Getrude Mollel
JF-Expert Member
- Apr 26, 2022
- 259
- 353
Sawa tunatambua hamna ofisi ya maana inayoendana na hadhi ya chama chenu. Lakini tunajua pia mnapata hela kupitia michango ya wanachama.
Haipendezi hadi leo mnatumia Gmail kwenye mawasiliano yenu. Hiki chama kina watu, takribani miaka 30 sasa, bado mnafanya mambo ya ajabu kama haya.
Kuchukua dola kunategemea mambo mengi sana, sio kura tu za Watanzania. Kuna mambo huwa tunatazama kuona namna gani mko 'serious' ili tuwape dhamana kubwa zaidi.
Ila mkishindwa mambo madogo kama haya mtapata sana taabu huko mbeleni.
Haipendezi hadi leo mnatumia Gmail kwenye mawasiliano yenu. Hiki chama kina watu, takribani miaka 30 sasa, bado mnafanya mambo ya ajabu kama haya.
Kuchukua dola kunategemea mambo mengi sana, sio kura tu za Watanzania. Kuna mambo huwa tunatazama kuona namna gani mko 'serious' ili tuwape dhamana kubwa zaidi.
Ila mkishindwa mambo madogo kama haya mtapata sana taabu huko mbeleni.