Umeandika makala ndefu ukiwa hujui lolote bali habari za kuokoteza.
2015 wabunge hawakutoka bungeni kwa kutomtambua Magufuli Bali walifukuzwa bungeni kwa kupiga kwao kelele kupinga Dr Shein kuingia Bungeni kutokana na utata wa uchaguzi wa Zanzibar.
Rejea vizuri hadithi yako hii
Hivyo ni vitu viwili tofauti. Kutomtambua Rais na kutoridhika na matokeo ya uchaguziKwa hiyo wakati ule madai ya kusema waliibiwa kura yalikuwa danganya toto?
Hivyo ni vitu viwili tofauti. Kutomtambua Rais na kutoridhika na matokeo ya uchaguzi
Thanks bro jifunze kuhoji kwa hoja si matusi ,hakuna aliyekualika kuchangia mada wala hujalazimishwa
CCM ndiyo wamepuuzwa ndiyo maana inafanya siasa za kigaidi ili kubaki madarakani.Mimi Nadhani wapinzani wamepuuzwa na Wananchi kwa sababu Wameishiwa sera
CCM ndiyo wamepuuzwa ndiyo maana inafanya siasa za kigaidi ili kubaki madarakani.
Mfuatilie wewe na nani? We anakujua nani mbwekaji tu wa mitandaoni.Huo mtaa upo wapi tufatilie, maana Bavicha mtandaoni ni Wazee wa kupika taarfa za Uongo
Hawa vibaka wa Chakubanga ndiyo wanaumia kwani yakiwepo maridhiano watakufa njaa kitengo kitafutwa .Mbona ccm wanaumia Chadema kwenda kwenye sherehe Mwanza? Tena Chadema na nyie vaeni sare zenu kama wao wanavyovaa mi sare yao ya kijani! Uhuru ni wetu sote!
Wangeshiriki vipi ilhali zaidi ya 95% ya wagombea wao wameenguliwa kwa hila ?Uchaguzi wa Mitaa ni jambo la kitaifa. Ndiyo maana niliwashangaa waliogoma kushiriki.
Umewasemea na wa Tz wengine ambao sio uwafikiriavyo...ni baadhi ya wa Tz ndo huyumbishwa na misimamo sio wote.,Watanzania tunachezewa Sana kutokana na kuyumba misimamo, tuna tamka tusicho kiweza kukisimamia hili ni tatizo kubwa sana
Mnashangaa kususiwa sherehe, hamshangai kuahirishwa kwake!!?NI UTOTO KUTOKUSHIRIKI MASUALA MUHIMU YA KITAIFA.
Sherehe za Uhuru ni jambo muhimu la kitaifa. Siyo suala la kichama. Vivyo hivyo shughuli za maendeleo ya Nchi. Unapogomea shughuli muhimu za kitaifa kama hizo unamkomoa nani kama sio utoto?
Hoja hujibiwa kwa hoja, ukiona unaponda badala ya kutembelea ndani ya hoja ujuwe kuna tatizo upstairsWewe mleta mada unasaidia vipi chama, au upo upande gani??
Ukiwa field utaelewa kinachoendelea.
Wananchi ni wale wale kwa hiyo kuwepo kwenye events za Uhuru ni fursa kisiasa sio disadvantage!!
Uhuru ni wa Watanzania wote bila kujali chama!!