Chadema mbona imevurunda?

Chadema mbona imevurunda?

Imagine Sugu ndio waziri TAMISEMI, nchi si itakua kama genge la wanywa mbege?
 
Yaan endelea na hzo ngojera zako na huo unafk mkubwa ulionao..waTz wa sasa cyo miaka 50 iliyopta kila mtu anajua mbivu na mbichi time will tell kwa huu uhuni wenu mnaojisifia nyie mananga wa demo..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom