Kipi kibaya sasa alicho kisema hapo ili hali CDM wao wenyewe wanajigamba kuwa ni marafiki wa chama cha Camerun ? wanajiharibia wao wenyewe na mahusiano waliyo yaanzisha na sasa yanawagharimu. Jirekebisheni watanzania wawaamini kuwa kweli hamtaki kuleta ushoga TZ
Kipi kibaya sasa alicho kisema hapo ili hali CDM wao wenyewe wanajigamba kuwa ni marafiki wa chama cha Camerun ? wanajiharibia wao wenyewe na mahusiano waliyo yaanzisha na sasa yanawagharimu. Jirekebisheni watanzania wawaamini kuwa kweli hamtaki kuleta ushoga TZ
Kipi kibaya sasa alicho kisema hapo ili hali CDM wao wenyewe wanajigamba kuwa ni marafiki wa chama cha Camerun? wanajiharibia wao wenyewe na mahusiano waliyo yaanzisha na sasa yanawagharimu. Jirekebisheni watanzania wawaamini kuwa kweli hamtaki kuleta ushoga TZ !KWANI KUWA NA JIRANI AU RAFIKI KATIKA SHUGHULI ZENU ZA KIMAENDELEO NI LAZIMA UFATE TABIA ZAKE?
Mbunge Mwigulu NCHEMBA akiwa mjini Sumbawanga alisema kuwa sera za Chama cha Demokrasia na Maendeleo ni za kukubaliana na ushoga na hata kauli mbiu yao ya sasa ya MOVEMENT FOR CHANGE ni mabadiliko toka hali ya sasa ya jinsi ya kiume kuoa ya kike na kukubaliana na ushoga.
Hivi kauli za namna hii ni za mtu kabisa ambaye ni kiongozi au ni za muuza mitumba aliyevuta bagi? Ametoa kauli hii akiwepo katibu mwenezi Nape NNauye na viongozi wengine wa CCM na hakuna aliyekanusha.
Kauli ,za namna hii zinzashiria nini nje ya muuonekano wa ccm?
Duh, wewe nawe kweli ni mvivu wa kufikiri!Kipi kibaya sasa alicho kisema hapo ili hali CDM wao wenyewe wanajigamba kuwa ni marafiki wa chama cha Camerun? wanajiharibia wao wenyewe na mahusiano waliyo yaanzisha na sasa yanawagharimu. Jirekebisheni watanzania wawaamini kuwa kweli hamtaki kuleta ushoga TZ
Mbunge Mwigulu NCHEMBA akiwa mjini Sumbawanga alisema kuwa sera za Chama cha Demokrasia na Maendeleo ni za kukubaliana na ushoga na hata kauli mbiu yao ya sasa ya MOVEMENT FOR CHANGE ni mabadiliko toka hali ya sasa ya jinsi ya kiume kuoa ya kike na kukubaliana na ushoga.
Hivi kauli za namna hii ni za mtu kabisa ambaye ni kiongozi au ni za muuza mitumba aliyevuta bagi? Ametoa kauli hii akiwepo katibu mwenezi Nape NNauye na viongozi wengine wa CCM na hakuna aliyekanusha.
Kauli ,za namna hii zinzashiria nini nje ya muuonekano wa ccm?
Kutafsiri M4C kuwa ni ushoga ni upuuzi mkubwa sana ambao si wa kuvumilia hata.Kipi kibaya sasa alicho kisema hapo ili hali CDM wao wenyewe wanajigamba kuwa ni marafiki wa chama cha Camerun? wanajiharibia wao wenyewe na mahusiano waliyo yaanzisha na sasa yanawagharimu. Jirekebisheni watanzania wawaamini kuwa kweli hamtaki kuleta ushoga TZ