Kinachokufanya uulize ndicho kinachopelekea chadema kufanya mikutano, mbili chadema ni chama cha siasa kipo kabla ya uchaguzi na baada ya uchaguzi, tatu uchaguzi uliomalizika kama ulivyosema una kasoro nyingi kwa maslahi yako na taifa kwa ujumla chadema lazima iwaele watanzania nini kinaendelea nini kifanyike, nne chadema ina amini katika nguvu ya umma people's power, tano kazi unayodai ifanyike baada ya uchaguzi kufanyika haikuanza leo -tuhitaji mijadala ya kuwafanya waliolazimisha utawala masultani na walioteuliwa na sultani wawajibike kwa wananchi sio kwa maslahi ya sultani. Kama wewe ni raia mzalendo utakubaliana nami kuna haja ya mikutano na ni kwa kuhofia kuumbuliwa na kuingiza michanga vitumbua vya masultani wanapiga vita mikutano kinyume na katiba.
Nategema kwa majibu haya altitude yako imebadilika kama hujatumwa na sultani na kwamba utahudhuria mikutano -ukizingatia kuwa siyo watanzania wote wana access na jamii forum kuhabalishwa kama wewe, kwnini usifanye kazi badala yake unakodolea macho jf? Vivyohicyo ndio watanzania wengine wanahitaji mikutano.