CHADEMA mpuuzeni Mwigulu Nchemba..!

CHADEMA mpuuzeni Mwigulu Nchemba..!

mbunge mwigulu nchemba akiwa mjini sumbawanga alisema kuwa sera za chama cha demokrasia na maendeleo ni za kukubaliana na ushoga na hata kauli mbiu yao ya sasa ya movement for change ni mabadiliko toka hali ya sasa ya jinsi ya kiume kuoa ya kike na kukubaliana na ushoga.

Hivi kauli za namna hii ni za mtu kabisa ambaye ni kiongozi au ni za muuza mitumba aliyevuta bagi? Ametoa kauli hii akiwepo katibu mwenezi nape nnauye na viongozi wengine wa ccm na hakuna aliyekanusha.

Kauli ,za namna hii zinzashiria nini nje ya muuonekano wa ccm?

kama kasema hivyo basi itakuwa ni miongoni wa kauli zinazotolewa na viongozi wa siasa wanadhani kuwa wananchi wa tanzania hawana akili ya kutosha kuchambua mambo. Hivi kweli hata kama chadema ina urafiki wa kisiasa na chama kinachotawala uingereza basi ina maana chadema inaendesha sera za chama hicho hapa tanzania.

Kwanza sera ya ushoga sio sera ya chama cha kinachotawala uingereza bali ni sera ya nchi ya uingereza kuwa ujumla na pia sera hii ipo kwenye nchi nyingine nyingi tu za ulaya na marekani ambazo serikali ya tanzania inashirikiana nazo kwenye mambo mbali mbali ikiwemo kupata misaada ya kifedha.

Ni jambo la kawaida kwa mtu hasiyekunywa pombe kuwa na marafiki wanaokunywa pombe. Hili halimfanyi na yeye kunywa pombe.

Hata hapa Tanzania sasa hivi kuwa mashoga (ndio maana kuna mjadala wa kuhalalisha ushoga au la) na wana marafiki wa kawaida ambao sio mashoga.
 
Dawa ni kuhamia katika hilo jimbo alilotoka, mpaka akimbie.
 
Ni vizuri mkamwacha (CHEMBA) abwate bwate tu badala ya kuinia kwenye malumbano yanayoipa CDM negative publicity!
 
Mwigulu ni jembe,anafaa kwa siasa za sasa.tumuunge mkono,ni kijana,mtu wa watu na anajua kujenga hoja.wanaomchukia ni wenye gubu

Mbumbumbu lazing utakuwa we ndo Chembera acha kuala bender a ya taifa Kama kanga ya mama yao mpuuzi wewe
 
Mbunge Mwigulu NCHEMBA akiwa mjini Sumbawanga alisema kuwa sera za Chama cha Demokrasia na Maendeleo ni za kukubaliana na ushoga na hata kauli mbiu yao ya sasa ya MOVEMENT FOR CHANGE ni mabadiliko toka hali ya sasa ya jinsi ya kiume kuoa ya kike na kukubaliana na ushoga.

Hivi kauli za namna hii ni za mtu kabisa ambaye ni kiongozi au ni za muuza mitumba aliyevuta bagi? Ametoa kauli hii akiwepo katibu mwenezi Nape NNauye na viongozi wengine wa CCM na hakuna aliyekanusha.

Kauli ,za namna hii zinzashiria nini nje ya muuonekano wa ccm?


Apimwe uwezo wa kufikiri
 
Hizo zote ni laana za kuzini na mke wa mtu haziwezi kufutika ndo maana anaongea bila kujua yeye ni nani na anatakiwa aongee nini, Pole sana Mwigulu ila huko sumbawanga ukifanya kama Igunga kuiba wake za watu utaiona nanii juu ya Dari shauri yako.
 
Kipi kibaya sasa alicho kisema hapo ili hali CDM wao wenyewe wanajigamba kuwa ni marafiki wa chama cha Camerun? wanajiharibia wao wenyewe na mahusiano waliyo yaanzisha na sasa yanawagharimu. Jirekebisheni watanzania wawaamini kuwa kweli hamtaki kuleta ushoga TZ


Ficha upumbavu wako usifiche hekima yako!

jinga kabisa!
 
Hizo zote ni laana za kuzini na mke wa mtu haziwezi kufutika ndo maana anaongea bila kujua yeye ni nani na anatakiwa aongee nini, Pole sana Mwigulu ila huko sumbawanga ukifanya kama Igunga kuiba wake za watu utaiona nanii juu ya Dari shauri yako.
 
Ccm wameishiwa nguvu sasa ni uzushi na matusi imekuwa ndo sera kuu ya ccm,
 
Kipi kibaya sasa alicho kisema hapo ili hali CDM wao wenyewe wanajigamba kuwa ni marafiki wa chama cha Camerun? wanajiharibia wao wenyewe na mahusiano waliyo yaanzisha na sasa yanawagharimu. Jirekebisheni watanzania wawaamini kuwa kweli hamtaki kuleta ushoga TZ


Kwani Cameruni kaoa mwanaume au mwanamke? Kama vile hamuelewi SIASA?
 
Msiite wanenu majina ya ajabu ajabu, matokeo yake ndio hayo sasa!
Unamwita mwanao chemba, ona sasa anavyotema!
 
Ni wazi sasa CCM inaenda kujizika kabisa, kila mara Mwigulu anaposimama kuzungumza ni propaganda za kijinga kabisa,mwananchi wengi wanamshangaa na kumpuuzia.
Viongozi wa CCM wenye hekima mwonyeni Mwigulu aache huo ujinga, maana wanaCCM wengi wanazidi kukatishwa tamaa kwa mwenendo huu.
 
Nchemba, maadui wakubwa Tanzania ni hawa.

1. Ujinga,
2. Maradhi,
3. Umaskini na
4. Ufisadi.

Acha kudharua watanzania na kuwapotezea muda kusikiliza matusi yako.
 
Kama unategemea shamba ambalo unajua miaka 2 na nusu ijayo utanyanganywa lazima utaanza kuruhusu liote magugu na kuharibu haribu miti n.k. Mchemba anafanya vurugu baada ya kugundua for the next 2 years hatakuwa bungeni kutokana na kushindwa kwa CCM na haoni kwa nini aendeleze wema wa kinafiki ambao hautampa manufaa yoyote ni bora aonyeshe mapema kwamba he is rotten.
 
Hiyo ndo first class ya chuo kikuu. Janga hili naapa. Inabidi chuo kilichompa hiyo shahada kimnyang'anye. Anadhalilisha usomi
 
Kwani hao ccm marafik zao ni kna nan vile si hao waingereza na wamarekan na ndyo wanaofanya bunge lisome bajet. Je hko wanakokwenda USA kila leo viongoz wa chama na serikali nao n mashoga aache kumix mambo huyo.
 
Mbunge Mwigulu NCHEMBA akiwa mjini Sumbawanga alisema kuwa sera za Chama cha Demokrasia na Maendeleo ni za kukubaliana na ushoga na hata kauli mbiu yao ya sasa ya MOVEMENT FOR CHANGE ni mabadiliko toka hali ya sasa ya jinsi ya kiume kuoa ya kike na kukubaliana na ushoga.

Hivi kauli za namna hii ni za mtu kabisa ambaye ni kiongozi au ni za muuza mitumba aliyevuta bagi? Ametoa kauli hii akiwepo katibu mwenezi Nape NNauye na viongozi wengine wa CCM na hakuna aliyekanusha.

Kauli ,za namna hii zinzashiria nini nje ya muuonekano wa ccm?

Kasema kweli au unatania??
 
Back
Top Bottom