Nimekosa imani kabisa na haya matokeo.Inamana Lowasa alikuja kuua upinzani? Je,kashfa zote za ufisadi ni Lowasa kazififisha kwa kujiunga UKAWA?Ama haya matokeo ni ya kupikwa? Kuna maana gani ya uchaguzi kama matokeo yako katika mrengo mmoja?Kama kweli Watanzania wanaimani na ccm kuna haja gani sasa ya upinzani? Si bora tuvunje upinzani na tuendelee na chama kimoja? Haiwezekani UKAWA mkakosa watu wakufuatilia kura zenu.Haya maswali yananiumiza sana kwakweli.