Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 270
Chadema wanatakiwa Kuachana na Nchemba and his nonsense,why give him such coverage he does't deserve? Mud wa kupambana na Nchemba ni October,2015 but now lets forget that he exist.
CDM,
Nendeni jimboni kwake,
waambieni wananchi,
ukweli wa uwezo wa Mwigulu,
na jinsi ashindwavyo,
kuwawakirisha ipasavyo.
Nchemba? Of all the people? Seriously? Yaani CHADEMA iache kuwafikiria wanasiasa makini kama akina January Makamba na Akina Samuel Sitta, waje wakae na kupanga mauaji ya Nchemba? Nadhani kwa hili, Nchemba na wenzako wenye muono wa hivi mnatakiwa kukiomba CHADEMA radhi kwa kukifikiria kuwa chama hiki MAKINI kinaweza kufanya such a lowly thing kama kumfikiria na kumpangia mikakati Nchemba!
Nchemba hapaswi Kupuuzwa kwa Kukaa Kimya
si wameenda huko kina mnyika na waitara wakarudi na damu ya mwananchi?au unataka wakaue mwingine nini,
Kipo wapi kitufe cha DISLIKE?
CCM watapata shida sana na siasa za Nchemba. Atakipeleka hicho chama kaburini.
Hata hili la kutumiwa sms ya vitisho (kama ni kweli) ni fabricated na yeye mwenyewe.
Kuna usemi unaosema hivi:
'Do not wrestle with a pig, you will both get dirty and the pig likes it'
Na;
'..Dont argue with a fool, he will bring you down to his level and beat you with experience..'
Kwa mwenye akili timamu anajua ajenda ya Nchemba ndani ya Bunge-kupotosha na kukipaka matope CHADEMA kwa hoja dhaifu,michango yake bungeni imeonesha hivyo na pia imeonesha jinsi gani ni huyu jamaa ni bongolala-matokeo ya mfumo uliomkuza wa CCM. Hana uwezo wa kujenga hoja makini kama Mnyika!
Hata hili la kutumiwa sms ya vitisho (kama ni kweli) ni fabricated na yeye mwenyewe. Hakuna mtu CHADEMA anaeza kutaka kumuua Nchemba! No motive! Nchemba ana nini hata watu makini ndani ya CHADEMA watake auawe? Hana lolote! Angekua mjenga hoja makini labda watu wangedhani ni kwa vile ni mwiba,ila kwa upuuzi ule?
C'mon, CHADEMA has more important matters to attend to! Nawaasa wana CHADEMA, this good-for-nothing Nchemba should not become an agenda in your matters!
CDM,
Nendeni jimboni kwake,
waambieni wananchi,
ukweli wa uwezo wa Mwigulu,
na jinsi ashindwavyo,
kuwawakirisha ipasavyo.
Mkuu si ndio vizuri ili nyie Chadema mchukue nchi...ukiona adui yako anakupa ushauri achana nao, na ukiona adui yako anakipinga kitu chako basi usikiache...CCM msimuache Mwigulu ni mwiba kwa Chadema.
Kuchukua nchi si hoja sana Ritz, hoja watakuwa wamebakia raia wangapi wakati utawala unabadilika kama kasi ya kuuwa ndio hii? Kenya walitumia mbinu hizi anazotumia Nchemba, kuwanunulia vijana pombe na bangi. Ni vigumu kuamini Tanzania tunaweza kurudia makosa (tulidhani makosa) kama hayo na mbaya zaidi nguvu ya vijana inatumiwa kuangamiza nchi. CCM imekosa wazee wanaona hii hatari inayonyemelea taifa?
Mbunge Mwigulu NCHEMBA akiwa mjini sumbawanga alisema kuwa sera za chama cha demokrasia na Maendeleo ni za kukubaliana na ushoga na hata kauli mbiu yao ya sasa ya MOVEMENT FOR CHANGE ni mabadiliko toka hali ya sasa ya jinsi ya kiume kuoa ya kike na kukubaliana na ushoga. hivi kauli za namna hii ni za mtu kabisa ambaye ni kiongozi au ni za muuza mitumba aliyevuta bagi? Ametoa kauli hii akiwepo katibu mwenezi Nape NNauye na viongozi wengine wa ccm na hakuna aliyekanusha. Kauli ,za namna hii zinzashiria nini nje ya muuonekano wa ccm?
Mbunge Mwigulu NCHEMBA akiwa mjini sumbawanga alisema kuwa sera za chama cha demokrasia na Maendeleo ni za kukubaliana na ushoga na hata kauli mbiu yao ya sasa ya MOVEMENT FOR CHANGE ni mabadiliko toka hali ya sasa ya jinsi ya kiume kuoa ya kike na kukubaliana na ushoga. hivi kauli za namna hii ni za mtu kabisa ambaye ni kiongozi au ni za muuza mitumba aliyevuta bagi? Ametoa kauli hii akiwepo katibu mwenezi Nape NNauye na viongozi wengine wa ccm na hakuna aliyekanusha. Kauli ,za namna hii zinzashiria nini nje ya muuonekano wa ccm?