Habarin wadau hope mpo poa nisiwachoshe twende moja kwa moja mzigoni CHADEMA ni chama kikuu cha upinzan ila kinapelekeshwa bila kujua km kinaendeshwa ebu vita picha zile kesi walizowekewa na walivypbanwa polisi inavyowaharasi lkn yote tisa kumi wamesema watashiriki uchaguzi eti NGOMBE HUYU ANACHINJWA ALIVYOLALA
Msijidanganye
Msijidanganye
Bila katiba mpya bila tume huru NEVER hawatopewa nchi iwe mvua iwe jua mm sijawah kupiga kura na sitokuja kupiga kura labda mpaka ntapojiridhisha wananchi wana maamuzi na tume ipo huru na mahakama pia ina nguvu na bunge pia lina nguvu na haya ypte hayaji kwa mbwembwe bali yanakuja baada ya wananchi kujitambua na sio kupiga deki barabara au kubeba gar la mtu ni ujinga
Buku 7 nawakaribisha
Msijidanganye
Msijidanganye
Bila katiba mpya bila tume huru NEVER hawatopewa nchi iwe mvua iwe jua mm sijawah kupiga kura na sitokuja kupiga kura labda mpaka ntapojiridhisha wananchi wana maamuzi na tume ipo huru na mahakama pia ina nguvu na bunge pia lina nguvu na haya ypte hayaji kwa mbwembwe bali yanakuja baada ya wananchi kujitambua na sio kupiga deki barabara au kubeba gar la mtu ni ujinga
Buku 7 nawakaribisha