Makusudically
JF-Expert Member
- Feb 3, 2014
- 2,215
- 1,240
Kwa mujibu wa taarifa zisizo rasmi inaonekana Chadema imefanya vibaya zaidi kuwahi kutokea katika maisha yake, hii ni dhahili Watanzania wamechoshwa na Siasa za Chadema za:-
>Kupinga kila kitu
>Kumpinga JPM
>Kudharau yanayofanywa na Serikali ya
awamu ya 5
>Kuwafanyia figisu wabunge wake
>Kuwachangisha Wabunge 500,000 hadi
1,000,000
>Kumficha Dereva wa Lisu
> Kumjeruhi Lisu
> Mbowe kung'ang'ania kiti milele
>Mbowe kuendekeza ukanda
> Matumizi ya ruzuku kutokuwa Wazi
> Mbowe kuwazuia Wabunge kuchangamaa na
wenzao wa CCM na kuwaita wale
wanaochangamana kuwa wasaliti
>Chadema kutoeleza bayana Sera zake kwa
wapiga kura, kwamba kero zittatuliwaje
endapo watachaguliwa.
HALI ITAKUWAJE 2020 ???
>Kupinga kila kitu
>Kumpinga JPM
>Kudharau yanayofanywa na Serikali ya
awamu ya 5
>Kuwafanyia figisu wabunge wake
>Kuwachangisha Wabunge 500,000 hadi
1,000,000
>Kumficha Dereva wa Lisu
> Kumjeruhi Lisu
> Mbowe kung'ang'ania kiti milele
>Mbowe kuendekeza ukanda
> Matumizi ya ruzuku kutokuwa Wazi
> Mbowe kuwazuia Wabunge kuchangamaa na
wenzao wa CCM na kuwaita wale
wanaochangamana kuwa wasaliti
>Chadema kutoeleza bayana Sera zake kwa
wapiga kura, kwamba kero zittatuliwaje
endapo watachaguliwa.
HALI ITAKUWAJE 2020 ???
♂️
nadhani ingefaa utoe maoni yako sio kuzungumzia ya nyani.ukiwa 