sikongefdc
JF-Expert Member
- Oct 18, 2017
- 1,610
- 2,158
Imagine Sugu ndio waziri TAMISEMI, nchi si itakua kama genge la wanywa mbege?
Unapotibu jipu usiwe na huruma!Rubbing salt to the wound.
Hahahaha
Si kidogo.JF tungekua karibu ukute tushapasuanaa
Kweli kabisaSiku zote huwa tunakushauri humu jf kuwa akilizako usiziache nyuma unapokimbilia kuandika.Namshukuru Mungu hakunipa akili kama hizi