CHADEMA mbona hamueleweki?

alivyoondoka slaa chama kikafa , alipokuja lowasa kikazikwa rasmi.



chadema wanyonge tulikipenda ila mafisadi wamekipenda zaid wameni disappoint sana binafsi.
 
Wewe ndo hueleweki. Ni kipi usichokijua kuhusu CHADEMA kuanza kumuunga mkono Uhuru?
 
Katika watu niliokuwa nawaheshimu katika hili jukwaa ni wewe ila kwa hichi ulichoandika nimegundua Tanzania yangu bado NANGA ni wengi mno. Adui wa adui yako lazima awe rafiki yako. Wewe kweli umesoma sheria kama unavyojinadi? Ila siwezi kushangaa kwani kuna wanaomaliza mlimani hata mkataba wa kuuza shamba hawezi kuandaa.
 
Reactions: Mdf
Kama ni chama rafiki cha muda hakuna tatizo. Jubilee na CHADEMA hawakuwahi kuwa marafiki isipokuwa sasa
Mbona unaendelea kuonyesha ujinga wako!!! kuna sehemu imeandikwa urafiki unatakiwa kuanza muda gani? Duu ujinga haujawahi kufichka leo umeonyesha ujinga wako wote
 
Vyeti fake havijawahi kumwacha mtu bila kujionyesha akili yake, huwezi amini mtu anasema amesoma sheria anauliza maswali ya kitoto kabisa au ni sheria ngazi ya cheti? hata ya cheti tu lazima awe anajitambua.
 
Huna tofauti na Deo Kisandu wewe
 
Wapinzani nchini wanamshangaa Raila anaposema kaibiwa kura.Ati siku hizi wapinzani hawaamini kama kura zinaweza kuibiwa!!

Wapinzani nchini wanamshauri rais Uhuru wa Kenya kumsweka ndani Raila kwa tuhuma za uchochezi!!!!!

Siasa za hii nchi burudani sana siku hizi.
 

Kenya wanaruhusu wafungwa kupiga kura. Raila kashinda kwa wafungwa. Pia wanaruhusu diaspora kupiga kura, aka CIA agents. Raila kashinda tena.

Sawa kabisa na Chadema hapa - bodaboda; richmond; nafisadi; wabafunzi hewa; wanafunzi wenye mimba etc. Hata Narok na Kajiado naona Wamasai wamewagana 50-50 hata baada ya Lowassa kujaribu kuwarubuni.
 
WE NEED URINE SAMPLE FIRSTS , AND THEN WE WILL CARRY ON TALKING
Ni jambo la kimantiki tu. CHADEMA wamekurupuka.
WE MIGHT NEED URINE SAMPLE FROM HIM PLEASE
 
Mwanasheria amenisikitisha sana hata siamini,hata kama ni masihara sikutegemea yatoke kwake kwasababu siyo kawaida yake.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…