Chadema LUDEWA Miguu Juu

Chadema LUDEWA Miguu Juu

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
Baada ya Dr. Slaa kuhutubia na kuweka kiuwazi kabisa kashfa za Ufisadi za Lowassa, wana Ludewa wamesema CHADEMA BAI BAI

[h=2]LUDEWA WASEMA BAI BAI KWA CHADEMA[/h]



IMG_7612.jpg
 
Wewe philikunjombe acha usanii, byebye kwa kipi walichoharibu
 
Hii blog walio tupia link yake mbona ina habar mbili tu kuhusu unajim na taarifa ya slaa kwel michezo michafu inawenyewe ila wakat huu wamegonga mwamba na km wavuvi wa pweza tutakutana mwamban
 
sehemu za kishamba Kama hizo unategemea nini
 
Huyu nafikiri halipwi book 7 kama wengine, nafikiri yeye dau lake ni 15, 000 kwa siku. Kwa kweli anajitahidi ila bahati mbaya anakuwa kama anayepigia mbuzi gitaa akidhani itacheza, watu wameisha amua wanataka mabadiliko. Hata Mbowe akinunuliwa na kukaa kando, kiu ya mabadiliko iko pale pale, magamba lazima mfungishwe virago mwaka huu.

Tiba
 
Lumumba ipo fit. Huku hatukopi Rais na Makamu wake kutoka vyama vingine. Waulize Chadema, kwanini wanakopa Rais na makamu wake?

Ni kweli hata, mende wa chooni haunguzwi na joto la kinyesi yuko fiti kabisa. Ameshayazoea mazingira yale....Uko sahihi kabisa 100 kwa 100. Penguin wamezoea baridi ya Actic, wako fit.
 
Back
Top Bottom