Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Chadema ni chama kinachoendeshwa katika misingi ya kilaghai.
Vijana werevu wameshatambua hilo na wanajitoa mmoja baada ya mwingine.
Mazezeta ndio yanabaki yakitumika kama miili ya maandamano tu...
Kwa kupiga vita maandamano inaonyesha no jinsi gani husivyoielewa siasa ya vyama vingi.pooole