johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,020
Naulizia tu kwa ndugu zetu wa Chadema ambao kwa sasa sera yao kuu ni mikutano ya hadhara
Leo mko wapi?
Mzee Mgaya anawasubiri Iringa
Leo mko wapi?
Mzee Mgaya anawasubiri Iringa
mkutano utafanyika chumbani kwakoNaulizia tu kwa ndugu zetu wa Chadema ambao kwa sasa sera yao kuu ni mikutano ya hadhara
Leo mko wapi?
Mzee Mgaya anawasubiri Iringa
😂😂😂mkutano utafanyika chumbani kwako
Unawatishia mzee Mgaya! Hata ukiwachanganya na yule nabii feki wa kanisa huru hawatoshi.Naulizia tu kwa ndugu zetu wa Chadema ambao kwa sasa sera yao kuu ni mikutano ya hadhara
Leo mko wapi?
Mzee Mgaya anawasubiri Iringa
Siasa Siyo Uadui bwasheeUnawatishia mzee Mgaya!
🙄Ukiwepo taalifa itapostiwa Acha kilehele.
Mikutano hii ya kisiasa ni migumu sana kama unakusanya watu Kisha unaropoka uongo, maana watu wanakuona unawadharau.
Utakuwaje uko madarakani 5years Kisha unawaletea story zilezile na maneno mengi ya oye! Oye! Kama vile mapambio?
Matokeo ndio hayo wanafanya Yao, oneni kuanzia dakika ya 4.20 mtiti ulipoanza!