CHADEMA)
Pia,tunapofikiria kuwatafuta Wagombea ndani ya CHADEMA tuwakumbuke watu kama Aquelina, Kamanda Mawazo, Azory Gwanda,Beni Saanane pamoja na watumishi wa umma waliopitia kivuli cha mauti na manyanyaso kwa muda wa miaka 5 bila kuwasahau wakulima wa korosho pamoja na wakulima wa mazao mengine ikiwa ni pamoja na pamba mpunga na mahindi
Lissu anatosha kwa nafasi ya Urais tusifanye makosa huyo ndyo atakuwa sauti yetu!