CHADEMA...mbona mnameza matapishi??

Lakini sidhani kama ni busara kuja humu kwa ajili ya kutetea vyama....we need to be free thinkers
 

Songoka,matendo yanatangaza zaidi kuliko maneno.
 
Mwenye hii hoja ni mbuz tu? Walitaka ktba mpya mchakato ukaaza, inshu ya tume ikaundwa sasa wewe unaongea nn kanye kwanza.
 
Mbona hata rais akitingwa huwa anawaita kwa mazungumzo?? Nae rais huwa anajua cdm ni babu kubwa ndio maana anawaheshim.
 
Mkuu, wewe ulitaka hayo uliyosema niyahoji wapi? mbona unahangaika kuandika kitu ambacho mantiki yake huijui. ukweli ni kuwa, kama mtoa mada alivyosema, CHADEMA wamelamba matapishi yao

Wewe si umesema ni mwanachama wa Chadema?Wewe ni mwanachama gani ambaye hujui sehemu ya kuhoji masuala ya chama chako? Kwani ofisi za Chadema ziko JF? Mapandikizi utayajua tu.
 
Wewe si umesema ni mwanachama wa Chadema?Wewe ni mwanachama gani ambaye hujui sehemu ya kuhoji masuala ya chama chako? Kwani ofisi za Chadema ziko JF? Mapandikizi utayajua tu.

sijawahi kuwa mwanachama wa CHADEMA na wala sijawahi kuota au kufikiria kuwa mwanachama wa chama hicho. Nadhani umenichanganya. hakuna mahala nimejitangazia kuwa ni mwanachama wa chama hicho
 

usipoteze muda kujadili hili genge la wasaka tonge.
 
Mwenye hii hoja ni mbuz tu? Walitaka ktba mpya mchakato ukaaza, inshu ya tume ikaundwa sasa wewe unaongea nn kanye kwanza.

walisema hawamtambui rais. inakuwaje wanamfuata ikulu mara kwa mara?
 
sijawahi kuwa mwanachama wa CHADEMA na wala sijawahi kuota au kufikiria kuwa mwanachama wa chama hicho. Nadhani umenichanganya. hakuna mahala nimejitangazia kuwa ni mwanachama wa chama hicho

Kama wewe si mwanachama wa Chadema basi mambo ya Chadema yanakuhusu nini? Mbona huongelei masuala ya ufisadi na rushwa ndani ya ccm? Mbona huongelei mambo ya madawa ya kulevya yaliyojaa ndani ya ccm? Mbona huongelei majangili waliojaa ndani ya ccm? Ccm imejaa mambo ya ajabu mengi,mbona huyahoji unarukia mambo ya Chadema?
 
ZITTO ANAMTAMBUA RAISI KIKWETE...hii ni moja ya nashtaka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…