Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauli moja ya nchemba inapoteza wapiga kura 1000 wa ccm.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Daaaah kweli JF ina mambo, yaani mtu anatukanwa kienyeji enyeji enyeji hivi hivi.
Wewe hakuna somo la uongo wala hawafundishi jinsi ya kuwa muongo! Labda pale ofisi za Jembe na Nyundo mtaa wa Lumuba wanawafundisha somo hilo!​mwigulu ndani ya bunge ulitangaza kuwa chadema hawajaenda kumuona mbunge mwenzao joseph selasini leo kakuumbua kwa kuwataja hata mwenyekiti wako akiwemo .rudi shule ukajifunze somo la kuongea uongo
daaaah kweli jf ina mambo, yaani mtu anatukanwa kienyeji enyeji enyeji hivi hivi.
Amejihami kweli kweli kwa kuongezea NYAJI otherwise BAN angeishaila!Daaaah kweli JF ina mambo, yaani mtu anatukanwa kienyeji enyeji enyeji hivi hivi.
Kuna usemi unaosema hivi:
'Do not wrestle with a pig, you will both get dirty and the pig likes it'
Na;
'..Dont argue with a fool, he will bring you down to his level and beat you with experience..'
Kwa mwenye akili timamu anajua ajenda ya Nchemba ndani ya Bunge-kupotosha na kukipaka matope CHADEMA kwa hoja dhaifu,michango yake bungeni imeonesha hivyo na pia imeonesha jinsi gani ni huyu jamaa ni bongolala-matokeo ya mfumo uliomkuza wa CCM. Hana uwezo wa kujenga hoja makini kama Mnyika!
Hata hili la kutumiwa sms ya vitisho (kama ni kweli) ni fabricated na yeye mwenyewe. Hakuna mtu CHADEMA anaeza kutaka kumuua Nchemba! No motive! Nchemba ana nini hata watu makini ndani ya CHADEMA watake auawe? Hana lolote! Angekua mjenga hoja makini labda watu wangedhani ni kwa vile ni mwiba,ila kwa upuuzi ule?
C'mon, CHADEMA has more important matters to attend to! Nawaasa wana CHADEMA, this good-for-nothing Nchemba should not become an agenda in your matters!
kuna usemi unaosema hivi:
'do not wrestle with a pig, you will both get dirty and the pig likes it'
na;
'..dont argue with a fool, he will bring you down to his level and beat you with experience..'
kwa mwenye akili timamu anajua ajenda ya nchemba ndani ya bunge-kupotosha na kukipaka matope chadema kwa hoja dhaifu,michango yake bungeni imeonesha hivyo na pia imeonesha jinsi gani ni huyu jamaa ni bongolala-matokeo ya mfumo uliomkuza wa ccm. Hana uwezo wa kujenga hoja makini kama mnyika!
Hata hili la kutumiwa sms ya vitisho (kama ni kweli) ni fabricated na yeye mwenyewe. Hakuna mtu chadema anaeza kutaka kumuua nchemba! No motive! Nchemba ana nini hata watu makini ndani ya chadema watake auawe? Hana lolote! Angekua mjenga hoja makini labda watu wangedhani ni kwa vile ni mwiba,ila kwa upuuzi ule?
C'mon, chadema has more important matters to attend to! Nawaasa wana chadema, this good-for-nothing nchemba should not become an agenda in your matters!
kama mmeweza kuua katibu wa vijana wa kata,mtashindwa nini kwa nchemba?acheni uroho wa madaraka.