CHADEMA mna jipya gani kwa hili?

CHADEMA mna jipya gani kwa hili?

Mifano iko mingi sana suala sio kuwa na ofisi na hivyo vitu vingine unavyosema suala ni wazo la nn unataka kufanya na malengo yako ni nn hii iko wazi kuwa entrepreneurial culture bado haijatuingia cc wabongo sikatai kuwa lazima uwe na start up capital lakini cha msingi zaidi ni kichwani unataka kufanya nn.Leo hii mtu anaweza kuwa na pesa lakini asijue nn anataka kufanya,kingine serikali iko na nafasi katika hili mazingira ya kujiajiri hayajakaa kiurafiki kwa mtu anayemaliza shule kuweza kuanzisha mradi wake pasipo kusubiri kuajiriwa.
 
sawa sawa mama umesema vyema vijiwe, mabasi na maeneo yoote hata wala unga wanaongelea chadumu kweli wameteka na wamewapa kazi na ajira vijana chadumu.
 
Jipya ni kuwaondosha Magamba!kumbe ww unataka CDM ifanyeje wakati haina dola? Iwe na TISS,Takukuru yake ili kudhibiti ufisadi?au ianzishe viwanda na kuimarisha vilivyopo ili kutoa ajira?au nao walete power tila kuboresha kilimo?Swali hili lingejibika vema kama CDM ndio ingekuwa madarakani
 
Back
Top Bottom