Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
- Thread starter
-
- #41
Kama ni chama rafiki cha muda hakuna tatizo. Jubilee na CHADEMA hawakuwahi kuwa marafiki isipokuwa sasa..but, what if chama cha upinzani kikishinda uchaguzi kama ilivyotokea Ghana?
..Je CDM sasa wanapaswa kuwapinga rafiki zao walioingia madarakani uchaguzi uliopita ili waporomoke na kuwa chama cha upinzani?!
Kumbe kuuliza ni usaliti humo vyamani?
Tafuta speech ya Mbowe alitoa ufafanuzi kuhusu hili akiwa Tanga.
Pia unamaanisha tukimuunga mkono mpinzani leo, alafu kesho akiingia madarakani tunapaswa kuwa adui yake??
Kama ni chama rafiki cha muda hakuna tatizo. Jubilee na CHADEMA hawakuwahi kuwa marafiki isipokuwa sasa
2013 mlimpigia kampeni nani? Je huo urafiki wa kivyama ulikufa lini??
Mchambuzi amekwishajibu kuwa ni official statement kutoka kwa mwenyekiti CHADEMA, na hata Ktibu Mkuu ametuma official note akimtakia Uhuru uchaguzi mwema wa UshindiSijui hasa mahali pailipo kutatiza regarding the issue of Uchafuzi in Kenya.
1. Ni Chadema au Lowassa ndio walio unga mkono Kenyatta kuendelea kubakia madarakani?
2. Kwenye uchaguzi uliopita ambao ulimwingiza Kenyatta madarakani, unajua kua ndani ya ccm kulikua na mgawanyo? Rais wetu mpendwa alimuunga mkono Odinga but Kikwete was tofauti; sijui hilo liliashiria nini? Je CCM wenyewe kwa wenyewe walikua wanapingana au yalikua ni mapenzi ya mtu kwa mtu na sio mapenzi ya chama kwa mtu?
3. Hivi urafiki wa Odinga na mkulu wetu unadhani bado upo au uliisha kufa?
Naomba pia unikumbushe kauri ya any senior official wa Chadema kuhusu uchaguzi huo wa Kenya. Kama hakuna then nashawishika kuamini kua hilo jambo la kumuunga mkono Kenyatta may be ni la Lowassa na sio Chadema.
Nakupongeza kwa kitu kimoja; wengi wa watu humu ndani husifia hata visivyo sifika tu kwasababu wana vyama vyao but wewe umekua unakosoa na kupongeza panapo stahiri, kwa mtazamo wangu ni kwamba umedhihirisha kwamba wewe ni MSOMI usiefata mahaba ya vyama.
No, wapinzani waungane wenyewe dhidi ya vyama tawala ili nao wawe watawala.
Kama ni chama rafiki cha muda hakuna tatizo. Jubilee na CHADEMA hawakuwahi kuwa marafiki isipokuwa sasa
Maswali haya yamejitosheleza.....but, what if chama cha upinzani kikishinda uchaguzi kama ilivyotokea Ghana?
..Je CDM sasa wanapaswa kuwapinga rafiki zao walioingia madarakani uchaguzi uliopita ili waporomoke na kuwa chama cha upinzani?!
Je walishawahi kuwa Rafiki wa NASSA?Kama ni chama rafiki cha muda hakuna tatizo. Jubilee na CHADEMA hawakuwahi kuwa marafiki isipokuwa sasa
Kama ni chama rafiki tangu mwanzo hakuna shida.Lets say leo tunamuunga mkono Besigye wa Uganda alafu akashinda akaingia Ikulu,
Kipindi cha kwanza kimeisha wanarudi tena kwenye uchaguzi, Je, hatupaswi tena kumuunga mkono Besigye kwasababu yuko madarakani??
Magu alimpigia raila odinga kampen kwan nayenyew haijakushangaza?Mwaka 2016,wakati wa uchaguzi wa kule nchini Ghana, nyinyi CHADEMA mlikuwa mkimuunga aliyekuwa mgombea wa Upinzani, Rais wa sasa wa Ghana Mhe. Nana Akufo-Addo aliyekuwa akichuana na Rais wa wakati huo, Mhe. John Dramani Mahama. Kwakuwa wote mlikuwa wapinzani, uungaji wenu mkono ulikuwa unaeleweka.
Mwaka huu, katika uchaguzi wa Kenya, CHADEMA mmemuunga mkono waziwazi Rais wa sasa wa Kenya na mgombea wa Jubilee Mhe. Uhuru Jomo Kenyatta. Ndiyo kusema, mmeunga mkono chama tawala ili kiendelee kutawala kule nchini Kenya. Mpinzani kuunga mkono chama tawala, ambacho nchini mwake anapambana kukiondoa madarakani, ni jambo la kustaajabisha.
Mwanachama wenu na Mjumbe wa Kamati Kuu, Ndugu Edward Ngoyai Lowassa amejitokeza mubashara jukwaa la Jubilee kukipigania chama tawala Kenya ili kiendelee kutawala. Kama Rais Uhuru Kenyatta atashinda tena, naye atapanda jukwaa la CHADEMA mwaka 2020 kuwanadi? Imekuwaje hadi nyinyi wapinzani muunge mkono chama tawala?
Tuamini kuwa hata Tanzania nyinyi CHADEMA mnazuga tu kupambana na chama tawala CCM huku mkiwa mnapenda CCM iendelee kuongoza? Kwakweli, CHADEMA hamueleweki kirahisi katika hili!