Uchaguzi umekwisha kilichobaki ni kutekeleza ahadi tulizo ahidiwa. Si mda tena wa kampeni wala propaganda. Watanzania bwana. Badala ya kuchapa kazi we use a lot of time discussing problems rather than solution. Jf mnasemaje.
Sounds like, or maybe his younger brotherIs this not MS????????????
Uchaguzi umekwisha kilichobaki ni kutekeleza ahadi tulizo ahidiwa. Si mda tena wa kampeni wala propaganda. Watanzania bwana. Badala ya kuchapa kazi we use a lot of time discussing problems rather than solution. Jf mnasemaje.
Hujui majukumu ya chama cha siasa au unajifanya kuwa huyajui, kwenye maisha ya siasa kila dakika ni siasa, siasa haina likizo hata huo utekelezaji unaousema ni siasa.Uchaguzi umekwisha kilichobaki ni kutekeleza ahadi tulizo ahidiwa. Si mda tena wa kampeni wala propaganda. Watanzania bwana. Badala ya kuchapa kazi we use a lot of time discussing problems rather than solution. Jf mnasemaje.
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us